Kagame anajisifia kufunga makanisa na misikiti: Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu!

Kagame anajisifia kufunga makanisa na misikiti: Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu!

Hawa siyo wachungaji. Haya ni maigizo watu wanafanya ili kuuchafua Ukristo. Hakuna mchungaji ambaye anaweza kujambia watu wazima hivi!
Aisee.
Screenshot_20220916-002538.jpg
Screenshot_20220916-002756.jpg
Screenshot_20220916-002929.jpg


using JamiiForums mobile app
 
Haya ni mambo ya mtandaoni tu ndugu yangu na usiamini kila kitu unachokiona wala kukisikia. Kuna ajenda kubwa ya mambo haya dhidi ya Ukristo kama hujui na wafadhili wakuu ni hawa wenye ajenda ya ushoga na usagaji. Lengo lao ni kuonyesha kuwa Ukristo nao si lo lote wala cho chote kwa mambo kama haya. Watu wanalipwa mpaka $100K kuigiza huu upuuzi 🚮🚮🚮
 
Ndio ameshawajambia sasa.
Hili nalo ni la kusifia na kushabikia ndugu yangu? Wewe inakusaidiaje au unapata faida gani akiwajambia mpaka ushabikie upuuzi huu?

Waigizaji hawa wanaolipwa kwa lengo la kuuchafua Ukristo watakuwa na mwisho mbaya sana labda waje watubu! Mungu na Awasamehe maana hawajui walitendalo!
 
KWANZA JIULIZE UMETOKA WAPI
Kagame anajua ukweli kuhusu makanisa na misikiti. Ni mwanajeshi yule kaenda mafunzo mengi sana ya kijeshi duniani toka enz yuko na museven uganda.

Ukweli ni kwamba dini zote zimetengenezwa na watu ili kutawala kuwe rahisi.. na pia matendo mabaya yapungue duniani. Jiulize hivi kuna dini tu bado watu tunauana. Tunatapeli, tunazulumu. Je zisingekuwepo ingekuwaje?

Mungu yupo kwenye mind za binadamu tu.

Panya anazaliwa na kufa kama binadamu..je na panya mwema ataenda peponi na panya mwovu jehanamu?

Vipi kuhusu simba na wanyama wengine kama nyani
305813278_3310772562493878_8005404046545047580_n.jpg
 
Kagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu!! Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!!


View attachment 2358229
Hayo makanisa sasa
IMG-20220915-WA0158.jpg
 
Naanza hapa kuna limoja lipo Tanganyika packers.... multitude of Unemployed Youths go to Pray for miracle Jobs [emoji1][emoji1][emoji1]
Na bado mbona happ padogo sana..yajayo yanafurahisha.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu!! Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!!


View attachment 2358229
Dini ni moja ya kitu cha kipumbavu kupata kuanzishwa hapa duniani.
 
Wachungaji uchwara Kama Hawa wanaojambia wafuasi wao usoni wakisema wanawaombea Ni upumbavu na wanatakiwa hata miti wachezee.View attachment 2358227

Sent from JamiiForums mobile app
Huwezi kutumia mfano wa wachungaji waovu ili kuhalalisha kukataa huduma za wachungaji wote hata wale ambao ni wa kweliu. kinachotakiwa ni kuwachukulia hatua muafaka wale ambao ni fake na kuwatia moyo wale ambao ni wa kweli!
 
Mchungaji anaponya kwa ushuzi we unasema faithful

Hiyo ni faithful au faithfooler?
Ni ujinga kutumia mfano mbaya ili kuhalalisha kukataa hata wachungaji walio wazuri. Ni sawa na mtu kukataa kuwasomesha watoto wa kike kwa sababu kuna mtoto wa kike mmoja aliishia kupata mimba na akaacha shule!!
 
Mbona Yuko sawa. Lazima uwe na digrii ya theology Ni rahisi mno ku mislead watu kisa umekariri vifungu fulani.
Watu Wana njaa wanafungua makanisa. Tangiapo hizi dini mkoloni na mwarabu amekuja kutuchanganya akili zetu. Cheki hao waliotuuza ndio Mungu wao alivyowaambia.
Hata waanzilishi wa Ukristo (Bwana YESU) na Uislam (Mohamed) hawakuwa na digrii, iweje leo ulazimishe wafuasi wao wawe na digrii ili kuendeleza imani yao?
 
Kagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu!! Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!!


View attachment 2358229
Hizo fikra zako ndio mfu.. nyiny ndio mnafanya africa isiendele
 
Huyu siyo mchungaji bali ni wakala wa shetani na lengo lake ni kuuchafua ukristo. Kwa nini uamue kuchukua mfano mbaya na kuacha maelfu ya mifano ya watumishi wa Mungu wazuri. Kwenye Biblia kuna kina Paulo waliokuwa wanafufua hata wafu na kina Petro!! Ukiamua kupotea ni wewe lakini kuna vielelezo vya watumishi wengi wazuri. Hapa Tz tulikuwa na kina MOSES KULOLA ambao kwenye huduma yao watu walishuhudia vipofu kuona, viwete kutembea na maelfu kuokoka na kuachana na dhambi!!
 
Ni ujinga kutumia mfano mbaya ili kuhalalisha kukataa hata wachungaji walio wazuri. Ni sawa na mtu kukataa kuwasomesha watoto wa kike kwa sababu kuna mtoto wa kike mmoja aliishia kupata mimba na akaacha shule!!
Achana naye huyo hajui power ya roho mtakatifu

Anashangazwa na pastor kufanya uponyaji kwa ushuzi wakati imeandikwa God works in mysterious ways
 
Back
Top Bottom