Kagame anataka DRC iwatambue waasi wa M23 lakini yeye hataki kuwatambua waasi wa kihutu!

Kagame anataka DRC iwatambue waasi wa M23 lakini yeye hataki kuwatambua waasi wa kihutu!

Ha ha ha umekuwa kama wale wanaokataa uwepo wa HOLOCAUST iliyowaangamiza binadamu...wayahudi milioni 6 kule kwenye "gas chambers"..

Hebu tuweni WANAADAMU jamani.....

#Tanzania kwanza!
Sasa kilicho trigger genocide ni kipibkama siyo kutunguliwa kwa ile ndege ilipikuwa inatua na kupelekea kuuawa kwa marais wa Rwanda na Burundi?
 
Mkuu bado unagusa juu juu tu kuhusu chanzo cha hao Intarahamwe (FDRL) kufanya mauaji ya halaiki.

Chanzo na kirusi kikuu kwenye haya yote ni Paul Kagame!! Asingetungua ndege ile, mauaji ya halaiki yasingetokea, hao Intarahamwe wasingekuwepo Kongo I na M23 wasingezaliwa??

Njia pekee ya kuututua mgogoro huu kwa sasa ni kumuondoa Paul kagame madarakani, au kumpa kichapo cha mbwa mwizi au umzima mazima.

Huo ndio ukweli!!
nakubaliliana na wewe vinginevyo mauwaji Congo hataisha.
 
Waasi wa M23 hawana itikadi za genocide kama walivyo waasi wa FDLR
Kuwa na itikadi yoyote au kushutumiwa kwa jambo lolote lile hakupotezi utambulisho wako kitaifa au kimataifa.
Hata hao M23 wanashutumiwa pia kufanya mauaji ya Kimbari kama vile Kagame anavyotuhumiwa pia kufanya mauaji ya kimbari.

Hoja hapa ni kuhusu Kagame kutengeneza hoja yenye double standard.
 
Genocide ilikua ni matokeo yaliyosababishwa na kuuawa Habyarimana. Mauaji ambayo yalifanywa na vikosi vya Kagame kwa amri yake.
Ni sawa na kumlaumu mwenye nyumba kuibiwa na wezi kwa sababu aliacha geti na milango wazi, it doesn't make sense.
Halafu fahamu mauaji ya Watusi yalianza miaka ya 1960's ila kwa sababu yalikuwa kwenye scale ndogo hayazungumzwi sana.
 
Naona hapo kama scenario tofauti, M23 ni Wa-Congo wenye asili ya Rwanda na wanapambana ndani ya nchi yao Congo hawatokei nje huku hao wengine ni Wanyarwanda wanaopambana na Rwanda wakitokea nje
Mkuu unachanganya mambo....

M 23 ni wakongomani na ni waasi....unawarudisha wapi ?!!

Muasi anahukumiwa kwa sheria za nchi yake....Rwanda si nchi yao hao M 23......
Watu wanawaangalia kwa pua zao (Watusi) wanasahau kwamba hao ni Wacongo kama vile sie Watz Kuna wenye asili ya Asia ambao ni Watz wenzetu na tupo nao poa. Na haya mambo sijui yataisha lini kuangalia watu kwa jicho la Wahutu na Watusi wakati Rwanda wenyewe wanapenda kujitambulisha kama Wanyarwanda
 
Siungi mkono uwepo wa MAJESHI ya kigeni yasiyoalikwa katika ardhi ya kigeni.....

Ila ......

M 23 haifanani na FDRL.....

FDRL ni wanyarwanda wanaotuhumiwa kufanya mauaji ya kimbari 1994.....

M 23 ni wakongomani wenye asili ya Kitutsi wanaodai kuwa serikali ya DRC inawabagua raia wake (Banyamulenge)....hawa siku nyingi wako DRC kabla ya "1994 Genocide".....

#Tanzania Kwanza!
Mkuu, hao M23 na FDRL wote ni vikundi vya waasi vinavyofanya vita ya kutaka kuondoa tawala zilizopo madarakani. Ni uongo mkubwa kusema M23 wako kuwalinda Banyamlenge, kwanini? Banyamlenge ni jamii iliyopo eneo fulani dogo kule DRC kwa karne kadhaa na M23 ni kikundi kilichoondwa miaka kadhaa ya karibuni na kinapigana kutaka kutawala DRC yote ndio maana kwa sasa wanasema wanapigana mpaka kuichukua Kinshasa

Mwenye dhamana ya kuwalinda Banyamlenge ni serikali ya DRC ama jumuiya ya kimataifa na wala sio Rwanda chini ya mwamvuli wa waasi wa M23.
 
