political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
nipeni location wadau na mimi nikajishikie mbususu za bure kama izi[emoji16][emoji16]Hayo makanisa sasaView attachment 2358295
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipeni location wadau na mimi nikajishikie mbususu za bure kama izi[emoji16][emoji16]Hayo makanisa sasaView attachment 2358295
Ila kwa namna nyingine yupo sahihi, watumishi wakasomeKagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu. Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!
View attachment 2358229
nchi yenyewe in 26000sqkm kama mkoa wa Tanga iwe na makanisa zaidi ya 6000 na misikiti zaidi ya 100. Ni lazima ufute mengine maaana itakuwa kila baada ya nyumba tatu kuna kanisa au msikiti. Wala si jambo la kujisifu, ye yote anaweza akafanya hiloKagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu. Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!
View attachment 2358229
mimi sio mfuasi wa dini yoyote,ila naheshimu imani za watu.Kagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu. Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!
View attachment 2358229
Ndio ameshawachukulia hatua barabara.Huwezi kutumia mfano wa wachungaji waovu ili kuhalalisha kukataa huduma za wachungaji wote hata wale ambao ni wa kweliu. kinachotakiwa ni kuwachukulia hatua muafaka wale ambao ni fake na kuwatia moyo wale ambao ni wa kweli!
Unamtisha Kagame!!??Kagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu. Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!
View attachment 2358229
Ninachofurahia Ni Kagame kuwanyoosha matapeli barabara,Sasa Nyie wanakondoo suala la kulalamika sidhani Kama Ni inshu.Hili nalo ni la kusifia na kushabikia ndugu yangu? Wewe inakusaidiaje au unapata faida gani akiwajambia mpaka ushabikie upuuzi huu?
Waigizaji hawa wanaolipwa kwa lengo la kuuchafua Ukristo watakuwa na mwisho mbaya sana labda waje watubu! Mungu na Awasamehe maana hawajui walitendalo!
Acheni utumwa wa fikra nyie watu weusi, mzungu na mwarabu kawaletea dini kama utumwa mpya wa kifikra, Kagame ameona mbali sana huu upuuzi wenu wa dini msitishe nao, mbona wazungu wamechinja kondoo kwa malkia je, ni nini kama sio mila zao!? Heshimu mila zako, achana na dini zilizoletwa na wakoloniKagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu. Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!
View attachment 2358229
Acha kutetea wapuuzi na ujinga wa hao jamaa,tena Sheria ilitakiwa ziwe Kali zaidi ya hizo za Kagame.Haya ni mambo ya mtandaoni tu ndugu yangu na usiamini kila kitu unachokiona wala kukisikia. Kuna ajenda kubwa ya mambo haya dhidi ya Ukristo kama hujui na wafadhili wakuu ni hawa wenye ajenda ya ushoga na usagaji. Lengo lao ni kuonyesha kuwa Ukristo nao si lo lote wala cho chote kwa mambo kama haya. Watu wanalipwa mpaka $100K kuigiza huu upuuzi 🚮🚮🚮
Kitunda kuna nabii wa ajabu ajabu wanawake wengi ndoa zimevunjika, yani ni kero kabisa.Kuna makanisa ni kero hapa tz yapo mengi sana. Ni vile tuu hujui
Mimi nahisi unatufunga kamba tu! Yaani ni fiksi mwendo mdundo.Huwezi jua nipoje maana humu hatujuani. Kwa hiyo utakavyohisi ndio hivyo hivyo upo sahihi
Mbona kuingilia uhuru wa mwenzako? Wewe si uheshimu mizimu inatosha?Heshimu mila zako, achana na dini zilizoletwa na wakoloni
Sasa hapo amepinga dini au amewapinga wapigaji?Kagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu. Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!
View attachment 2358229
Mimi nahisi unatufunga kamba tu! Yaani ni fiksi mwendo mdundo.
unataka kusema ni kero kuliko bar ?Kuna makanisa ni kero hapa tz yapo mengi sana. Ni vile tuu hujui
Vip kuhusu barmakanisa ya kilokole yanakera sana, aya ndio yaanze kufungwa, yamekuwa kero wanafanya maombi bila utuliv na ustaarab