Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Miradi kama kuchimba matundu ya vyoo😂, chawa mna shida sanaMadeni makubwa ya kujenga uchumi na miradi Kuna shida gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miradi kama kuchimba matundu ya vyoo😂, chawa mna shida sanaMadeni makubwa ya kujenga uchumi na miradi Kuna shida gani?
Wapi tumechimba mashimo?Miradi kama kuchimba matundu ya vyoo😂, chawa mna shida sana
Ushagawa cheo tayari wakati wewe mwenyewe ni msaka cheo...😜😜😜😜Atafaa sana akipewa ukurugenzi wa Mawasiliano ya Rais ikulu.
Mimi sitafuti cheo ila huwa sina wivu wa kumtaja na kumuunga mkono mtu mwenye uwezo na weledi wa kiuongozi kama alivyo Mheshimiwa KafulilaUshagawa cheo tayari wakati wewe mwenyewe ni msaka cheo...😜😜😜😜
Acha ujinga we mjinga! Kwa rasilimali tulizo nazo tunaweza kuendesha nchi bila mikopo. Mnakopa bado hatuoni mnachokifanya,kazi kununuliana mavx na Prado za bei kubwa! Hadi ma rpc ambao wangeweza kutumia land cruiser hardtop. Mnatafuna pesa za walipa Kodi kwenda kuzurura na wasanii. Hovyo sana! Bado tumeona thread humu Mt Meru Hotel inachukuliwa Kwa USD million 45. Au ndio hiyo mikopo!?View attachment 3011907
===
David Kafulila, Mkurugenzi PPP TANZANIA katika ukurasa wake wa tweeter ( X ) amechambua haya,
Kafulila anasema, kukopa kwajili ya miradi ya maendeleo ndio njia sahihi na ndio mpango wa dunia nzima kwa sasa.
Kafulila anatufumbua macho kwamba nchi zote kubwa duniani tunazoziona zikimea zinajengwa kwa mikopo kwa wastani wa 97%
David anasema, wakati uchumi wa dunia umefikia US$ 105trilion, Deni lote la dunia ( serikali & private ) ni US$315trilion
Kwa lugha nyepesi,deni la serikali zote duniani limefikia US$ 97trilion sawa na 97% ya uchumi wa dunia,
Kafulila anasema deni lote la dunia kwa ujumla ni US$ 315 Trilioni zaidi ya 300% ya GDP ya dunia.
Vietnam ni nchi ya mfano duniani kwa muujiza wa kukuza uchumi ndani ya muda mfupi,
Mwaka 1990, uchumi wa Vietnam ulikuwa US$ 6.4bilion, mbele kidogo ya Tanzania iliyokuwa na US$ 4.5bilioni na nyuma ya Kenya iliyokuwa na US$ 8.4bilioni,
Lakini Leo miaka 30 baadae, uchumi wa Vietnam ni US$ 400bilion, karibu mara nne ya Kenya na mara tano ya Tanzania.
Hata hivyo, Mwaka 2007, wakati uchumi wa Vietnam ukiwa US$77bilion, sawa na Tanzania leo,
Mwaka huohuo wa 2007 uwiano wa deni kwa uchumi ulikuwa asilimia 43% karibu sawa na uwiano wa deni kwa uchumi wetu Tanzania.
Kukopa kujenga uchumi ndio njia na ndio Afya yenyewe ya nchi anasema David Kafulila.
View attachment 3011554
Weledi... Wa kujikomba...??Mimi sitafuti cheo ila huwa sina wivu wa kumtaja na kumuunga mkono mtu mwenye uwezo na weledi wa kiuongozi kama alivyo Mheshimiwa Kafulila
Hawa watu sijui vichwa vyao vikoje!! Takataka kabisa. Mimi Nina hakika hata madini pekee yangetosha kuijenga barabara nchi nzima.Usitumie kichwa kubebea kamasi, hiyo barabara ya Dar Moro ijengwe na serikali yenyewe bila PPP, PPP ichukue miradi mikubwa ya kiuchumi. Haizidi bilioni 500 kuifanya iwe ya kisasa
Kwako miradi ni ipi? Shida Iko kwako unaeionaMiradi kama kuchimba matundu ya vyoo😂, chawa mna shida sana
🤣🤣🤣Moja wapo ya ID za kujisifia za kafulila.
Unaomba au unakopa dollar kuchimba choo? una akili wewe, si bora uende CRDB nao wapate biasharaKwako miradi ni ipi? Shida Iko kwako unaeiona
Ushagawa cheo tayari wakati wewe mwenyewe ni msaka cheo...😜😜😜😜
Mkopo upi umejenga choo?Unaomba au unakopa dollar kuchimba choo? una akili wewe, si bora uende CRDB nao wapate biashara
Naona umeamua kujitoa akiliMkopo upi umejenga choo?
Hatupingi mikopo, tatizo inavyotumika ni hasara tupuKafulila anahitaji kujibiwa kisomi sio propaganda hizi zinazoendelea
Huyu muha anatutesa sana na mambo yake ya manamba nambaHatupingi mikopo, tatizo inavyotumika ni hasara tupu
Ndio maana nasema lazima ajibiwe kitaalamu naona BAVICHA nao wako kimya sijui ndio wameelewa!!Huyu muha anatutesa sana na mambo yake ya manamba namba