Kafumaniwa

Kloro hujasikia machozi kusema ukweli machozi yamenilenga usoni .. ama kweli dunia tambara bovu!



 
Alafu nasikia bora mwanamke au mwanaume ropo ropo (muongeaji) kuliko wakimya. Yaani unaweza ukawa professional cheater unamwagalia mkeo au mmeo kama zuzu fulani. Utaja shangaa siku hilo zuzu litakapokufanya ndivyo sivyo. Ndo utasikia majirani yani marehemu hatukumdhania kabisaa au eeh fulani ndo kafanya hivi kweli haiwezekani. Watu wakimya huwa wanaweka mambo moyoni siku wakilipuka ni balaa.
 
hembu watazame wale watoto ina maana kuna ambao watakuwa wanalia baba hayupo na mama anaozea jela aiiii hapana jamani.



Jamaa ameisha:rip::rip::rip:tayari hapo sasa wanaanza purukushani zingine sijui kesi sijui mambo gani dah!!
 

Usijali baba enock baada ya kuzika na watu kutulia tulia nitawaletea habari zaidi, ila tu watu wanatakiwa wawe makini sana kwenye kuzini hasa inapohusisha mke wa mtu na mume wa mtu, maana inaonyesha watu wakifumania akili zinaruka kabisa hata kama walikua wamepanga
 


Ndo maana tunaomba taarifa za kiintelijensia hapa. Ingetokea bila kujua ilikuwa inaleta maana, lakini walijua, wakapanga kwenda kufumania, japo muanzaisha uzi hajatuambia kama walichukua zana gani za kazi.
 
Sijui kwanini nimekumbuka huu wimbo ghafla "Wanaume tumeumbwa mateso mateso kuhangahika"
 
Kloro hujasikia machozi kusema ukweli machozi yamenilenga usoni .. ama kweli dunia tambara bovu!
balance diet hakuna mama, hayo machozi yatatokea wapi? mlo wenyewe mpaka jirani akuwe na shuhuli.

bek to ze topik: hii habari inakasirisha sana aisee, bora nisicomment tu. RIP marehem.
 

Hivi Klorokwin kwani umeshapata taarifa aliyefumaniwa kishakata roho?
Oops unaniogopesha mwenzio
 
balance diet hakuna mama, hayo machozi yatatokea wapi? mlo wenyewe mpaka jirani akuwe na shuhuli.

bek to ze topik: hii habari inakasirisha sana aisee, bora nisicomment tu. RIP marehem.
Ankal maisha yako yote kweli haujawahi kufumania
 

Kuanzia leo naachana na Wake za watu wale watano niliokuwa nawa-DATE! Maana Dah!
 
Hivi Klorokwin kwani umeshapata taarifa aliyefumaniwa kishakata roho?
Oops unaniogopesha mwenzio
Festiledy1 nazani PC yako itakuwa imesetiwa isioneshe post za misiba. hivi haujaona post kama 3 hivi za maty kwenye huu uzi zinasema kwamba kijana hatunae tena.
 
klorokwin balaa... kachapa ndefu aisee

Nakwambia we acha tu...ivi sheria inasemaje ukimuua mgoni wako,nakumbuka kama inakuwa umeua bila kukusudia au sio?
 
Festiledy1 nazani PC yako itakuwa imesetiwa isioneshe post za misiba. hivi haujaona post kama 3 hivi za maty kwenye huu uzi zinasema kwamba kijana hatunae tena.

Nalia kwa uzuni mie kumbe ndo hivo tena nambie page namba ngapi..Maty Nielekeze huyo mwanamke mwenzangu aliyepanga mashambulizi nikamtafune mie ,Klo wajua leo nimetaitika vibaya sana hapa nilipo nackia kizunguzungu :help:
 
Nakwambia we acha tu...ivi sheria inasemaje ukimuua mgoni wako,nakumbuka kama inakuwa umeua bila kukusudia au sio?
mkuu hata uue bahati mbaya jela utaenda, na watakupiga mikasi huko selo hadi uzoee... usiombe mkuu, cha maana ni kuomba yasikukute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…