Kagame anataka DRC iwatambue waasi wa M23 lakini yeye hataki kuwatambua waasi wa kihutu!

Kagame anataka DRC iwatambue waasi wa M23 lakini yeye hataki kuwatambua waasi wa kihutu!

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Moja ya utetezi aliokuja nao Rais Kagame kwenye mkutano wa wakuu wa nchi za SADC na EAC kuhusu kutatua mgogoro wa DRC ni kutaka serikali ya DRC iwatambue kwanza waasi wa M23 ambao wanajumuisha jamii ya walowezi wa kitutsi iliyopo DRC (Banyamlenge), lakini hapo hapo Kagame hataki kabisa kutaka kusikia suala la waasi wa kihutu waliokimbilia DRC nao kutambuliwa kama sehemu ya jamii ya Rwanda yenye haki ya kuongoza na kutawala Rwanda.

Kweli mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu!
 
Hivi mchango/maoni ya "Mama" na PM wa DRC kwenye hicho kikao ni yapi? Sijaona yakinukuliwa popote.

BTW😛amoja na Rwanda kutuhumiwa lakini sijasikia mtu aliyenukuliwa akiitaja kwa namna yoyote zaidi ya Kagame mwenyewe kunako kikao.
 
Hahaha HANA ADABU, Unataka DRC iwatambue kwani nchi yako?

Yeye siyo muwakilishi wa M23, wao M23 wajiombee na sio Kagame awaombee, unaweza kuta M23 hawataki kuwa seheme ya DRC ndio maana wana pigana ili wajitenge kama South Sudan?

Kagame aambiwe aache kuwafadhili na kuwalinda M23, pia Museveni. Hayo Mengine yanawezekana.
 
Moja ya utetezi aliokuja nao Rais Kagame kwenye mkutano wa wakuu wa nchi za SADC na EAC kuhusu kutatua mgogoro wa DRC ni kutaka serikali ya DRC iwatambue kwanza waasi wa M23 ambao wanajumuisha jamii ya walowezi wa kitutsi iliyopo DRC (Banyamlenge), lakini hapo hapo Kagame hataki kabisa kutaka kusikia suala la waasi wa kihutu waliokimbilia DRC nao kutambuliwa kama sehemu ya jamii ya Rwanda yenye haki ya kuongoza na kutawala Rwanda.

Kweli mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu!
Siungi mkono uwepo wa MAJESHI ya kigeni yasiyoalikwa katika ardhi ya kigeni.....

Ila ......

M 23 haifanani na FDRL.....

FDRL ni wanyarwanda wanaotuhumiwa kufanya mauaji ya kimbari 1994.....

M 23 ni wakongomani wenye asili ya Kitutsi wanaodai kuwa serikali ya DRC inawabagua raia wake (Banyamulenge)....hawa siku nyingi wako DRC kabla ya "1994 Genocide".....

#Tanzania Kwanza!
 
Moja ya utetezi aliokuja nao Rais Kagame kwenye mkutano wa wakuu wa nchi za SADC na EAC kuhusu kutatua mgogoro wa DRC ni kutaka serikali ya DRC iwatambue kwanza waasi wa M23 ambao wanajumuisha jamii ya walowezi wa kitutsi iliyopo DRC (Banyamlenge), lakini hapo hapo Kagame hataki kabisa kutaka kusikia suala la waasi wa kihutu waliokimbilia DRC nao kutambuliwa kama sehemu ya jamii ya Rwanda yenye haki ya kuongoza na kutawala Rwanda.

Kweli mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu!
Yeah!... Kagame ukimtajia FDLR mtageuka maadui
 
Hio ndio Demokrasia wajameni

Amerika ukiwa kwa waasi/ Militias unatambulika, ukiwa kwa BLM hutambuliki. Inafaa M23 watambulike na wapige kura kuchagua vile wanataka ndio kukomaa Kidemokrasia huko.

"KUNA KUSHINDA NA KUSHINDWA"
 
Hivi mchango/maoni ya "Mama" na PM wa DRC kwenye hicho kikao ni yapi? Sijaona yakinukuliwa popote.

BTW😛amoja na Rwanda kutuhumiwa lakini sijasikia mtu aliyenukuliwa akiitaja kwa namna yoyote zaidi ya Kagame mwenyewe kunako kikao.
Tafuta speech ya Mama akiwa anafungua mkutano iko very touching , yaani Mama Kamshitakia Mungu,pale alipo sema history itatuhukumu juu ya damu za watu wasio kua na hatia!!
 
Back
Top Bottom