Kagame anavyoionesha duniani kuwa nchi yake ina watu wenye akili, elimu na uwezo mkubwa wa kufikiri kushinda Waisrael

Kagame anavyoionesha duniani kuwa nchi yake ina watu wenye akili, elimu na uwezo mkubwa wa kufikiri kushinda Waisrael

Kwa hiyo kujilipua ndio akili?utumwa na uchukiwe na kila mwenye akili timilifu.
 
Rwanda inaishinda Israel kijeshi, kwa sababu Rwanda inapambana na maadui zake yenyewe. Ila Israel inapambana na maadui zake kwa kupitia msaada wa Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujeruman na nchi zingine za magharibi.
Israel inapambana na magaidi dunia nzima ukiwemo wewe ambaye ni gaidi uliyekosa vitendea kazi.
 
mungu wa wayahudi ni wao mimi hanihusu.
watusi siku zenu hapo kigali zinahesabika.. ni suala la muda tuu.. pananuka siku yeyote hapo.
Endelea kuota huku unatembea mchungaji.
 
nyie watusi wenyewe mmepora ardhi ya wahutu hamjioni au?
Wahutu kwao ni Burundi na centre afrika, pale Rwanda walikaribishwa tu ndomaana ilikuwa rahisi kuwatimua na hawatorudi tena. Labda nyinyi waisrael muwachukue mkawaweke kwenu.
 
Mauwaji ya kimbali akuua watoto wanawake na wazee?. Mnapotetea mambo yenu kichuki mnasahau na kuwatakasa waovu. Kagame Hana tofauti na wauwaji wengine
Mauaji ya kimbari yalianzishwa na wahutu kuwachinja watutsi. Walichinja wakina mama, watoto, wazee, walemavu na wahutu wenzao wenye msimamo wa wastani.

Kasome historia.
 
Kwa hiyo kujilipua ndio akili?utumwa na uchukiwe na kila mwenye akili timilifu.
Mbona unaandika mambo ambayo hayaeleweki? Hivi uliwahi kupelekwa shule kweli!
 
Rwanda inaishinda Israel kijeshi, kwa sababu Rwanda inapambana na maadui zake yenyewe. Ila Israel inapambana na maadui zake kwa kupitia msaada wa Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujeruman na nchi zingine za magharibi.
Sasa huelewi nini hapo? Umesema mwenyewe akina NETANYAHU ni wazungu waliotoka ulaya. Sasa hutaki tena wazungu walinde himaya yao? Usiwapangie watu mambo yao. Ninyi kama mnataka ipigeni Israel na kuifuta. Habari ya kusaidiwa sijui na nani hiyo achana nayo hata raisi Samia anawasaidizi wake.
 
Ulikuwa umejaribu kutiririka ingawa kwa kuchanganyachanganya! Angalau ungeifananisha Rwanda na Israel kihistoria ungeeleweka vizuri.
Israel baada ya kupitia maangamizi ya Holocost,walifanikiwa kuwekeza katika tecnolojia na sasa ni moja ya taifa lenye nguvu kijeshi na hata kiuchumi duniani kuliko hata majirani zake Waarabu!
Hali kadharika Rwanda baada ya kupitia mauaji ya kimbari imepiga hatua kubwa kijeshi na kimaendeleo kuliko nchi majirani zake.
Lakini kuifananisha Rwanda na Palestina huku ukiiponda Israel bado umeandika ukiwa na hisia za kishabiki.
 
Sasa huelewi nini hapo? Umesema mwenyewe akina NETANYAHU ni wazungu waliotoka ulaya. Sasa hutaki tena wazungu walinde himaya yao? Usiwapangie watu mambo yao. Ninyi kama mnataka ipigeni Israel na kuifuta. Habari ya kusaidiwa sijui na nani hiyo achana nayo hata raisi Samia anawasaidizi wake.
Umeandika ujinga kijana. Nyinyi mmekuwa mkiisifu Israel kuwa ina nguvu, huku mkificha ukweli uliokiri hapa kuwa nguvu hizo zinasababishwa na usaidizi wa wazungu.

