CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Just trust the process, Matumizi pia ni mema tuShida sio kukopa shida ni wizi, ujambazi, uhujumu uchumi, urafi na ufisadi uliojaa kwenye mfumo mzima wa serikali, hizo pesa zinaletwa kuingizwa kwenye mfuko uliotoboka lakini pia tunacho hoji kwa nini kila mradi wanaofanya serikali hii pesa kama sio za mkopo ni msaada makusanyo ya Kodi wanayo sema yamevunja rekodi yanafanya kazi gani 🤔kwamba zinaishia kwenye mishahara na kughalamia maisha yao ya anasa tuu🤔
Muhimu vionekane vinavyojengwa na viwe kwenye ubora unaolingana na pesa zilizokopwa 🙄View attachment 3012355
David Kafulila, Mkurugenzi wa PPP TANZANIA katika ukurasa wake wa tweeter ( X ) amechambua haya kwa kifupi
Kafulila anasema, kukopa kwajili ya miradi ya maendeleo ndio njia sahihi na ndio mpango wa dunia nzima kwa sasa.
Kafulila anatufumbua macho kwamba nchi zote kubwa duniani tunazoziona zikimea zinajengwa kwa mikopo kwa wastani wa 97%
David anasema, wakati uchumi wa dunia umefikia US$ 105trilion, Deni lote la dunia ( serikali & private ) ni US$ 315 trilion.
Kwa lugha nyepesi, Sasa deni la serikali zote duniani ikiwemo ya Rais Samia limefikia US$ 97trilion sawa na 97% ya uchumi wa dunia,
Kafulila anazidi kufafanua kuwa deni lote la dunia kwa ujumla ni US$ 315 Trilioni ambalo ni zaidi ya 300% ya GDP ya dunia.
Vietnam ni nchi ya mfano duniani kwa muujiza wa kukuza uchumi ndani ya muda mfupi,
Mwaka 1990, uchumi wa Vietnam ulikuwa US$ 6.4bilion, mbele kidogo ya Tanzania iliyokuwa na US$ 4.5bilioni na nyuma ya Kenya iliyokuwa na US$ 8.4bilioni,
Lakini Leo miaka 30 baadae, uchumi wa Vietnam ni US$ 400bilion, karibu mara nne ya Kenya na mara tano ya Tanzania.
Hata hivyo, Mwaka 2007, wakati uchumi wa Vietnam ukiwa US$77bilion, sawa na Tanzania leo,
Mwaka huohuo wa 2007 uwiano wa deni kwa uchumi Vietinum ulikuwa asilimia 43% karibu sawa na uwiano wa deni kwa uchumi wetu Tanzania Leo.
Kukopa kujenga uchumi ndio njia na ndio Afya yenyewe ya nchi anasema David Kafulila.
View attachment 3011554
Yes nadhani hili jambo muhimu zaidiMuhimu vionekane vinavyojengwa na viwe kwenye ubora unaolingana na pesa zilizokopwa 🙄
That’s the point ,
Sawa Kafulila ni asset ila ni kama anatuuza na yeye vileViongozi wengi wa Serikali ni kama wamekuwa waoga kuzungumzia inshu za Mikopo,
Nikwamara ya kwanza Kafulila anajitokeza kimaso maso kutetea ukopaji wa Serikali ,
Hakika hiki ni kiwango kikubwa sana sana Cha Uzalendo ambocho naamini kinainufaisha nchi.
Nimefurahisha na mijadala ya Kafulila kuhusu kukopa na deni la Taifa.
Mnyonge mnyongeni ila Kafulila ni asset kwa Taifa
Vizuri wapi acha uzwazwaKumbe Tanzania bado tuko vizuri mno,
Kama wenzetu wanekopa mpka 97% sisi tuna 40% huoni kama ni Rais anapambana zaidi?
Very true mkuuMuhimu vionekane vinavyojengwa na viwe kwenye ubora unaolingana na pesa zilizokopwa 🙄
That’s the point ,
Ndio akili zipo Kwa sababu kama choo tuu huna unakunya hovyo hovyo mwisho wa siku Magonjwa ya kiripuko unanunua maelfu ya dawa Kwa Dola ,huoni ni lazima kuomba na kukopa kujenga choo?Unaomba au unakopa dollar kuchimba choo? una akili wewe, si bora uende CRDB nao wapate biashara
Kumbe mli default? Sovereign rating ya Tanzania ni B+ na Kila mwaka tunalipa deni zaidi ya Trilioni 10,tunakopa pungufu ya hiyo.Issue siyo kukopa, issue ni uwezo wa kulipa hayo madeni.
