Kafulila: Tanzania ni nchi yenye deni dogo ukilinganisha na nchi zote zilizoko Kusini mwa Jangwa la Sahara. Hongera Rais Samia

Kafulila: Tanzania ni nchi yenye deni dogo ukilinganisha na nchi zote zilizoko Kusini mwa Jangwa la Sahara. Hongera Rais Samia

Attachments

  • Screenshot_20221112-112513_Chrome.jpg
    Screenshot_20221112-112513_Chrome.jpg
    209.5 KB · Views: 2
Hiki ndicho alichokiandika RC Mstaafu David Kafulila kwenye akaunti yake ya tweeter baada ya mjadala mkali Bungeni na hofu ya Watanzania juu ya ukubwa wa deni la Taifa kwa Sasa

Huenda Kafulila ndio mtu makini na mwenye hoja zaidi kwa Sasa Tanzania asiye na cheo chochote Serikali baada ya kupigwa chini U-RC kule Simiyu

Umeisha tapikwq huliki tena hata ukijipendekeza na kukubali kuinamishwq
 
kwani akisema Wewe unapoteza nini?
Aseme chenye pointi. We unaona anatumia akili kulinganisha Tanzania na nchi nyingine eti kisa ina deni dogo ukilinganisha na nchi nyingine zenye madeni? Au wewe ndo Kafulila mwenyewe?
 
Hiki ndicho alichokiandika RC Mstaafu David Kafulila kwenye akaunti yake ya tweeter baada ya mjadala mkali Bungeni na hofu ya Watanzania juu ya ukubwa wa deni la Taifa kwa Sasa

Huenda Kafulila ndio mtu makini na mwenye hoja zaidi kwa Sasa Tanzania asiye na cheo chochote Serikali baada ya kupigwa chini U-RC kule Simiyu

Kafulila tafuta kazi nyingine
 
Hiki ndicho alichokiandika RC Mstaafu David Kafulila kwenye akaunti yake ya tweeter baada ya mjadala mkali Bungeni na hofu ya Watanzania juu ya ukubwa wa deni la Taifa kwa Sasa

Huenda Kafulila ndio mtu makini na mwenye hoja zaidi kwa Sasa Tanzania asiye na cheo chochote Serikali baada ya kupigwa chini U-RC kule Simiyu

Takwimu zinaongea siyo watu wanabwajaja tu, ohh nchi itapigwa mnada.
 
Hiki ndicho alichokiandika RC Mstaafu David Kafulila kwenye akaunti yake ya tweeter baada ya mjadala mkali Bungeni na hofu ya Watanzania juu ya ukubwa wa deni la Taifa kwa Sasa

Huenda Kafulila ndio mtu makini na mwenye hoja zaidi kwa Sasa Tanzania asiye na cheo chochote Serikali baada ya kupigwa chini U-RC kule Simiyu


Hivii saizi ya deni inalinganishwa na saizi ya deni la wenzako, au na saizi ya uchumi wako!!?
 
Ila Kafulila huwa napenda Sana hoja zake kwa unazungumza kwa data,

#Uishi milele brother,

Haya BAVICHA njooni mlete data na ninyi ili kumpinga Kafulila,
Na wewe ni chawa mpuuzi tu! Unasema aishi milele? Ni Mungu!
 
Huyu sasa aitwe kafulia,kwa kuwa mwenzio ana funza basi ukikatika vidole unajifananisha nae.
 
Kwani ze fank falacy anesemaje kuhusu hili?
 
Hiki ndicho alichokiandika RC Mstaafu David Kafulila kwenye akaunti yake ya tweeter baada ya mjadala mkali Bungeni na hofu ya Watanzania juu ya ukubwa wa deni la Taifa kwa Sasa

Huenda Kafulila ndio mtu makini na mwenye hoja zaidi kwa Sasa Tanzania asiye na cheo chochote Serikali baada ya kupigwa chini U-RC kule Simiyu

Kafulila mpumbavu sana,anaishi kwa kulinganisha madeni na nchi zingine ,huu ni upuuzi,
 
Back
Top Bottom