We ulikuwepo kwenye kikao cha marais? Au kikao cha kijiweni kwenu?
Nilichokiandika hapa kuhusu msimamo wa Kagame ni kile kile kilicholetwa humu JF na senior member kadhaa wa Pro Kagame.
Sina mashaka nacho. Sio maneno ya kijiweni ni maneno ya JF.
 
Sasa kilicho trigger genocide ni kipibkama siyo kutunguliwa kwa ile ndege ilipikuwa inatua na kupelekea kuuawa kwa marais wa Rwanda na Burundi?
Kasome kuhusu The Coalition for the Defence of the Republic(CDR) na Radio Télévision Libre des Mille Collines (RTLM) utaelewa kwa kifupi nini kilikuwa kinaendelea Rwanda wakati Genocide inakaribia. Hiyo Genocide iliandaliwa kwa muda mrefu sana, isingekuwa rahisi kwa mauaji ya watu karibia laki nane wauliwe kwa miezi minne tu bila maandalizi ya kupanga ya hali ya juu ya muda mrefu.
 
Mkuu, hao M23 na FDRL wote ni vikundi vya waasi vinavyofanya vita ya kutaka kuondoa tawala zilizopo madarakani. Ni uongo mkubwa kusema M23 wako kuwalinda Banyamlenge, kwanini? Banyamlenge ni jamii iliyopo eneo fulani dogo kule DRC kwa karne kadhaa na M23 ni kikundi kilichoondwa miaka kadhaa ya karibuni na kinapigana kutaka kutawala DRC yote ndio maana kwa sasa wanasema wanapigana mpaka kuichukua Kinshasa

Mwenye dhamana ya kuwalinda Banyamlenge ni serikali ya DRC ama jumuiya ya kimataifa na wala sio Rwanda chini ya mwamvuli wa waasi wa M23.
Sawa....

Nakukumbusha tu kuwa marais wa DRC wamekuwa na hisia tofauti dhidi yao hao M 23 na FDRL....

"Approaches dhidi yao".... za Mobutu ,Kabila Senior ,Kabila Jr,Tshisekedi ni tofauti sana....

Mzizi wa matatizo unaanzia kwa hao wakongomani wenyewe na tawala zao......
 
Kasome kuhusu The Coalition for the Defence of the Republic(CDR) na Radio Télévision Libre des Mille Collines (RTLM) utaelewa kwa kifupi nini kilikuwa kinaendelea Rwanda wakati Genocide inakaribia. Hiyo Genocide iliandaliwa kwa muda mrefu sana, isingekuwa rahisi kwa mauaji ya watu karibia laki nane wauliwe kwa miezi minne tu bila maandalizi ya kupanga ya hali ya juu.
Exquisite !
 
Naona hapo kama scenario tofauti, M23 ni Wa-Congo wenye asili ya Rwanda na wanapambana ndani ya nchi yao Congo hawatokei nje huku hao wengine ni Wanyarwanda wanaopambana na Rwanda wakitokea nje

Watu wanawaangalia kwa pua zao (Watusi) wanasahau kwamba hao ni Wacongo kama vile sie Watz Kuna wenye asili ya Asia ambao ni Watz wenzetu na tupo nao poa. Na haya mambo sijui yataisha lini kuangalia watu kwa jicho la Wahutu na Watusi wakati Rwanda wenyewe wanapenda kujitambulisha kama Wanyarwanda
Hakika mkuu wangu...

#Say No To Bigotry!
#Africa is one and only one !
 
Sasa kilicho trigger genocide ni kipibkama siyo kutunguliwa kwa ile ndege ilipikuwa inatua na kupelekea kuuawa kwa marais wa Rwanda na Burundi?
Yaani mauaji ya watu 800,000 yapangwe ndani ya miezi 4 ?!!
 
Mkuu bado unagusa juu juu tu kuhusu chanzo cha hao Intarahamwe (FDRL) kufanya mauaji ya halaiki.

Chanzo na kirusi kikuu kwenye haya yote ni Paul Kagame!! Asingetungua ndege ile, mauaji ya halaiki yasingetokea, hao Intarahamwe wasingekuwepo Kongo I na M23 wasingezaliwa??

