HAO M23 Wananuimwa nini na serikali ya Congo hadi wapigane badala ya kupeleka malalamiko unHio ndio Demokrasia wajameni
Amerika ukiwa kwa waasi/ Militias unatambulika, ukiwa kwa BLM hutambuliki. Inafaa M23 watambulike na wapige kura kuchagua vile wanataka ndio kukomaa Kidemokrasia huko.
"KUNA KUSHINDA NA KUSHINDWA"