Sasa kilichofanyika siku kadhaa zilizopita, ndo kimeashiria kuwa Israel haiwezi kupambana yenyewe na Iran bila kusaidiwa. Halaf inawezekana vipi wazungu walinde himaya yao. Himaya ya wazungu ipo Ulaya na sio Mashariki ya kati.

Tumia akili, badala ya tundu kufikiri.
 
Ulikuwa umejaribu kutiririka ingawa kwa kuchanganyachanganya! Angalau ungeifananisha Rwanda na Israel kihistoria ungeeleweka vizuri.
Israel baada ya kupitia maangamizi ya Haulocost,walifanikiwa kuwekeza katika tecnolojia na sasa ni moja ya taifa lenye nguvu kijeshi na hata kiuchumi duniani kuliko hata majirani zake Waarabu!
Hali kadharika Rwanda baada ya kupitia mauaji ya kimbari imepiga hatua kubwa kijeshi na kimaendeleo kuliko nchi majirani zake.
Lakini kuifananisha Rwanda na Palestina huku ukiiponda Israel bado umeandika ukiwa na hisia za kishabiki.
Tatizo lenu vijana wengi mnakimbilia ku comment bila kusoma na kufikiri vizuri kile mnachoandika. Tecnolojia iliyopo Israel ni ya wamarekani, waingereza na wazungu wengi. Kabla sim na mitandaoni ya kijamii kuja ndo tulikuwa tunalishwa matango pori na kudanganywa kuhusu kile ulichoandika hapa. Na uongo huo ulienezwa zaidi na vyombo vya habari vya propaganda vya magharibi ili kuipa promo tu isiostahili.

Sasa kinachoendelea leo huku tukiishuhudia wenyewe kupitia mitandao na sio kulishwa matango pori kama zamani, kinaonesha wazi kuwa jamaa hawana nguvu yoyote kijeshi, hawana tecnolojia yoyote ya kwao wenyewe zaidi ya kuwatumia wamarekani na waingereza wanaoishi Israel na kujifanya wayahudi wa mchongo. Hata hivyo hayo mataifa ya kiarab mengi ni washirika wa magharibi, hivyo wanaweza kuwa sawa kijeshi na kiteknolojia na Israel au wakashindwa kidogo.

Lakini kamwe hao waisrael wako na waarab kwa ujumla wao hawagusi wala kusogelea teknolojia na nguvu walizonazoo waajemi (Iran) Najua kwa ukilaza wako, unafikiri kuwa Iran ni waarab, maana ndo uwezo wako na wa wenzako wa akili ulipoishia. Haujui na wala haijawahi kusoma historia kuwa waajemi (Iran) waliwahi kuwa na himaya kubwa ambayo ilitawala eneo zima la mashariki ya kati miaka zaidi ya 3000 iliyopita, kabla hata Yesu hajazaliwa, kabla hata wagiriki na waroma hawajatia mguu eneo hilo.

Hivyo Iran ni taifa lenye historia ya ubabe na la zaman zaidi ya hizo nchi zako ulizoandika hapa. Ndomaana unaona inafanyika juhudi kubwa ya kuiwekea vikwazo vya silaha, uchumi nk kwa zaidi ya miaka 70, lakini vikwazo hivyo vimeshindwa kusaidia kuinusuru Israel na mashambulizi ya Iran pale inapoamua kufanya hivyo.
 
Tatizo lenu vijana wengi mnakimbilia ku comment bila kusoma na kufikiri vizuri kile mnachoandika. Tecnolojia iliyopo Israel ni ya wamarekani, waingereza na wazungu wengi. Kabla sim na mitandaoni ya kijamii kuja ndo tulikuwa tunalishwa matango pori na kudanganywa kuhusu kile ulichoandika hapa. Na uongo huo ulienezwa zaidi na vyombo vya habari vya propaganda vya magharibi ili kuipa promo tu isiostahili.