Njia pekee ya kuututua mgogoro huu kwa sasa ni kumuondoa Paul kagame madarakani, au kumpa kichapo cha mbwa mwizi au umzima mazima.

Huo ndio ukweli!!
Hujui historia ya mauaji, soma kuhusu
Bahutu manifesto na sera yao ya Identity cards, Coalition for the Defence of the Republic(CDR) na RTLM.
 
Lakini si wote wanaua?
Wote kuua sio suala, suala ni wanapigania nini, lakini mbona hata Ali Kibao, Mawazo n.k wameuwaaa bongo na wengine wengi wamepotezwa, utasema waliofanya haya hapa bongo ni sawa na M23 au FDLR??
 
Mkuu bado unagusa juu juu tu kuhusu chanzo cha hao Intarahamwe (FDRL) kufanya mauaji ya halaiki.

Chanzo na kirusi kikuu kwenye haya yote ni Paul Kagame!! Asingetungua ndege ile, mauaji ya halaiki yasingetokea, hao Intarahamwe wasingekuwepo Kongo I na M23 wasingezaliwa??

Njia pekee ya kuututua mgogoro huu kwa sasa ni kumuondoa Paul kagame madarakani, au kumpa kichapo cha mbwa mwizi au umzima mazima.

Huo ndio ukweli!!
Kagame ndio alitungua ile ndege ? Unajua kuna allegations, kuna facts, kuna what is believed na kuna different theories, sasa tuki base arguments zetu kwenye allegation moja hapo tutakuwa biased, na ili twende sawa ni bora tukaangalia watu is believed to have happened from reliable sources / investigations na hata kama hatukubaliani na matokeo basi tuseme hakuna conclusions na sio kuweka mawazo yetu kwamba ndio kilichotokea....
---------------------------------------------------------​

Investigations​

Launch site​

Map of the airport and its surroundings.[38]Map of the airport and its surroundings
Two prominent investigations, which have been internationally recognized, have identified the Kanombe barracks as the likely source of the missile. In 2010, the "Mutsinzi Report" carried out by Rwandan officials in collaboration with British ballistics experts from the Royal Military Academy, identified a small area, which included a portion of the airport, the Kanombe camp, and a small area near the presidential residence, as the launch site.[39] In January 2012, a French report was made public with similar findings.[40][41][42]

Despite these reports, some have continued to cast doubt on this conclusion. These uncertainties stem from immediate assessments of the situation. French Judge Jean-Louis Bruguière had led an inquiry in 2004 which accused the RPF of shooting down the plane from Masaka Hill, but it was found to be based on the testimonies of witnesses who were not regarded as credible.[43] A Belgian inquiry in 1994 concluded that the missile had been fired from Masaka Hill, but that "it would have been virtually impossible for a rebel soldier to have reached Masaka carrying missiles."[44] The base was controlled by FAR forces, including the Presidential Guard[26] and the para-commando battalion, and the AntiAircraft Battalion (LAA) were also based there.[45] This report was widely reported to exonerate the RPF,[41] although it did not actually do that, according to Filip Reyntjens.[46]

Responsibility​

While initial suspicion fell upon the Hutu extremists who carried out the subsequent genocide, there have been several reports since 2000 stating that the attack was carried out by the RPF on the orders of Paul Kagame, who went on to become president of Rwanda. All such evidence is heavily disputed and many academics, as well as the United Nations, have refrained from issuing a definitive finding. Mark Doyle, a BBC News correspondent who reported from Kigali through the 1994 genocide, noted in 2006 that the identities of the assassins "could turn out to be one of the great mysteries of the late 20th century."[47]

