Kagame anajisifia kufunga makanisa na misikiti: Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu. Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!

 
Kagame anajua ukweli kuhusu makanisa na misikiti. Ni mwanajeshi yule wa levo ya juu sana kaenda mafunzo mengi sana ya majenerali wa kijeshi duniani toka enz yuko na museven uganda.

Ukweli ni kwamba dini zote zimetengenezwa na watu ili kutawala kuwe rahisi.. na pia matendo mabaya yapungue duniani. Jiulize hivi kuna dini tu bado watu tunauana. Tunatapeli, tunazulumu. Je zisingekuwepo ingekuwaje?

Mungu yupo kwenye mind za binadamu tu.

Panya anazaliwa na kufa kama binadamu..je na panya mwema ataenda peponi na panya mwovu jehanamu?

Vipi kuhusu simba na wanyama wengine kama nyani
 
Inasikitisha kuwa hadi leo kuna watu hawana uhakika wa uzima wa milele!!
 
Naanza hapa kuna limoja lipo Tanganyika packers.... multitude of Unemployed Youths go to Pray for miracle Jobs [emoji1][emoji1][emoji1]
What do you speak to those who are employed and are faithful church members?
 
Huwezi kutumia mamlaka ya kifalme/urais au umalkia kudeal na mambo ya rohoni kama wewe sio wa rohoni

Mwache atakupa kujua kwamba Mungu hafungiwi ila anaweza kukufungia kuingia na kuondoka
 
Scars is typing........πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹
 
Mkono wa Mungu ulishindwa kuonekana kwenye mauaji ya kimbari uje uonekane hapa?

Ngoja tuone vita kati ya mkono wa Mungu na mkono wa serikali ila mpaka saizi serikali ina asilimia 95 za ushindi.
 
Madai ya Kagame hayana msingi! Kama waanzilishi wa Ukristo na Uislamu hawakuwa na Shahada huwezi kuweka sharti kuwa wafuasi wao lazima wawe na shahada!!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…