Ad majorem
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 939
- 1,460
Myopic, you can't even argue in level one matters. Lol!Wewe kwako genocide ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Myopic, you can't even argue in level one matters. Lol!Wewe kwako genocide ni nini?
Wapo sahihi kabisa kwani kilichowakimbiza bado kipo.FDLR hawataki kurudi Rwanda
FDLR hawataki kurudi Rwanda
Wakimbizi wa kihutu hawaishi katika makambi ya wakimbizi....wakimbizi gani wana silaha na armoured machineries?!!!
Watanzania tungekubali wakimbizi wa kirundi wawe na silaha za kivita na kurandaranda katika ardhi yetu?!!
Ujinga ndio huo......Rwanda walishapewa ruhusa na serikali kufanya operation za kuwasaka Fdlr ktk ardhi ya DRC.
..sasa badala ya Rwanda kuendeleza urafiki huo amekwenda ku-support kikundi cha waasi wanaotaka kupindua serikali ya DRC.
..Rwanda ndio wanaochochea mgogoro na mauaji ya wananchi wasio na hatia.
Uongo mtupu....Soma vizuri, Hao banyamulenge ni Warwanda waliokimbia vita vya kimbari. Na kufika Congo wakaungana na watusi wenye asili ya Congo. Kumbuka watusi wa Congo, Rwanda na Burundi walikua ni jamii moja ambayo ilikuja kutenganishwa na mipaka tu.So wale watusi waliopo Congo kuna wacongo na warwanda. Sawa na wamasai wa Tz wakimbilie Kenya then Kenya iwachanganye wote wamasai wa Kenya na Tz kama wahamiaji haramu.
Mazungumzo huwepo panapo na nia ya pande mbili za meza....Diplomasia ya mazungumzo ndio njia sahihi ya kumaliza tatizo
Hatia waliyonayo....Wapo sahihi kabisa kwani kilichowakimbiza bado kipo.
Toka mwaka 2000 ilipoundwa FDLR Kagame hajawahi kuwa na nia ya kuzungumza nao.Mazungumzo huwepo panapo na nia ya pande mbili za meza....
Sawa....Toka mwaka 2000 ilipoundwa FDLR Kagame hajawahi kuwa na nia ya kuzungumza nao.
Wasubiri mpaka lini ?
Propaganda!Waasi wa M23 hawana itikadi za genocide kama walivyo waasi wa FDLR
Sio wapiganaji wote wa FDLR wamehusika na genocide.Sawa....
Ili mazungumzo yawe na tija ni lazima kwanza wakiri kuhusika na mauaji ya kimbari.....
Mbona wengine walikubali katika zile mahakama za GACHAGA?!!
Walikiri kuhusika kwao....wako waliosamehewa kupitia "njia za kimahakama".
Wahutu, FDLR,ni wana jeshi wazamani, wa serikali ya Rwanda chini ya, Juvenal habyarimana, walioendesha mauaji ya kimbari dhidi ya watusi, hawa ni wanyarwanda, hawajanyanganywa uraia, ila wana kesi ya mujibu, inabidi wawe jera!Moja ya utetezi aliokuja nao Rais Kagame kwenye mkutano wa wakuu wa nchi za SADC na EAC kuhusu kutatua mgogoro wa DRC ni kutaka serikali ya DRC iwatambue kwanza waasi wa M23 ambao wanajumuisha jamii ya walowezi wa kitutsi iliyopo DRC (Banyamlenge), lakini hapo hapo Kagame hataki kabisa kutaka kusikia suala la waasi wa kihutu waliokimbilia DRC nao kutambuliwa kama sehemu ya jamii ya Rwanda yenye haki ya kuongoza na kutawala Rwanda.
Kweli mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu!
Kuna KITU sikielewi....Hawajakatazwa kurudi, wanaogopa wenyewe kawani wengi waowanajua walivyoshiriki kwenye genocide. Waende tu watapokelewa.
..sio ujinga.Ujinga ndio huo....
Unawezaje kutoa ruhusa kwa majeshi ya kigeni kusaka watu wao ndani ya nchi yako tena militarily?!!
Serikali ya DRC ndio mwanzo wa matatizo yote.....
Jinai haifi....Kuna KITU sikielewi....
Tangu genocide mpaka Leo ni miaka 30! Hapo FDLR si watakuwa ni wazee sasa? Kagame anawaogopaje wazee🤭🤭
Kuna HIKI pia...
Kabla Kagame hajawa rais, yeye na RPF yake walikuwa ni waasi dhidi ya Serikali ya Habyarimana wakiwa KATIKA maeneo na sababu Sawa na hizo walizonazo FDLR. Anafeli wapi kushughulikia huo mgogoro kwa amani??
Wahutu, FDLR,ni wana jeshi wazamani, wa serikali ya Rwanda chini ya, Juvenal habyarimana, walioendesha mauaji ya kimbari dhidi ya watusi, hawa ni wanyarwanda, hawajanyanganywa uraia, ila wana kesi ya mujibu, inabidi wawe jera!
M23, ni wa Congo wenye asili ya Rwanda, kwa kimombo, ni rwandese speaking Congolese. Hawa wapo kwao, kwa muda mrefu serikali ya Kinshasa imekuwa ikiwabagua kisa tu wanafanana na watusi wa Rwanda! Fikiria u wafukuze wamasai wa Arusha, waende Kenya, kisa tu kuna wamasai Kenya, m23, wanyamurenge, wanataka haki Yao kutambuliwa kama wa Congo, kama Congo kinshasa, haiwataki, iwarudishe Rwanda na Ardhi Yao!Ukifukuza wamasai waende Kenya, mega na Arusha iende, ukifukuza wamakonde wa mtwara waende msumbiji kwa ndugu zao, mega na mtwara iende! It's no brainer ni swala Dogo tu!
Vita inayoendelea sasa, visababishi vingine vikaingia, kuna madini pale, Kagame available, jwtz ya kikwete iliiba, Ramaphosa anaiba,ufaransa anaiba,! Majizi ni mengi na yana siraha!
Sawasawa....Sio wapiganaji wote wa FDLR wamehusika na genocide.
Wengi wao ni watoto wa wakimbizi wa kihutu waliozaliwa huko Drc ukimbizini baada ya genocide ila wameshika silaha Sasa Ili kujihamia dhidi ya kushambuliwa na jeshi la Rwanda na washirika wao.
Hawa watoto wakiri nini wakati hata hawakuhusika?
Jinai haifi....
Uzee si "immunity" ya jinai....
Tukiachana na hayo....
Imagine mfanya jinai alikuwa na 20s...miaka 30 baadaye hata hajafikia umri wa kustaafu hapa Tanzania.....