Sasa kinachoendelea leo huku tukiishuhudia wenyewe kupitia mitandao na sio kulishwa matango pori kama zamani, kinaonesha wazi kuwa jamaa hawana nguvu yoyote kijeshi, hawana tecnolojia yoyote ya kwao wenyewe zaidi ya kuwatumia wamarekani na waingereza wanaoishi Israel na kujifanya wayahudi wa mchongo. Hata hivyo hayo mataifa ya kiarab mengi ni washirika wa magharibi, hivyo wanaweza kuwa sawa kijeshi na kiteknolojia na Israel au wakashindwa kidogo.

Lakini kamwe hao waisrael wako na waarab kwa ujumla wao hawagusi wala kusogelea teknolojia na nguvu walizonazoo waajemi (Iran) Najua kwa ukilaza wako, unafikiri kuwa Iran ni waarab, maana ndo uwezo wako na wa wenzako wa akili ulipoishia. Haujui na wala haijawahi kusoma historia kuwa waajemi (Iran) waliwahi kuwa na himaya kubwa ambayo ilitawala eneo zima la mashariki ya kati miaka zaidi ya 3000 iliyopita, kabla hata Yesu hajazaliwa, kabla hata wagiriki na waroma hawajatia mguu eneo hilo.

Hivyo Iran ni taifa lenye historia ya ubabe na la zaman zaidi ya hizo nchi zako ulizoandika hapa. Ndomaana unaona inafanyika juhudi kubwa ya kuiwekea vikwazo vya silaha, uchumi nk kwa zaidi ya miaka 70, lakini vikwazo hivyo vimeshindwa kusaidia kuinusuru Israel na mashambulizi ya Iran pale inapoamua kufanya hivyo.
Naona huna unachojua kuhusu Israel na histori yake! Kwanza Iran inategemea kwa kiwango kikubwa Tekonology ya Warusi kijeshi.
 
Wahutu kwao ni Burundi na centre afrika, pale Rwanda walikaribishwa tu ndomaana ilikuwa rahisi kuwatimua na hawatorudi tena. Labda nyinyi waisrael muwachukue mkawaweke kwenu.
watusi ndo mlikuja rwanda kama wageni, ila nashangaa sa ivi mnasema hapo ndo kwenu, nyie sio wabantu kabisa sasa iweje mseme rwanda ni kwenu? nyie asili yenu ni ethiopia na eritrea, mnatakiwa mrudi huko kwenu ili amani ya east africa irudi kama mwanzo
 
Niaje waungwana,

Leo nimeamua nije na ukweli ambao baadhi ya ndugu zetu wayahudi wa bonyokwa, tangibovu, kiembe mbuzi na buza hawaujui. Hii ni kwa sababu wale wachache wenye kuujua huu ukweli hawataki kuusikia popote, u kuuzungumzia kwa mtu yoyote.

Kwanza naomba nianze na Rwanda ya leo inayoongozwa na jemedari Paul Kagame kutoka kabila la watutsi walio wengi serikalini, na wenye maamuzi ya mwisho ya nchi hiyo, japo nafahamu kuwa nchi hiyo ina makabila mengine kama vile wahutu na watwa.

Historia inasema, mnamo miaka ya 60 kuelekea 70, ulifanyika msako nchini Rwanda, kwa lengo la kuwaangamiza wanyarwanda wote wenye asili ya kitutsi. Hali hiyo ya msako ilipelekea maelfu ya watutsi kukimbilia sehem mbali mbali za dunia hii, lakini wengi wao walikimbilia katika nchi jirani za Tanzania, Burundi, Congo na Uganda. Watutsi walipokuwa huko kambini waliishi maisha ya shida na ya mateso makubwa sana (hapa watu waliowahi kuishi kambini watakuwa wamenielewa).

Baada ya mateso ya muda mrefu wakiwa nje ya nchi yao, ikabidi jumuia ya kimataifa ikaingilia kati ili kuangalia uwezekano wa watutsi hao warudi katika nchi yao wakaishi maisha yale yale ya kawaida wanayoishi wanyarwanda wenzao (wahutu na watwa). Mpaka hapo hakuna aliekuwa anajua kwamba kurudi kwao kungekuwa ni kwa usalama kweli au ni mtego wameweka au kuwekewa.

