Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Utawala wa Kigali ndio hauwataki, ndio maana hutafuta sababu ya kuwavamia.FDLR hawataki kurudi Rwanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawala wa Kigali ndio hauwataki, ndio maana hutafuta sababu ya kuwavamia.FDLR hawataki kurudi Rwanda
Kivipi mkuu wangu ?Mkuu unachanganya mada.
Wamefanya matendo mabaya....wamepewa jina la "magaidi"..Utawala wa Kigali ndio hauwataki, ndio maana hutafuta sababu ya kuwavamia.
Kifo ni kifo tuTafuta speech ya Mama akiwa anafungua mkutano iko very touching , yaani Mama Kamshitakia Mungu,pale alipo sema history itatuhukumu juu ya damu za watu wasio kua na hatia!!
Duh jamaa kashajipatia nchi nyingine ambayo ataweka watu wake. Hii bahima empire naona Ipo serious na bongo tukae chonjo Wana mipango ya muda mrefu zaidi ya miaka 50Moja ya utetezi aliokuja nao Rais Kagame kwenye mkutano wa wakuu wa nchi za SADC na EAC kuhusu kutatua mgogoro wa DRC ni kutaka serikali ya DRC iwatambue kwanza waasi wa M23 ambao wanajumuisha jamii ya walowezi wa kitutsi iliyopo DRC (Banyamlenge), lakini hapo hapo Kagame hataki kabisa kutaka kusikia suala la waasi wa kihutu waliokimbilia DRC nao kutambuliwa kama sehemu ya jamii ya Rwanda yenye haki ya kuongoza na kutawala Rwanda.
Kweli mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu!
We ulikuwepo kwenye kikao cha marais? Au kikao cha kijiweni kwenu?Moja ya utetezi aliokuja nao Rais Kagame kwenye mkutano wa wakuu wa nchi za SADC na EAC kuhusu kutatua mgogoro wa DRC ni kutaka serikali ya DRC iwatambue kwanza waasi wa M23 ambao wanajumuisha jamii ya walowezi wa kitutsi iliyopo DRC (Banyamlenge), lakini hapo hapo Kagame hataki kabisa kutaka kusikia suala la waasi wa kihutu waliokimbilia DRC nao kutambuliwa kama sehemu ya jamii ya Rwanda yenye haki ya kuongoza na kutawala Rwanda.
Kweli mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu!
Watu wanachukulia kiwepesi sana....Je unajua nini waasi wa kihutu hao unaowasema ( FDRL) kitu Walichowahi fanya Rwanda? Na bado mango wao ni kurudi Rwanda na kurudia tena, hata mimi nisingekubali...
Nyie banyamulenge ni wakabila, nyie shenzy ni wa kutengwa ktk hii duniaWaasi wa M23 hawana itikadi za genocide kama walivyo waasi wa FDLR
Nani yuko nyuma ya hao FDLRWakimbizi wa kihutu hawaishi katika makambi ya wakimbizi....wakimbizi gani wana silaha na armoured machineries?!!!
Watanzania tungekubali wakimbizi wa kirundi wawe na silaha za kivita na kurandaranda katika ardhi yetu?!!
Nafikiri kivyingine....Duh jamaa kashajipatia nchi nyingine ambayo ataweka watu wake. Hii bahima empire naona Ipo serious na bongo tukae chonjo Wana mipango ya muda mrefu zaidi ya miaka 50
Kuna wakushi shekheNafikiri kivyingine....
Afrika ina makabila mawili tu....
-Bantu na Nilotics.
Yaani karne hii ya muingiliano mkubwa bado tu tuna kitisho cha hoja za "delusions-false ,fixed , unshakable beliefs"?!!
Well....
Si kila BANYARWANDA-BANYAMULENGE anawaunga mkono M 23....
BANYARWANDA-BANYAMULENGE ni wakongomani...wako huko toka 1945...wana haki zote za kiraia...
M 23 nao ni wakongomani....
Hiki ni kizazi kipya hebu twende na mawazo mapya ya kuijenga Afrika yetu zaidi ya fikra koko za chuki zisizo na maana.....
#Tanzania kwanza!
#Afrika moja !
Lakini si wote wanaua?Waasi wa M23 hawana itikadi za genocide kama walivyo waasi wa FDLR
Siwajui mkuu....Nani yuko nyuma ya hao FDLR
Wakushi nao ni NILOTICS sheikh !Kuna wakushi shekhe
Kagame na RPF yake ndiyo engineers wa genocide.Waasi wa M23 hawana itikadi za genocide kama walivyo waasi wa FDLR
And, he want us to believe that, he is not providing military support to M23 !!!Moja ya utetezi aliokuja nao Rais Kagame kwenye mkutano wa wakuu wa nchi za SADC na EAC kuhusu kutatua mgogoro wa DRC ni kutaka serikali ya DRC iwatambue kwanza waasi wa M23 ambao wanajumuisha jamii ya walowezi wa kitutsi iliyopo DRC (Banyamlenge), lakini hapo hapo Kagame hataki kabisa kutaka kusikia suala la waasi wa kihutu waliokimbilia DRC nao kutambuliwa kama sehemu ya jamii ya Rwanda yenye haki ya kuongoza na kutawala Rwanda.
Kweli mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu!
Kivipi?Kagame na RPF yake ndiyo engineers wa genocide.
Genocide ilikua ni matokeo yaliyosababishwa na kuuawa Habyarimana. Mauaji ambayo yalifanywa na vikosi vya Kagame kwa amri yake.Kivipi?
Ha ha ha umekuwa kama wale wanaokataa uwepo wa HOLOCAUST iliyowaangamiza binadamu...wayahudi milioni 6 kule kwenye "gas chambers"..Kagame na RPF yake ndiyo engineers wa genocide.