Kafulila watu wameanza kumdharau wamegundua anapitiliza

Upo sahihi kabisa, Tumbili hana utulivu hajatulia, na hapa jukwaani ana Mamluki kama wote, ana Id zake pia, kila siku thread za Tumbili, yaani hata mods wako nyuma yake, thread za kishamba za kujikomba zinaachwa kila siku, unakuta kwa siku thread 2 za Tumbili🤔🤔🤔🤣🤣
 
Mr tumbili yupo na sifa kama nduguzo, Tumbili wana vituko sana aisee
 
Wewe Nini kinakuwasha?
 
Hakuna siku Kafulila kazungumza bila namba tangu lini namba ilidanganya?
Na unapomjibu lazima uzingatie kabisa Kuna Sheria ya takwimu nadhani shida ndio inaanzia hapa namna ya kumjibu,

..kafulila yuko vizuri kwenye kukumbuka takwimu, lakini ana uwezo mdogo wa kutafsiri takwimu anazozinukuu.
 
MMlichelewa sana kujua kwamba huyu chawa ni janga kubwa katika Taifa hili.

Humu ana ID kama nne ambazo zote anajizungumzia yeye na kujipemdekeza kuliko pitiliza. Lakini kimsingi ni bwana mweupe kama walivyo weuoe wenzake!

Hilo jina KAFULILA ninapoliona kwenye hizo mada zake huwa sihangaiki hata kuzifungua.
 
Hakuna siku Kafulila kazungumza bila namba tangu lini namba ilidanganya?
Na unapomjibu lazima uzingatie kabisa Kuna Sheria ya takwimu nadhani shida ndio inaanzia hapa namna ya kumjibu,
Wewe ni KAFULILA. Hebu tuliza kalio watu wakujadili. IDs umekuwa nazo nyingi mno
 
Kafulila ni janga kwa CHADEMA sio Taifa hapa umepitiwa.
Shida yenu jamaa asitoe utetezi kwa Samia ili mpate mpenyo wa.kumpiga spana mgombea wetu.
Nashauri Kafulila spana ziendelee CHADEMA bado hawajasema.
 
Atulie kwa maana kizuri chajiuza bali * kibaya hujitembeza " , Akili mu kichwa !
 
stupidity,

Yaani wewe unaweza kujilinganisha na Kafulila kwenye lini?

Record za Kafulila ziko everywhere wewe zako ni zipi?

Ninachokiona wewe unashida binafsi na Kafulila maana unahangaika sana kupotasha juu ya Kafulila.

Uwezo wa ku-negotiate na Wawekezaji unaousema ni WA lugha au content maana hueleweki.

Mtu makini kama Kafulila wewe unasema hawezi negotiations na Wawekezaji hapa napata shida nyingine ya kukutambua wewe mwenyewe academically
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…