Mwaka 94 (miaka 30 tu iliyopita) makubaliano yakafanyika ili watutsi wale waliokuwa nje waanze kuingia nchini kwao kwa makubaliano maalum ya kulindwa na umoja wa mataifa ili wasidhuriwe kwanza. Na wakati huo kuna baadhi ambao sio politicians walikuwa wameshaanza kuingia. Wakati juhudi za kimataifa zikiendelea kufanyika huko Arusha kwa kuwaandalia hao watutsi mahali watapofikia wale watakaoletwa. Ghafla aliekuwa raisi wa nchi hiyo ambae ndo alikuwa anatoka kufanya mazungumzo ya kuwataharishia wageni wake makazi akatunguliwa akiwa angani.

Bwana wee, kilichofuatia kila mtu anakijua, mauaji ya kimbari yakaanzishwa dhidi ya watutsi. Ilianza chinja chinja, kwa aliehusika na asiehusika, aliekuwepo katika mission ya mauaji na asiekuwepo, wakubwa kwa wadogo, wanawake kwa wanaume, wazee kwa vijana. Yani watutsi walichinjwa kama mbuzi wa machinjioni huku dunia ikiangalia tu kinachoendelea. Lakini kama wazee wetu walivyosema kuwa "kila muosha na yeye ataoshwa". Ghafla hali ikabadilika, wachinjaji (wahutu) wakageuka kuwa wachinjwaji. Kimbembe hadi wakajikuta wako Congo wote, mji na nchi wamewaachia watutsi.

Watutsi walipoingia waliikuta nchi inanuka harufu za maiti zilizooza mitaani, umasikini wa kutupwa, miji michafu nk. Wanyarwanda wakaanza kuijenga nchi yao taratibu huku wakijifunza baadhi ya mambo kutoka kwa majirani zao ikiwemo Tanzania, Uganda, Kenya na hata nchi za magharibi.

Leo hii tunavyoongea ni miaka 30 tu toka waipindue serikali ya kihutu, lakini hatua ya maendeleo iliyochukuliwa ni kubwa mno ukilinganisha na nchi zingine ambazo hazikuwahi kukumbana na vita vya aina yoyote toka uhuru. Rwanda ya leo ina jeshi lake imara, ina silaha zake imara inanunua kutoka nje, ina uchumi mzuri kwa kiasi fulan. Japokuwa nchi hiyo haina rasilimali zozote za maana na pia imetoka vitani miaka 30 tu iliyopita, plus imezungukwa na maadui watupu ukiitoa tu Tanzania na kidogo Uganda, lakini kamwe, hautosikia kuwa Kagame anailinda nchi yake kupitia msaada wa kijeshi wa Marekani, Ufaransa au Russia. Kagame ana maadui wengi kuanzia wa nchi zilizomzunguka hadi kwa makundi fulan ya waasi, lakini kamwe hautomsikia analia lia eti mataifa makubwa yaje yamsaidie kupambana na maadui waliomzunguka.

Ngurunziza aliwahi kumjambisha Kagame kwa kumtumia vikundi vya waasi vikafanye maangamizi katika ardhi ya Rwanda, wale waasi walichokutana nacho huko Rwanda, kimewafanya wengine waliokuwa wanataka na wao waingie ku take advantage wachenji mipango yao. Leo hakuna tena muasi anaetaka kuthubutu kwenda kuvamia ardhi ya Rwanda. Wengi wanaishia kupiga zogo, na mikwara ya hapa na pale huko katika misitu ya Congo, Burundi nk. Hakuna mwenye hamu hata ya kusogelea mpaka, achilia mbali kuvamia nchi. Tshesekedi ashawahi kuchimba mkwara kwa kutumia videge vyake visivyokuwa na rubani, Rwanda yenyewe bila kuhitaji msaada wa Marekani wala Ufaransa, alivishusha videge vile alaf akawapa askari wa Congo wampelekee bosi wao wakamuoneshe kuwa silaha alizokuwa nazo si lolo si chochote, Tshesekedi alivyoona vile akafyata, hadi leo hajarudi kupeleka ndege wala mwanajeshi hata mmoja mpakani. Rwanda chini ya raisi Kagame ina viongozi wasomi ambao hawapendi kuona nchi yao inashindwa kujiendesha yenyewe, wamepambana wenyewe bila msaada wa nchi yoyote kutatua changamoto zao kubwa na ndogo.

