Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Sema hapa kakosea, asinge yafunga tu ingebidi ayabomoe kabisa uwanja unao patikana afanye kitu cha maana au aya convert kuwa hospitali au shule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema hapa kakosea, asinge yafunga tu ingebidi ayabomoe kabisa uwanja unao patikana afanye kitu cha maana au aya convert kuwa hospitali au shule
Nilitegemea comment kama hiiMkono wa Mungu ulishindwa kuonekana kwenye mauaji ya kimbari uje uonekane hapa?
Ngoja tuone vita kati ya mkono wa Mungu na mkono wa serikali ila mpaka saizi serikali ina asilimia 95 za ushindi.
Kiroho hiyo ina maana kubwa sana ila ukiwa mtu ambaye huna imani huwezi kuelewa mechanism ya ushuzi kwenye muujizaWachungaji uchwara Kama Hawa wanaojambia wafuasi wao usoni wakisema wanawaombea Ni upumbavu na wanatakiwa hata miti wachezee.View attachment 2358227
Sent from JamiiForums mobile app
Kama sababu gani?Nilitegemea comment kama hii
Naheshimu maoni yako ila kwangu Mungu anaachilia au kuzuia jambo ukiwa na sababu zake
Mchungaji anaponya kwa ushuzi we unasema faithfulWhat do you speak to those who are employed and are faithful church members?
Mkono wa Mungu ulishindwa kuonekana kwenye mauaji ya kimbari uje uonekane hapa?
Ngoja tuone vita kati ya mkono wa Mungu na mkono wa serikali ila mpaka saizi serikali ina asilimia 95 za ushindi.
Nimeuona ila nimeuacha makusudi kwasababu kadhaa ambazo nisingependa kuziweka hapa[emoji23][emoji23] [mention]Scars [/mention] nimeandika uzi wa wewe kuandika kitabu naomba uchek kwenye my profile
Naomba unisaidie ushahidi wa hili.Ukweli ni kwamba dini zote zimetengenezwa na watu ili kutawala kuwe rahisi.. na pia matendo mabaya yapungue duniani.
Naomba unisaidie ushahidi wa hili.
Mbona Yuko sawa. Lazima uwe na digrii ya theology Ni rahisi mno ku mislead watu kisa umekariri vifungu fulani.Kagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu!! Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!!
View attachment 2358229
Hawa siyo wachungaji. Haya ni maigizo watu wanafanya ili kuuchafua Ukristo. Hakuna mchungaji ambaye anaweza kujambia watu wazima hivi!Wachungaji uchwara Kama Hawa wanaojambia wafuasi wao usonj wakisema wanawaombea Ni upumbavu na wanatakiwa hata miti wachezee.View attachment 2358227
Sent from JamiiForums mobile app
Ipo siku utatatafuta hayo makanisa na hutayaona. Okoka ndugu. Mwamini Yesumakanisa ya kilokole yanakera sana, aya ndio yaanze kufungwa, yamekuwa kero wanafanya maombi bila utuliv na ustaarab
Hiyo vita hakuna mwanadamu aliyoweza. Ni vita mbaya sana. Ina Siri kubwa ndani yake. Anachokifanya kagame hajui tuSema hapa kakosea, asinge yafunga tu ingebidi ayabomoe kabisa uwanja unao patikana afanye kitu cha maana au aya convert kuwa hospitali au shule
Wewe uliuonea wapi kati ya hizo njia mbili?Ushahidi hauwekwi hadharani ili imani isipotee kwa jamii Ila kwenye mafunzo ya special force ama mission serious utapewa ushahidi..
Mtaani mwizi akivaa uniform anaitwa tapeli na sio polisi. Tapeli akijiita mchungaji watu wanamtumia kama ushahidi wa ujinga wa Wakristo.Hawa siyo wachungaji. Haya ni maigizo watu wanafanya ili kuuchafua Ukristo. Hakuna mchungaji ambaye anaweza kujambia watu wazima hivi!
Ndio ameshawajambia sasa.Hawa siyo wachungaji. Haya ni maigizo watu wanafanya ili kuuchafua Ukristo. Hakuna mchungaji ambaye anaweza kujambia watu wazima hivi!