Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Hoja yako ni kuwa FDRL wako "extinct"?!!..fdlr wako wangapi?
..Rwanda walishauwa Wahutu wengi sana katika makambi ya wakimbizi kipindi walipowavamia Mobutu na Kabila Snr.
Hakuna FDRL wanaomiliki silaha na kuendesha operations za kijeshi ndani ya DRC na kufanya ugaidi nchini Rwanda?