Tukija kwa Israel, nayo ni kama Rwanda. Walikimbizwa katika nchi yao na kwenda kuishi Uhamishoni. Nao pia waka face mauaji ya kimbari kama wanyarwanda huko Ujerumani. Japo haijulikani kama walikufa wayahudi wote, na kina Netanyahu (wazungu) wakavishwa uyahudi wa mchongo kwa masilahi ya wazungu wenzao pale Mashariki ya kati. Kina Netanyahu wakaletwa na kupachikwa pale wakiambiwa eti ndio kwao. Anyway hilo sio tatizo.

Tatizo ni kwamba inakuaje nchi ambayo imeanzishwa miaka zaidi ya 75 iliyopita mpaka leo inashindwa kujiendesha yenyewe. Yani pamoja na kutumia media kuipamba sijui Mosad sijui upuuzi gani, lakini bado tunauona ukweli kuwa nchi hii inapata misaada ya kijeshi, silaha na hata bajeti ya nchi kutoka nje. Mbona wanashindwa hata na wanyarwanda ambao wameamu kuishi kwa kujitegemea.

Kama maadui hatari hata Rwanda anao na ana deal nao mwenyewe, so inakuaje Israel nayo ishindwe ku deal nao yenyewe? Yani hata Hamas kikundi cha vijana wasiokuwa na uwezo wa kutengeneza hata gwanda za jeshi ni wa kuwaombea msaada wa kijeshi kutoka Marekani, Uingereza na Ujerumani ili upambane nao kweli?

Yani vijana wasiokuwa hata na kifaru ni wa kuwaendea kwenye vita na midege ya kivita, mivifaru na manuari za kivita kweli?

Ama kweli tumshukuru mtu alieleta utandawazi na simu za internet. Maana zimetusaidia kujua mengi tuliokuwa hatuyajui. Tulikuwa tunadanganywa mengi kuhusu taifa hilo kiasi ya kwamba tulifikiri labda nchi hii imefunikwa na mbingu ya chuma ambacho hakiwezi kuruhusu chochote kibaya kuingia ndani. Lakini kumbe ni taifa la hovyo la wanaoishi kwa kulia lia na kutegemea msaada wa nchi zingine. Tena hili la kulia lia na kutegemea msaada wa nchi zingine linaonekana ndio utamaduni na asili yao, maana hata yule raisi wa Ukraine ambae ana asili ya kiyahudi na yeye kila siku analia lia ili asaidiwe kupewa silaha na fedha 😂😂😂.

Kwangu mimi Kagame na serikali yake ni watu makini na wenye akili mara mia moja zaidi ya Netanyahu na genge lake la mashoga huko Israel.

Hata hili shambulizi la Iran, waisrael washukuru Mungu nchi takriban 7 zilifanya juhudi usiku na mchana kuzuia mashambulizi yale. Laiti kama wangeachwa kama Rwanda wajitetee wenyewe, leo hii Netanyahu na wahuni wenzake wangekuwa wamefukiwa vifusini.
Si ukajiandikishe tu mujahidina upigane vita
 
Ndio maana nikasema tuwashukuru watu walioleta sim na mitandaoni, maana vimetusaidia kuujua ukweli. Hayo ya mpango wa nchi mbili mwaka 47 umeyasikia tu kutoka kwa walioamua kuegemea upande wa Israel. Mimi na wewe hatukuwepo na wala hatukuona kupitia media yoyote kipindi hicho, so tutaamini vp?

Mbona leo mimi na wewe tupo, sim zipo na media zipo zinazoonesha kuwa Netanyahu na Israel yake wanapinga uwepo wa mataifa mawili.