Wakati wa mwinyi tulikopa sana, tukashindwa kulipa, mpaka tukawa hatukopesheki tena i.e tuka-default!
Btw, huo uchumi unaojengwa ndio uko wapi? Vietnam wa kwao unaonekana, sisi wa kwetu uko wapi?
Yes man anajiamini sana sio rahisi kujitoa muhanga kiiviNikiri kabisa kwa mara ys kwanza nimeanza kuelewa swala la mikopo kutoka kwa mwana CCM na kwa mara ya kwanza mwana CCM au kiongozi amejitokeza kujenga hoja kuhusu mikopo na anaweza kukushawishi na anajibu baadhi ya hoja…..
Kwakweli tofauti ya Kafulila na wengine ni kujiamini na kuwa na uwezo wa kujenga hoja na kutoogopa maswali….Kafulila naona ameanza kuikoa serikali…pengine angekuwa pale ikulu ya mawasiliano ingefaa sana na watanzania tungefaidi sana madini …
Huyu jamaa anajua kujenga hoja na ndiye pengine watu wanaweza msikiliza kwa sasa!
Lobbying !! 😳Nikiri kabisa kwa mara ys kwanza nimeanza kuelewa swala la mikopo kutoka kwa mwana CCM na kwa mara ya kwanza mwana CCM au kiongozi amejitokeza kujenga hoja kuhusu mikopo na anaweza kukushawishi na anajibu baadhi ya hoja…..
Kwakweli tofauti ya Kafulila na wengine ni kujiamini na kuwa na uwezo wa kujenga hoja na kutoogopa maswali….Kafulila naona ameanza kuikoa serikali…pengine angekuwa pale ikulu ya mawasiliano ingefaa sana na watanzania tungefaidi sana madini …
Huyu jamaa anajua kujenga hoja na ndiye pengine watu wanaweza msikiliza kwa sasa!
Do not be fooled with West. Marekani Ana ukwasi mkubwa sana wanacheza na ability zetu. Hii mikopo tunauza Taifa. Vizazi vijavyo kazi ipoView attachment 3012355
David Kafulila, Mkurugenzi wa PPP TANZANIA katika ukurasa wake wa tweeter ( X ) amechambua haya kwa kifupi
Kafulila anasema, kukopa kwajili ya miradi ya maendeleo ndio njia sahihi na ndio mpango wa dunia nzima kwa sasa.
Kafulila anatufumbua macho kwamba nchi zote kubwa duniani tunazoziona zikimea zinajengwa kwa mikopo kwa wastani wa 97%
David anasema, wakati uchumi wa dunia umefikia US$ 105trilion, Deni lote la dunia ( serikali & private ) ni US$ 315 trilion.
Kwa lugha nyepesi, Sasa deni la serikali zote duniani ikiwemo ya Rais Samia limefikia US$ 97trilion sawa na 97% ya uchumi wa dunia,
Kafulila anazidi kufafanua kuwa deni lote la dunia kwa ujumla ni US$ 315 Trilioni ambalo ni zaidi ya 300% ya GDP ya dunia.
Vietnam ni nchi ya mfano duniani kwa muujiza wa kukuza uchumi ndani ya muda mfupi,
Mwaka 1990, uchumi wa Vietnam ulikuwa US$ 6.4bilion, mbele kidogo ya Tanzania iliyokuwa na US$ 4.5bilioni na nyuma ya Kenya iliyokuwa na US$ 8.4bilioni,
Lakini Leo miaka 30 baadae, uchumi wa Vietnam ni US$ 400bilion, karibu mara nne ya Kenya na mara tano ya Tanzania.
Hata hivyo, Mwaka 2007, wakati uchumi wa Vietnam ukiwa US$77bilion, sawa na Tanzania leo,
Mwaka huohuo wa 2007 uwiano wa deni kwa uchumi Vietinum ulikuwa asilimia 43% karibu sawa na uwiano wa deni kwa uchumi wetu Tanzania Leo.
Kukopa kujenga uchumi ndio njia na ndio Afya yenyewe ya nchi anasema David Kafulila.
