Kafulila watu wameanza kumdharau wamegundua anapitiliza

Kafulila watu wameanza kumdharau wamegundua anapitiliza

Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Kichwani yuko vizuri tatizo ni asili yake ya siasa imemfanya asijue kuna muda wa kunyamaza na kuachia wengine.
 
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Binafsi navutiwa sana na anachokifanya Kafulila,

Leo kama Mteule wa Rais angefanya vile anafanya Kafulila hakuna hoja wapinzani wangepenyeza
 
  • Nzuri
Reactions: YAY
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Huyu Hana tofauti na Garson Msigwa pale ikulu, amekuwa, kilaza,sasa, hv makalio, kitambi vimeongezeka, anacheka Cheka tu kama zuzu, au, Malaya kaona lakimoja!
 
Kwanza ana uelewa mdogo sana wa mambo anayoyaongelea, sema kalipa watu wengi sana ku-promote ujinga anao-ongea.

99% ya recurring topics za ujinga wake wa JF ni ujinga mtupu ni maswala ambayo uelewa wake mdogo; my god huyo ndio mtu wa ku-discuss serious issues na wawekezaji.

Kwenye kichwa he is actually convinced he knows it.
 
Kwanza ana uelewa mdogo sana wa mambo anayoyaongelea, sema kalipa watu wengi sana ku-promote ujinga anao-ongea.

99% ya recurring topics za ujinga wake wa JF ni ujinga mtupu ni maswala ambayo uelewa wake mdogo; my god huyo ndio mtu wa ku-discuss serious issues na wawekezaji.

Kwenye kichwa he is actually convinced he knows it.
Kwani usimpinge kwa hoja,

Kwanini ufurahie CHADEMA iendelee kuumizwa na Kafulila na wewe uko vizuri zaidi yake?

#Samia mitano tena
 
Kafulila azibitiwe haraka
Yaani kaajiri matahira wenzake ambao wanaweka active mada zake humu 24/7 utadhani ni vitu vya maana.

Ngoja sasa usome comments:

Kafulila ni asset ya taifa
Kafulila ana akili sana
Tanzania inamuhitaji Kafulila

etc na uthenge wao (excuse my language).

Kafulila ana position ya kupata media airtime, lakini uelewa wake wa maswala husika anayoongelea ni mdogo mno.

Ni sawa kama kufurahisha kadamnasi yetu, lakini sio mtu wa kuongea serious business na watu nje ya mipaka yetu.

Huo uwezo hana
 
Kwani usimpinge kwa hoja,

Kwanini ufurahie CHADEMA iendelee kuumizwa na Kafulila na wewe uko vizuri zaidi yake?

#Samia mitano tena
Huo uwezo wa kuongea hoja na mimi kwa vitu anavyoongea hana.

Yaani hana uwezo huo

Ujinga mtupu, dakika mbili tu namuonyesha ujinga wake
 
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Mbona hili tuliliona siku nyingi.
Maneno mingi huyu tumbili.
 
Back
Top Bottom