Kafulila watu wameanza kumdharau wamegundua anapitiliza

Kamanda Mimi nilisema Kafulila anaua kabisa Upinzani sikueleweka.

Jamaa napandisha mada kila siku kumsifia mgombea wa CCM chama Kiko kimya kabisa.
Kafulila anayoakili tunafahamu tangu akiwa
Upinzani hivyo lazima tumkabili Kwa namna Yoyote Ile.
 
Uongo mbaya Mimi nakujaga jf kwa sababu ya Kafulila tu
 
CHADEMA bado hamjasema ndio kazi Sasa inaanza kuelekea Oct 2025.
 
Kamanda Mimi nilisema Kafulila anaua kabisa Upinzani sikueleweka.

Jamaa napandisha mada kila siku kumsifia mgombea wa CCM chama Kiko kimya kabisa.
Kafulila anayoakili tunafahamu tangu akiwa
Upinzani hivyo lazima tumkabili Kwa namna Yoyote Ile.
Kwenye kichwa chako hapo umetumia akili kubwa kweli kuandika huo upuuzi wako.

Ukidhani ni personal issues.

Mimi naongea on technical terms, Kafulila hana uelewa wa maswala anayoengea awe raia wakawaida, mwanachama wa CCM, CDM, CUF, ACT or whatever.

Kiwango chake cha ujinga ni sawa na wewe. Halafu kama vile ni shallow zaidi.

Pathetic, you.

Huu ndio ujinga unaofanya baadhi ya diaspora kuona shida kurudi, ana deal vipi na taahira kama wewe ambae kwenye kichwa chako unajiona mwerevu wakati taahira.

Muda wa kufanya mambo mengine, the nonsense.
 
Kafulila ni Karl Peters wax nyakati zetu.
 
Wewe mbona sikuelewi,

Kafulila anaweza kukabiliwa na chama sio na mtu mmoja kama wewe usiye na jukwaa lolote zaidi hapa jf kwenye comment.

Mimi ni CHADEMA ila ni Ujinga na upumbafu kusema Kafulila hana akili,

Nadhani hoja hapa ni bampa 2 bampa tupambane nae.
 

Kafulia ni liCHAWA flani hivi
 
Unamjibu mjinga ila nawe uonekane mjinga?
 
Kwa kiwango chako cha umbumbavu, ni ngumu kuelezewa jinsi ulivyo mjinga.
 
Kamanda Mimi nilisema Kafulila anaua kabisa Upinzani sikueleweka.

Jamaa napandisha mada kila siku kumsifia mgombea wa CCM chama Kiko kimya kabisa.
Kafulila anayoakili tunafahamu tangu akiwa
Upinzani hivyo lazima tumkabili Kwa namna Yoyote Ile.
Bora wewe umeamua kuwa mkweli,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…