View attachment 3011554
Wanasema itasamehewa tu hapo baadaeDo not be fooled with West. Marekani Ana ukwasi mkubwa sana wanacheza na ability zetu. Hii mikopo tunauza Taifa. Vizazi vijavyo kazi ipo
Do not be fooled with West. Marekani Ana ukwasi mkubwa sana wanacheza na ability zetu. Hii mikopo tunauza Taifa. Vizazi vijavyo kazi ipo
Sisi wananchi concern kubwa sio kukopa na wala hatupingi nchi kukopa analijua holo vyema kabisa issue yetu ni matumizi ya haya mamikopo miradi haimaliziki madeni yanaongezeka,miradi inakua chini ya viwango inakosa uimara wakukaa muda mrefu mfano mzuri barabara zetu ubora mdogo ndani ya muda mfupi mashimo lakini tunaendelea kulipa mikopo,SGR ishakopewa lakini mradi haukamiliki upo nje ya muda waliosema utakua tayari,mwendokasi ni kero tupu ila tunalipa deni lake,sasa ndio mana kelele zinakua nyingi matumizi mabaya yamikopo kwa kigezo cha maendeleo,bandari tulikopa kununua vifaa na tushampa mwekezaji,mikopo ya uviko kwa madarasa lakini bado kuna sehemu watoto wetu wanakaa chini kwakukosa madawati,sasa lazima tuweke utaratibu wa uwazi katika kukopa tujue unaposima mkopo ni kwa ajili ya barabara,elimu,afya nk tujue ni barabara zipi zitajengwa zina urefu gani na kwa gharama zipi,kama ninshule pia ni shule zipi kwa majina,na hivyo hivyo kwenye afya na kwengineko kuweka uwazi ili kesho yasipofanyika na tumekopa tuwawajibishe wahusika.View attachment 3012355
David Kafulila, Mkurugenzi wa PPP TANZANIA katika ukurasa wake wa tweeter ( X ) amechambua haya kwa kifupi
Kafulila anasema, kukopa kwajili ya miradi ya maendeleo ndio njia sahihi na ndio mpango wa dunia nzima kwa sasa.
Kafulila anatufumbua macho kwamba nchi zote kubwa duniani tunazoziona zikimea zinajengwa kwa mikopo kwa wastani wa 97%
David anasema, wakati uchumi wa dunia umefikia US$ 105trilion, Deni lote la dunia ( serikali & private ) ni US$ 315 trilion.
Kwa lugha nyepesi, Sasa deni la serikali zote duniani ikiwemo ya Rais Samia limefikia US$ 97trilion sawa na 97% ya uchumi wa dunia,
Kafulila anazidi kufafanua kuwa deni lote la dunia kwa ujumla ni US$ 315 Trilioni ambalo ni zaidi ya 300% ya GDP ya dunia.
Vietnam ni nchi ya mfano duniani kwa muujiza wa kukuza uchumi ndani ya muda mfupi,
Mwaka 1990, uchumi wa Vietnam ulikuwa US$ 6.4bilion, mbele kidogo ya Tanzania iliyokuwa na US$ 4.5bilioni na nyuma ya Kenya iliyokuwa na US$ 8.4bilioni,
Lakini Leo miaka 30 baadae, uchumi wa Vietnam ni US$ 400bilion, karibu mara nne ya Kenya na mara tano ya Tanzania.
Hata hivyo, Mwaka 2007, wakati uchumi wa Vietnam ukiwa US$77bilion, sawa na Tanzania leo,
Mwaka huohuo wa 2007 uwiano wa deni kwa uchumi Vietinum ulikuwa asilimia 43% karibu sawa na uwiano wa deni kwa uchumi wetu Tanzania Leo.
Kukopa kujenga uchumi ndio njia na ndio Afya yenyewe ya nchi anasema David Kafulila.
View attachment 3011554
Umesomeka vizuri najua mama au watu wake lazima wapitie humu.Sisi wananchi concern kubwa sio kukopa na wala hatupingi nchi kukopa analijua holo vyema kabisa issue yetu ni matumizi ya haya mamikopo miradi haimaliziki madeni yanaongezeka,miradi inakua chini ya viwango inakosa uimara wakukaa muda mrefu mfano mzuri barabara zetu ubora mdogo ndani ya muda mfupi mashimo lakini tunaendelea kulipa mikopo,SGR ishakopewa lakini mradi haukamiliki upo nje ya muda waliosema utakua tayari,mwendokasi ni kero tupu ila tunalipa deni lake,sasa ndio mana kelele zinakua nyingi matumizi mabaya yamikopo kwa kigezo cha maendeleo,bandari tulikopa kununua vifaa na tushampa mwekezaji,mikopo ya uviko kwa madarasa lakini bado kuna sehemu watoto wetu wanakaa chini kwakukosa madawati,sasa lazima tuweke utaratibu wa uwazi katika kukopa tujue unaposima mkopo ni kwa ajili ya barabara,elimu,afya nk tujue ni barabara zipi zitajengwa zina urefu gani na kwa gharama zipi,kama ninshule pia ni shule zipi kwa majina,na hivyo hivyo kwenye afya na kwengineko kuweka uwazi ili kesho yasipofanyika na tumekopa tuwawajibishe wahusika.