A now-declassified US Department of State intelligence report from 7 April reports an unidentified source telling the US ambassador in Rwanda that "rogue Hutu elements of the military—possibly the elite presidential guard—were responsible for shooting down the plane."[48] This conclusion was supported by other U.S. agencies, including the Defense Intelligence Agency,[49] which reported on 11 May that "It is believed that the plane crash [...] was actually an assassination conducted by Hutu military hardliners.".[50] Philip Gourevitch, in his 1998 book on the genocide, framed the thinking of the time:
Although Habyarimana's assassins have never been positively identified, suspicion has focused on the extremists in his entourage—notably the semiretired Colonel Théoneste Bagosora, an intimate of Madame Habyarimana, and a charter member of the akazu and its death squads, who said in January 1993 that he was preparing an apocalypse.[51]
The 1997 report of the Belgian Senate stated that there was not enough information to determine specifics about the assassination.[52] A 1998 report by the National Assembly of France posited two probable explanations. One is that the attack was carried out by groups of Hutu extremists, distressed by the advancement of negotiations with the RPF, the political and military adversary of the current regime, while the other is that it was the responsibility of the RPF, frustrated at the lack of progress in the Arusha Accords. Among the other hypotheses that were examined is one that implicates the French military, although there is no clear motive for a French attack on the Rwandan government. The 1998 French report made no determination between the two dominant theories.[20] A 2000 report by the Organisation of African Unity does not attempt to determine responsibility.[53]

A January 2000 article in the Canadian National Post reported that Louise Arbour, the chief prosecutor for the ICTR, had terminated an investigation into the shootdown after three Tutsi informants came forward in 1997 with detailed accusations against Paul Kagame and the RPF, claiming that they had been members of an "elite strike team" responsible for the downing.[54] One of the three whistleblowers was Jean-Pierre Mugabe, who issued a declaration on the shootdown in April 2000.[55][56] Following the National Post's article, a three-page memorandum written by investigator Michael Hourigan was sent to the ICTR where defense attorneys had requested it.[57][58][note 1] Hourigan later stated that investigation into the shootdown had been clearly within his mandate and that he was "astounded" when Arbour made an about-face and told him it was not.[61][59] This sequence of events was confirmed by Hourigan's boss, Jim Lyons, a former FBI agent who headed the so-called National Investigative Team. Lyons believes Arbour was acting on orders to shut down the investigation.[62] An investigation by Luc Reydams concluded that there was no evidence of such orders. Reydams argued that the decision to shut down the investigation was "based on an assessment of the concrete conditions at the time" and that "any responsible Prosecutor would have concluded that pursuing the investigation would be futile and dangerous."[63]

Arbour later stated that "It was my decision and my decision alone". According to Arbour, the OTP in Kigali was in a very difficult situation at the time:

We did not want to invest substantial resources only to have a judge refuse to confirm an indictment for lack of jurisdiction. I was not persuaded that the shooting down of the plane would in law constitute a war crime or a crime against humanity. It would be difficult to construe it as an act of genocide unless it was perpetrated by the leaders of the genocide to act as a trigger for the mass mobilization that followed. The situation was different fifteen years later. With all the high profile RPF defections and incriminating statements, it might have been possible to mount a case. [....] From a legal angle, it is not so much the shooting down of the plane that is of interest, but allegations of actions by the RPF that would have constituted crimes against humanity during the period of time (1994) over which the tribunal had jurisdiction. During my time at ICTR, we always assumed that this work would have to be done, but that we would have to be very cautious about how to proceed, preferably by working from outside the country. I understand however that from a historical perspective, the shooting of the plane will continue to be a great focus of speculation if there is no closure.[63]
In 1998, the French anti-terrorist magistrate Jean-Louis Bruguière opened an investigation into the shootdown on behalf of the families of the French aircraft crew. On the basis of hundreds of interviews, Bruguière concluded that the assassination had been carried out on the orders of Paul Kagame, and issued arrest warrants against nine of Kagame's aides in 2006.[64][21] In protest, Rwanda broke diplomatic relations with France. In November 2008 the German government implemented the first of these European warrants by arresting Rose Kabuye, Kagame's chief of protocol, upon her arrival in Frankfurt.[65]

One of Bruguière's witnesses was Abdul Ruzibiza, a former lieutenant in the RPF who claimed that he was part of a cell that carried out the assassination with shoulder-fired SA-16 missiles.[64] Days after the substance of Bruguière's report was leaked in 2004, Ruzibaza published his testimony in a press release, detailing his account and further accusing the RPF of starting the conflict, prolonging the genocide, carrying out widespread atrocities during the genocide and political repression.[66] The former RPF officer published a book in 2005 with his account (Rwanda. L’histoire secrete),[67] and testified under oath before the ICTR in 2006.[68] The scholar René Lemarchand wrote about the book that "The careful marshalling of the evidence, the remarkably precise information concerning who did what, where, and when, the author's familiarity with the operational code of the RPF, leave few doubts in the reader's mind about Kagame's responsibility in triggering the event that led to the bloodshed."[69] In November 2008 Ruzibiza suddenly claimed he had invented everything, but some months before his death in 2010, Ruzibiza explained that his retraction "is linked to my personal security and that of other witnesses".[68] Yet Ruzubiza now changed his story by saying that he did not personally participate in the downing of the plane, but rather knew someone who did.[70]

