ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Ndio...matumizi ya hiyo mikopo ni kichefu chefu ndio maana nashangaa hata mtu anae shauri kukopa.Kumbe shida sio kukopa ila ni matumizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio...matumizi ya hiyo mikopo ni kichefu chefu ndio maana nashangaa hata mtu anae shauri kukopa.Kumbe shida sio kukopa ila ni matumizi
Kuna maeneo yanahitaji Fedha zaidiNaunga mkono hoja yako, kipande cha barabara kama hicho tujenge wenyewe kwa pesa zetu .
Mikopo kibao bado barabara tupeleke kwa watu binafsi!!?
Tukakope tujenge miundombinuKuna maeneo yanahitaji Fedha zaidi
Mheshimiwa Kafulila ni mtu makini sanaAmetiririka na data by 100%,siyo yule bwege anayelia mbuga zimeuzwa akiambiwathibitisha anaanza ku jamba jamba.
Yes Wakati woteMheshimiwa Kafulila ni mtu makini sana
Huyu ndio kijana pekee aliyewahi kukataa TZS 3bl miaka ya 2014,mama akizid kumsikiliza huyu mtu tunatumbukia kwenye madeni makubwa
Nitamwambia ila wenye akili wanauona msaada wake kwa Taifa,Mwambieni kafulila hizo PR team anazozilipa kumuanzishia uzi kila siku hazina faida. Anachokifanya hakionekani zaidi ya kila siku kuimbiwa mapambio humu.
Naamini wengi watafurahi sana na jina la Rais litapaa zaidiAtafaa sana akipewa ukurugenzi wa Mawasiliano ya Rais ikulu.kwa sababu anafahamu vyema Dunia inakwendaje na ni mtu anayesoma na kujisomea sana na hivyo kuwa na uelewa wa masuala mbalimbali.jambo ambalo ni la muhimu sana kwa mtu anayekuwa kwenye nafasi ya ukurugenzi wa Mawasiliano ya Rais ikulu.
Litakuwa ni jambo jema sana na litakalogusa mioyo ya watu wengi sana.Naamini wengi watafurahi sana na jina la Rais litapaa zaidi
Shida ya hawa CHADEMA ukiwemo wewe hamfahamu mambo mengi yanayoendelea katika Dunia hii,Unaiwaza Sana CHADEMA. Kaleta mada mwana CCM , ila kwa unafiki wako unaitaja CHADEMA. Tatizo mnawaza Sana CHADEMA ndio maana mnateua marehemu kwenye teuzi.
Halafu wewe mbona hupati Uteuzi Kuna tatizo gani au huna CV?Litakuwa ni jambo jema sana na litakalogusa mioyo ya watu wengi sana.
Kukataa 3bl Hilo pekee halitoshi kupima uaminifu wakeHuyu ndio kijana pekee aliyewahi kukataa TZS 3bl miaka ya 2014,
Kwanini aliikataa pesa,
Ni mtu anaipenda nchi yake ,
Sasa kwanini Leo aitumnukize kwenye madeni yasiyo na faida?
🤣🤣🤣Eti pipi wakeSamia awe makini na PPP za Kafulia, naona zinamgeuza kuwa dalali, kwa hiyo muda mwingi mali za nchi anazipigia debe "kariakoo mia kariako mia......". (Sehemu ya kariakoo chagua raslimali ya taifa, sehemu ya mia, jaza fedha ambayo kafulia anaitia hao pipi (PPP)wake)
Nadhani hoja ibaki jinsi ya kuitumia Mikopo ila sio kukopa ni mbaya,Marekani hata ikichukua Mikopo inaonekana inapoingia sio hawa CCM inayochukua Mikopo inayoishia kupigwa Rejea SGR na TanRoads.
Ila 3bl sio kitu Cha mchezo kama mtu mchumia tumbo tuKukataa 3bl Hilo pekee halitoshi kupima uaminifu wake
Lucas Mwashambwa hata wewe unafaa sana tu👏🏿👏🏿Atafaa sana akipewa ukurugenzi wa Mawasiliano ya Rais ikulu.kwa sababu anafahamu vyema Dunia inakwendaje na ni mtu anayesoma na kujisomea sana na hivyo kuwa na uelewa wa masuala mbalimbali.jambo ambalo ni la muhimu sana kwa mtu anayekuwa kwenye nafasi ya ukurugenzi wa Mawasiliano ya Rais ikulu.