wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Aisee.Hawa siyo wachungaji. Haya ni maigizo watu wanafanya ili kuuchafua Ukristo. Hakuna mchungaji ambaye anaweza kujambia watu wazima hivi!
using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee.Hawa siyo wachungaji. Haya ni maigizo watu wanafanya ili kuuchafua Ukristo. Hakuna mchungaji ambaye anaweza kujambia watu wazima hivi!
Haya ni mambo ya mtandaoni tu ndugu yangu na usiamini kila kitu unachokiona wala kukisikia. Kuna ajenda kubwa ya mambo haya dhidi ya Ukristo kama hujui na wafadhili wakuu ni hawa wenye ajenda ya ushoga na usagaji. Lengo lao ni kuonyesha kuwa Ukristo nao si lo lote wala cho chote kwa mambo kama haya. Watu wanalipwa mpaka $100K kuigiza huu upuuzi 🚮🚮🚮
Hili nalo ni la kusifia na kushabikia ndugu yangu? Wewe inakusaidiaje au unapata faida gani akiwajambia mpaka ushabikie upuuzi huu?Ndio ameshawajambia sasa.
Kagame anajua ukweli kuhusu makanisa na misikiti. Ni mwanajeshi yule kaenda mafunzo mengi sana ya kijeshi duniani toka enz yuko na museven uganda.
Ukweli ni kwamba dini zote zimetengenezwa na watu ili kutawala kuwe rahisi.. na pia matendo mabaya yapungue duniani. Jiulize hivi kuna dini tu bado watu tunauana. Tunatapeli, tunazulumu. Je zisingekuwepo ingekuwaje?
Mungu yupo kwenye mind za binadamu tu.
Panya anazaliwa na kufa kama binadamu..je na panya mwema ataenda peponi na panya mwovu jehanamu?
Vipi kuhusu simba na wanyama wengine kama nyani
Hayo makanisa sasaKagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu!! Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!!
View attachment 2358229
Na bado mbona happ padogo sana..yajayo yanafurahisha.Naanza hapa kuna limoja lipo Tanganyika packers.... multitude of Unemployed Youths go to Pray for miracle Jobs [emoji1][emoji1][emoji1]
Dini ni moja ya kitu cha kipumbavu kupata kuanzishwa hapa duniani.Kagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu!! Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!!
View attachment 2358229
Those who are employed are brain washing those who are unemployed to still believe miracles jobs will happen....!!What do you speak to those who are employed and are faithful church members?
Sahihi kabisaMungu ni mwenye wingi wa rehema na huruma, si mwepesi wa hasira.
Kagame hajakataza dini amekataza ubabaishaji, wahuni wanaojificha kwenye mwavuli wa dini hawatakiwi
Huwezi kutumia mfano wa wachungaji waovu ili kuhalalisha kukataa huduma za wachungaji wote hata wale ambao ni wa kweliu. kinachotakiwa ni kuwachukulia hatua muafaka wale ambao ni fake na kuwatia moyo wale ambao ni wa kweli!Wachungaji uchwara Kama Hawa wanaojambia wafuasi wao usoni wakisema wanawaombea Ni upumbavu na wanatakiwa hata miti wachezee.View attachment 2358227
Sent from JamiiForums mobile app
Ni ujinga kutumia mfano mbaya ili kuhalalisha kukataa hata wachungaji walio wazuri. Ni sawa na mtu kukataa kuwasomesha watoto wa kike kwa sababu kuna mtoto wa kike mmoja aliishia kupata mimba na akaacha shule!!Mchungaji anaponya kwa ushuzi we unasema faithful
Hiyo ni faithful au faithfooler?
Wewe uliuonea wapi kati ya hizo njia mbili?
Ulienda special force ama upo kwenye mission serious?
Hata waanzilishi wa Ukristo (Bwana YESU) na Uislam (Mohamed) hawakuwa na digrii, iweje leo ulazimishe wafuasi wao wawe na digrii ili kuendeleza imani yao?Mbona Yuko sawa. Lazima uwe na digrii ya theology Ni rahisi mno ku mislead watu kisa umekariri vifungu fulani.
Watu Wana njaa wanafungua makanisa. Tangiapo hizi dini mkoloni na mwarabu amekuja kutuchanganya akili zetu. Cheki hao waliotuuza ndio Mungu wao alivyowaambia.
Hizo fikra zako ndio mfu.. nyiny ndio mnafanya africa isiendeleKagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu!! Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!!
View attachment 2358229
Huyu siyo mchungaji bali ni wakala wa shetani na lengo lake ni kuuchafua ukristo. Kwa nini uamue kuchukua mfano mbaya na kuacha maelfu ya mifano ya watumishi wa Mungu wazuri. Kwenye Biblia kuna kina Paulo waliokuwa wanafufua hata wafu na kina Petro!! Ukiamua kupotea ni wewe lakini kuna vielelezo vya watumishi wengi wazuri. Hapa Tz tulikuwa na kina MOSES KULOLA ambao kwenye huduma yao watu walishuhudia vipofu kuona, viwete kutembea na maelfu kuokoka na kuachana na dhambi!!Hayo makanisa sasaView attachment 2358295
[emoji14][emoji14][emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787]Hayo makanisa sasaView attachment 2358295
Achana naye huyo hajui power ya roho mtakatifuNi ujinga kutumia mfano mbaya ili kuhalalisha kukataa hata wachungaji walio wazuri. Ni sawa na mtu kukataa kuwasomesha watoto wa kike kwa sababu kuna mtoto wa kike mmoja aliishia kupata mimba na akaacha shule!!