Kafulila: Tanzania ni nchi yenye deni dogo ukilinganisha na nchi zote zilizoko Kusini mwa Jangwa la Sahara. Hongera Rais Samia

Anajipendekeza kijinga sana.
Mfano Kenya ina deni kubwa kuliko Tanzania lakini ni matajiri(national income) ni kubwa kuliko sisi.
This roughly means that tunatumia mikopo yetu kwa mambo yasiyo na tija.
 
Anajipendekeza kijinga sana.
Mfano Kenya ina deni kubwa kuliko Tanzania lakini ni matajiri(national income) ni kubwa kuliko sisi.
This roughly means that tunatumia mikopo yetu kwa mambo yasiyo na tija.
Sasa Kama Kenya ni Tajiri na inadeni kubwa why nasis tusikope ili tuwe matajiri?
 
Ila Kafulila huwa napenda Sana hoja zake kwa unazungumza kwa data,

#Uishi milele brother,

Haya BAVICHA njooni mlete data na ninyi ili kumpinga Kafulila,
Ni ujinga kulinganisha ugonjwa wako na wa mtu mwingine badala ya kutafuta tiba!
 
Endeleza uchawa tumbili kafulila soon utalamba teuzi tena
 
Sasa Kama Kenya ni Tajiri na inadeni kubwa why nasis tusikope ili tuwe matajiri?
Sisi tunakopa kujenga vyoo vya shule, madarasa, vituo vya afya na kulipia tozo Za bei Za mafuta.

Sisi tunakopa, tukisha kopa mkopo huo huo tunagawana tena huo mkopo na Zanzibar,ikifika wakati wa kulipa mkopo Zanzibar anapiga kimya bara analipa mwenyewe.

Wenzetu kenya wanakopa kujenga viwanda na kusaidia sekta binafsi Ili ikue izalishe mapato na ajira Za kutosha.

Wenzetu kenya akikopa mkopo unatumwa site kufanya kazi iliyokopewa Hakuna kugawana mkopo
 
Mkuu unazingua sasa, yaani Kenya awe na vyanzo vingi kutuzidi Tanzania?

Tanzania kinachotu cost Ni elimu ya biashara, kwenye eneo hili Yuko nyuma Sana kutokana na Sera za kijamaa ila kwa maana ya fursa za kupata Pesa kulipa madeni ziko nyingi sana..
 
Anajipendekeza kijinga sana.
Mfano Kenya ina deni kubwa kuliko Tanzania lakini ni matajiri(national income) ni kubwa kuliko sisi.
This roughly means that tunatumia mikopo yetu kwa mambo yasiyo na tija.
Uwezo wao wa kulipa Ni mdogo ndio maana wako kwenye default ya kushindwa kulipa Deni,Tanzania hatuko sasa hapo unasemaje?
 
Tuoneshe Kenya walipokopa kujenga viwanda?

Mara nyingi huwa nasema huko Chadema kumejaa maboga yasiyi na akili,Viwanda vinajengwa na Serikali? Taja kiwanda 1 kikichojengwa na Pesa ya mkopo huko Kenya..

Majinga Kama nyie ndio eti mnataka kuja kuongoza Nchi 😆😆
 
 
Huyo mkemia Ni mpumbavu
 
Hivi yule bwana mkubwa alifikiria nini hadi kutamka "TUMBILI"
Kwa hulka ya Kafulila ya kurukaruka kutoka chama kimoja kwenda kingine hana tofauti na tumbili ambaye maisha yake ni kuruka toka tawi moja la mti kwenda lingine.
 
KAFULIA =CHAWA, UTITIRI,KUPE,KUNGUNI,KIROBOTO
AMEFULIA ANAJIKOMBA
 
Mkuu unazingua sasa, yaani Kenya awe na vyanzo vingi kutuzidi Tanzania?

Tanzania kinachotu cost Ni elimu ya biashara, kwenye eneo hili Yuko nyuma Sana kutokana na Sera za kijamaa ila kwa maana ya fursa za kupata Pesa kulipa madeni ziko nyingi sana..
Tatizo la wacommumist duniani ni ujinga uliokithiri na ku underestimate watu na nchi. Hata majengo na mareli mmejenga sio muda mtatani kubomoa. Yatakuwa yanakula hela kuliko huduma za afya.


Kenya wamewekeza hapa kwa namna hata vidolq kidogo mnapata wanavichukua.

Wana maneno,madukani kuna kila kitu chao

Nyie mnapewa ksh tsh. Hazina faida kwa taifa.
 
Huwezi kuwa sahihi kwa hili, Ujamaa Uko China na hakuna Madeni
Mpo wengi sana wajinga ila mnajiamini sana. Ndio hamkuamini Russia angetoka kamasi Ukraine. Wajamaa ni wajinga wiki zote ndio maana bepari ana win kila siku mnabaki kujiita wajanja na baadaye mnahamia kusema mnaibiwa.


China ni mtumwa. Ndio MAANA hata sasa hathubutu kuingia Russia mchana,na masifa ya kujidai Taiwan ili awhile majinga yake kaaibishwa ili dunia ione heshima inatakiwa kuwa wapo?


Africa tumepona utumwa kwa vile tumezidi kuwa hivyo zaidi.


Jiulize kwanini mmeshikqa akili na hamjiulizi kwanini raw materials haziendi ukaya moja kwa moja. Ila ulaya wanawapa China Roho za bidhaa zao?


China anatbulika kama kiwanda cha dunia na raia wake wanaishia kitandani.

Ujinga mwingine wachina Alina kabudi wababaike. Leo wanasema hakuna ujamaa bongo kesho wanataka serikali iajiri. Kesho kuitwa ubeberu. Siku ingine wanasema kuwa China ndio mfano. Mbona Russia isiwe mfano. Mbona Korea kaskazimi isiwe mfano?


Kamuulize mchina kama ana anaweza kuonyeshwa processor ya computer au ya simu. Na kwanini Hana yake? Muulize hata urusi wenu. Aloyewapa mifumo WA kuabudu Rai's na kumtia Mungu. Mkisema dini ni opium..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…