Kwa nini Kagame anataka M23 Banyamulenge watambuliwe DRC?
Sababu za nje; Kagame anasema hao raia kwao ni DRC. Hapo anaona ardhi ya Rwanda ni ndogo, hivyo DRC inaposema warudi Rwanda, Kagame anaona hatari ya over population.
Sababu za ndani anazijua mwenyewe Kagame
Sababu za nje; Kagame anasema hao raia kwao ni DRC. Hapo anaona ardhi ya Rwanda ni ndogo, hivyo DRC inaposema warudi Rwanda, Kagame anaona hatari ya over population.
Sababu za ndani anazijua mwenyewe Kagame