Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Ujinga tu, unawasumbua hakuna lolote! (mikopo ni muhimu sana)Kwann wa Tz wanaogopa sana kukopa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga tu, unawasumbua hakuna lolote! (mikopo ni muhimu sana)Kwann wa Tz wanaogopa sana kukopa ?
NikweliHuyu Kafulila ndo amebaki mwana propaganda mashuhuri na mficha madhaifu ya serikali kuliko hata viongozi wa chama na serikali.
Huyu anawafaa CCM mkimpeleka ikulu awe msemaji wa serikali
Ametiririka na data by 100%,siyo yule bwege anayelia mbuga zimeuzwa akiambiwathibitisha anaanza ku jamba jamba.Huyu Kafulila ndo amebaki mwana propaganda mashuhuri na mficha madhaifu ya serikali kuliko hata viongozi wa chama na serikali.
Huyu anawafaa CCM mkimpeleka ikulu awe msemaji wa serikali
Unajua regulation ya uchumi inafanyikaje? Serikali inapo control circulation ya hela kwenye uchumi inafanyaje? Wewe ni mjinga si ndio? Au kukopa kwako unajua ni kwenda kukopa Nje ya Nchi tuu? 😁😁😁😁Umesomea shule ipi mwana uchumi? Kukopa ni among tools of economy?
Mijadala mzuri sana huu
===
David Kafulila, Mkurugenzi PPP TANZANIA katika ukurasa wake wa tweeter ( X ) amechambua haya,
Kafulila anasema, kukopa kwajili ya miradi ya maendeleo ndio njia sahihi na ndio mpango wa dunia nzima kwa sasa.
Kafulila anatufumbua macho kwamba nchi zote kubwa duniani tunazoziona zikimea zinajengwa kwa mikopo kwa wastani wa 97%
David anasema, wakati uchumi wa dunia umefikia US$ 105trilion, Deni lote la dunia ( serikali & private ) ni US$315trilion
Kwa lugha nyepesi,deni la serikali zote duniani limefikia US$ 97trilion sawa na 97% ya uchumi wa dunia,
Kafulila anasema deni lote la dunia kwa ujumla ni US$ 315 Trilioni zaidi ya 300% ya GDP ya dunia.
Vietnam ni nchi ya mfano duniani kwa muujiza wa kukuza uchumi ndani ya muda mfupi,
Mwaka 1990, uchumi wa Vietnam ulikuwa US$ 6.4bilion, mbele kidogo ya Tanzania iliyokuwa na US$ 4.5bilioni na nyuma ya Kenya iliyokuwa na US$ 8.4bilioni,
Lakini Leo miaka 30 baadae, uchumi wa Vietnam ni US$ 400bilion, karibu mara nne ya Kenya na mara tano ya Tanzania.
Hata hivyo, Mwaka 2007, wakati uchumi wa Vietnam ukiwa US$77bilion, sawa na Tanzania leo,
Mwaka huohuo wa 2007 uwiano wa deni kwa uchumi ulikuwa asilimia 43% karibu sawa na uwiano wa deni kwa uchumi wetu Tanzania.
Kukopa kujenga uchumi ndio njia na ndio Afya yenyewe ya nchi anasema David Kafulila.
View attachment 3011554
Changia Sasa sio asante tu
Yuko mbele kweli kwenye kuzipiga hizo 10%Kafulila Yuko mbele yenu sana ila bado kidogo mtamuelewa tu
Huyo ni CCM kindakindaki.Punguza mihemko BAVICHA twende polepole Mimi Leo nipo kwaajili ya hii habari nimeivuta kwa Kafulila ili tujenge hu mjadala sawa sawa
Unaiwaza Sana CHADEMA. Kaleta mada mwana CCM , ila kwa unafiki wako unaitaja CHADEMA. Tatizo mnawaza Sana CHADEMA ndio maana mnateua marehemu kwenye teuzi.Hakuna shida tatizo ni hawa CHADEMA,
Kama Dunia yote inakopa?
Sisi ni akina nani?
Asante sana Kafulila
Kopeni tu.Tutakopa tu hakuna namna tunataka maendeleo kwa haraka
Wewe unawazaga Siasa tu. Ukue basi. Watu wabishana kwa hoja wewe unataja personalities.NI BORA KUPATA POINT ZA KAFULILA MARA 1000,ZAIDI KULIKO KUUSIKILIZA UTUMBO MAVI ANAOUZUNGUMZA LISSU
HUWA HAZUNGUMZII MAMBO YA KIAKILI YA KUJENGA TAIFA NA KUWAELEWESHA WATANZANIA TUNAKWENDA WAPI?