Linda Melvern wrote that Bruguière's evidence "was very sparse, and that some of it, concerning the alleged anti-aircraft missiles used to down the presidential jet, had already been rejected by a French Parliamentary enquiry."[47] A 2007 article by Colette Braeckman in Le Monde Diplomatique strongly questions the reliability of Judge Bruguière's report and suggests the direct involvement of French military personnel acting for or with the Presidential Guard of the Rwanda governmental forces in the missile attack on the aircraft.[71] In a 2007 interview with the BBC, Kagame said he would co-operate with an impartial inquiry "carried out by a judge who had nothing to do with Rwanda or France". The BBC concluded, "Whether any judge would want to take on such a task is quite another matter."[72]

Paul Rusesabagina, a Rwandan of mixed Hutu and Tutsi origin whose life-saving efforts was the basis of the 2004 film Hotel Rwanda, has supported the allegation that Kagame and the RPF were behind the plane downing, and wrote in November 2006 that it "defies logic" that the UN Security Council had not ordered an investigation, as it had done following the far less consequential assassination of Rafic Hariri in 2005.[73]

In February 2008, a 182-page indictment[74] and international arrest warrants were issued against 40 current or former high-ranking Rwandan military officials of the Rwandan Patriotic Army/Rwandan Defence Forces by the Spanish Investigative Judge Fernando Andreu of the Audiencia Nacional. They were charged with a number of serious crimes between 1990 and 2002, including the shootdown of Habyarimana's plane.[75] Unlike the French judicial enquiry,[76] Andreu's indictment was in part based on the principle of universal jurisdiction.[77]

Kagame also ordered the formation of a commission of Rwandans that was "charged with assembling proof of the involvement of France in the genocide".[78] The commission issued its report to Kagame in November 2007 and its head, Jean de Dieu Mucyo, stated that the commission would now "wait for President Kagame to declare whether the inquiry was valid".[78]

In January 2010, the Rwandan government released the "Report of the Investigation into the Causes and Circumstances of and Responsibility for the Attack of 06/04/1994 Against The Falcon 50 Rwandan Presidential Aeroplane Registration Number 9XR-NN," known as the Mutsinzi Report. The multivolume report implicates proponents of Hutu Power in the attack and Philip Gourevitch states, "two months ago, on the day after Rwanda's admission to the Commonwealth, France and Rwanda reestablished normal diplomatic relations. Before that happened, of course, the Rwandans had shared the about-to-be-released Mutsinzi report with the French. The normalization of relations amounts to France's acceptance of the report's conclusions."[79][80]
 
Mkuu, hao M23 na FDRL wote ni vikundi vya waasi vinavyofanya vita ya kutaka kuondoa tawala zilizopo madarakani. Ni uongo mkubwa kusema M23 wako kuwalinda Banyamlenge, kwanini? Banyamlenge ni jamii iliyopo eneo fulani dogo kule DRC kwa karne kadhaa na M23 ni kikundi kilichoondwa miaka kadhaa ya karibuni na kinapigana kutaka kutawala DRC yote ndio maana kwa sasa wanasema wanapigana mpaka kuichukua Kinshasa

Mwenye dhamana ya kuwalinda Banyamlenge ni serikali ya DRC ama jumuiya ya kimataifa na wala sio Rwanda chini ya mwamvuli wa waasi wa M23.
Jumuiya ya kimataifa enzi hizi ni upuuzi mtupu, Jumuiya ya kimataifa ndio hiyo inayoongozwa na wendawazimu Trump na Putin itafanya nini.
 
Tafuta speech ya Mama akiwa anafungua mkutano iko very touching , yaani Mama Kamshitakia Mungu,pale alipo sema history itatuhukumu juu ya damu za watu wasio kua na hatia!!
Upuuzi
You’re moaning, take action!
Mungu alishakuumba ikaachiwa nature, wewe Bado unamwachia Mungu. Watachukua kila ulichonacho. Fight back
 
Back
Top Bottom