ndio maana nimeamua kuyachukulia maisha kama joke flani hivi. sasa hapa ukiangalia utaona
-roho imepotea
-fumanizi haliwezi kufutika katika historia.
-mdada kashiriki kuuwa mume na sasa ataolewa na aibu, mahari ni jeuri yake. nyambaaf!
-huyo mkaka aliejifanya kidume kumdunda marehemu wajanja wa keko wanamsubiri. shenzz! ccm! kalkit! pambaf mweusi!
-Maty ameanzisha sredi
-LD kakasirika
-chauro kapoteza apetaiti
- list goes on.......................
Hii kali aisee, na ccm ndani??
Jamaa ameisha:rip::rip::rip:tayari hapo sasa wanaanza purukushani zingine sijui kesi sijui mambo gani dah!!
Hivi neno "kufumaniwa" maana yake nini? Inawezekana ndiyo kwa Kiingereza wanasema "caught red-handed"?
Kwa jamii ya kawaida hii scenario ya Maty haiwezi kuwa "Fumanizi" ni kama "planned homicide": Mr X anafanya ngono na Mrs Y - Mrs X na Mr Y wanapata hizo habari - Halafu Mrs X na Mr Y wanapanga "kufumania"!!! Wanao-fumania Mr X anapigwa mpaka Mauti yanamkuta - Habari haisemi Mrs Y ametoweka vipi au amehusika vipi au hatima yake nini - Strange!!
Anywayz - hata vitabu vitakatifu vinachelea kutoa "maana ya fumanizi"...
Hivi neno "kufumaniwa" maana yake nini? Inawezekana ndiyo kwa Kiingereza wanasema "caught red-handed"?
Kwa jamii ya kawaida hii scenario ya Maty haiwezi kuwa "Fumanizi" ni kama "planned homicide": Mr X anafanya ngono na Mrs Y - Mrs X na Mr Y wanapata hizo habari - Halafu Mrs X na Mr Y wanapanga "kufumania"!!! Wanao-fumania Mr X anapigwa mpaka Mauti yanamkuta - Habari haisemi Mrs Y ametoweka vipi au amehusika vipi au hatima yake nini - Strange!!
Anywayz - hata vitabu vitakatifu vinachelea kutoa "maana ya fumanizi"...
klorokwin balaa... kachapa ndefu aiseeNa kalkit......duh
Ndio hivyo yameishatokea tayarihembu watazame wale watoto ina maana kuna ambao watakuwa wanalia baba hayupo na mama anaozea jela aiiii hapana jamani.
balance diet hakuna mama, hayo machozi yatatokea wapi? mlo wenyewe mpaka jirani akuwe na shuhuli.Kloro hujasikia machozi kusema ukweli machozi yamenilenga usoni .. ama kweli dunia tambara bovu!
ndio maana nimeamua kuyachukulia maisha kama joke flani hivi. sasa hapa ukiangalia utaona
-roho imepotea
-fumanizi haliwezi kufutika katika historia.
-mdada kashiriki kuuwa mume na sasa ataolewa na aibu, mahari ni jeuri yake. nyambaaf!
-huyo mkaka aliejifanya kidume kumdunda marehemu wajanja wa keko wanamsubiri. shenzz! ccm! kalkit! pambaf mweusi!
-Maty ameanzisha sredi
-LD kakasirika
-chauro kapoteza apetaiti
- list goes on.......................
Ankal maisha yako yote kweli haujawahi kufumaniabalance diet hakuna mama, hayo machozi yatatokea wapi? mlo wenyewe mpaka jirani akuwe na shuhuli.
bek to ze topik: hii habari inakasirisha sana aisee, bora nisicomment tu. RIP marehem.
How could you do this to me?Hivi Klorokwin kwani umeshapata taarifa aliyefumaniwa kishakata roho?
Oops unaniogopesha mwenzio
Usijali baba enock baada ya kuzika na watu kutulia tulia nitawaletea habari zaidi, ila tu watu wanatakiwa wawe makini sana kwenye kuzini hasa inapohusisha mke wa mtu na mume wa mtu, maana inaonyesha watu wakifumania akili zinaruka kabisa hata kama walikua wamepanga
Festiledy1 nazani PC yako itakuwa imesetiwa isioneshe post za misiba. hivi haujaona post kama 3 hivi za maty kwenye huu uzi zinasema kwamba kijana hatunae tena.Hivi Klorokwin kwani umeshapata taarifa aliyefumaniwa kishakata roho?
Oops unaniogopesha mwenzio
klorokwin balaa... kachapa ndefu aisee
Good move aisee... maana wakikung'ang'ania utashindwa kujibeba aiseeKuanzia leo naachana na Wake za watu wale watano niliokuwa nawa-DATE! Maana Dah!
Festiledy1 nazani PC yako itakuwa imesetiwa isioneshe post za misiba. hivi haujaona post kama 3 hivi za maty kwenye huu uzi zinasema kwamba kijana hatunae tena.
mkuu hata uue bahati mbaya jela utaenda, na watakupiga mikasi huko selo hadi uzoee... usiombe mkuu, cha maana ni kuomba yasikukuteNakwambia we acha tu...ivi sheria inasemaje ukimuua mgoni wako,nakumbuka kama inakuwa umeua bila kukusudia au sio?
How could you do this to me?