Sababu kuu ya kukopa ni kwa kuwa umepungukiwa kwa maneno rahisi. Unapoendelea kukopa mwaka hadi mwaka ina maana mikopo ya zamani haizalishi kiasi cha kutosha kukusaidia wewe kupunguza kukopa au kuacha kabisa kukopa! Na hii ina sababu. Kafulila ni muongo.
===
David Kafulila, Mkurugenzi PPP TANZANIA katika ukurasa wake wa tweeter ( X ) amechambua haya,
Kafulila anasema, kukopa kwajili ya miradi ya maendeleo ndio njia sahihi na ndio mpango wa dunia nzima kwa sasa.
Kafulila anatufumbua macho kwamba nchi zote kubwa duniani tunazoziona zikimea zinajengwa kwa mikopo kwa wastani wa 97%
David anasema, wakati uchumi wa dunia umefikia US$ 105trilion, Deni lote la dunia ( serikali & private ) ni US$315trilion
Kwa lugha nyepesi,deni la serikali zote duniani limefikia US$ 97trilion sawa na 97% ya uchumi wa dunia,
Kafulila anasema deni lote la dunia kwa ujumla ni US$ 315 Trilioni zaidi ya 300% ya GDP ya dunia.
Vietnam ni nchi ya mfano duniani kwa muujiza wa kukuza uchumi ndani ya muda mfupi,
Mwaka 1990, uchumi wa Vietnam ulikuwa US$ 6.4bilion, mbele kidogo ya Tanzania iliyokuwa na US$ 4.5bilioni na nyuma ya Kenya iliyokuwa na US$ 8.4bilioni,
Lakini Leo miaka 30 baadae, uchumi wa Vietnam ni US$ 400bilion, karibu mara nne ya Kenya na mara tano ya Tanzania.
Hata hivyo, Mwaka 2007, wakati uchumi wa Vietnam ukiwa US$77bilion, sawa na Tanzania leo,
Mwaka huohuo wa 2007 uwiano wa deni kwa uchumi ulikuwa asilimia 43% karibu sawa na uwiano wa deni kwa uchumi wetu Tanzania.
Kukopa kujenga uchumi ndio njia na ndio Afya yenyewe ya nchi anasema David Kafulila.
View attachment 3011554
Kwani kwa sasa kuna barabara isiyolipiwa? Unaijua Road Toll?Hayo uliyoeleza yanahusianaje na PPP? Kwani kuliwa na msitu ndio inakuaje? Barabara si ni ya kulipia au? Mbona hueleweki.
Mwisho PPP kampuni zinajilipa Kulingana na Watumishi sio Mkopo wa Serikali
Sahihi kukopa ni muhimu sanaUjinga tu, unawasumbua hakuna lolote! (mikopo ni muhimu sana)
Kumbe shida sio kukopa ila ni matumiziWapumbavu tu mnawaza kukopa harafu mikopo yenyewe inaishia mifukoni mwa watu.Mm mtu akinishauri nikope hua namuona ni shetani kabisa maana km nguvu ya kutafuta ipo kwa nn tukope kwani sisi ndio kizazi pekee tz tutafanya tunapoweza kwa ufanisi na tutakapo shindwa watoto wetu watafanya hata Rome haikujengwa siku moja.Lakini tukawasikiliza wapuuzi wachumi uchwara walio shindwa kujiajiri kutwa kutafuta teuzi na ushauri wa kindenzi hatutafika na tutawaachia watoto nchi ikiwa ina maden makubwwaa na maliasili zetu tumeshamaliza kuziuza kwa wakopeshaji.
Daktari wa mikopoo
Naunga mkono hoja yako, kipande cha barabara kama hicho tujenge wenyewe kwa pesa zetu .Hivi unatafuta muwekezaji katika barabara ya Moro-Dar wakati asilimia kubwa ya mkoa wa morogoro ni pori la serikali? Ni suala la serikali kuita idara ya misitu kuwaambia tunapanua barabara, eti unaita PPP ya trilioni nzima. Moro Dar kilometa 190, ukijenga kila kilometa kwa bilioni moja,.njia mbili, bilioni mia tatu au mia nne hivi na ushee. Hizi ndio za kuitia muwekezaji? Hata ukijenga kwa awamu, mwaka huu kilometa 200, unaofata kilometa 200.
Sehemu za mkoa wa Pwani zenye maendelezo barabarani zikafidiwa. Nazo zikajengwa njia nne