Ni mara ngapi toka mzozo wa Hamas uanze Marekani anaishauri Israel ikubali mpango wa nchi mbili ili liwe suluhisho la kudumu, lakini Netanyahu na Israel yake wanakataa? Wewe hujawahi kuisoma hiyo news? Maana hizo habar za mwaka 47 tumehadithiwa tu, hakuna anaejua kama ni kweli au porojo, lakini hii ya sasa tunashuhudia jinsi nchi za magharibi zinaibembeleza Israel ikubali suluhisho la mataifa mawili, lakini Israel ikakataa. So hiki ulichoandika hapa hakina mashiko yoyote, ni propaganda kama zilivyo propaganda zingine za Israel.

Hata hivyo mada haizungumzii swala la waarab, mada inazungumzia namna wanyarwanda wamefanikiwa kutengeneza system ya kujitegemea wenyewe bila kuhitaji msaada wa kijeshi wala silaha kutoka kwa nchi yoyote, licha ya nchi hiyo kuzungukwa na maadui lukuki. Sasa kwanini Israel taifa la Mungu lenyewe lishindwe kujitegemea?
Kama unaamini Rwanda inajitegemea bila msaada wa wazungu na hao wazungu hawana mkono kwenye mauaji ya kimbari na wako nyuma ya PK kwenye machafuko anayoendeleza nchini Kongo utakuwa una uelewa mdogo sana juu ya siasa za maziwa makuu. Kwanza huyo Kagame bila baba yake Museveni ni takataka kabisa,Makamanda waliopigana naye vita ya msituni wanamwelezea kama ni mtu mwoga na asiye na uwezo kwenye mstari wa mbele vitani, aliishi kwa kubebwa na Museveni kwa sababu alikuwa "chawa' wake.Amewaua wote waliokuwa na uwezo zaidi yake akiwemo godfather wake Major Gen Rugyema
 
Hili nakuambia tu uhifadhi kwenye fuvu lako siku kagame akijichanganya tu pale rwanda patafuka moshi zaidi ya 1994 maana wahutu mmewatenga serikali nzima mmjeaaa watusi sasa unafikiri wahutu ni mafala wametulia tu wanawachola mjchanganye tu wanapiga panga km 1994
Kama umeliona hili unahisi ni nini kifanyike kuiepusha machafuko kutokea tena?

Chukulia wewe kama mpatanishi wa na balozi wa amani katika eneo la maziwa makuu ni kipi utafanya kuepusha huo mzozo ambao unatazamiwa kutokea?

Ni kweli kwamba wahutu ni karibia 80% na watusi ni 20%, lalamiko lako la wahutu kunyimwa nafasi katika uongozi, huoni kuwa kama itatokea hivyo pengine ikawa ndio sababu ya fdlr kujipenyeza na kutekeleza walichokifanya mwaka 1994?

Naomba ujibu bila kufuata ushabiki. Na ujibu kama problem solver and avoid to be more of the judgemental because it is the sign of low capacity.
 
Hakuna sehemu iliyotajwa dini. Afrika Kusini asilimia 99 ni wakristo wa madhehebu mbali mbali akiwemo hayati Desmond Tutu. Lakini wanaichukia Israel kwa matendo yake machafu zaidi ya wewe unavyowachukia waislam.
Afrika kusini wameruhusu ushoga.
 
Mtoa post nakukumbusha Rwanda hakuna Demokrasia kama nchi zingine, jiulize mwisho wa kagame utakuwaje? Angeweka msingi wa demokrasia hapo ningekubali lakini mwisho wake hautakuwa
mzuri kwa maadui alionao.
Kwa Nchi yenye makabila ambayo supercifially yanaonekana kupatana lakini underneath kuna fukuto la uadui. Kuachia demokarasia itawale ni kupalilia genocide nyingine. Kumbuka kuna makundi yenye uhasimu yaliyofurushwa nje ya nchi.

Rwanda haiko tayari genocide kutokea tena, hata ubabe wa Kagame wananchi wake ni wa nia hiyohiyo. Akiwachekea sana watu yatajirudia yakujirudia.

Na mambo kama hayo yakitokea mataifa ya karibu yanayopalilia uhuru wa demokarasia yanakaa kimya kama vile hayakuhusika kukosoa.

Wakati genocide inatokea UN, Mataifa ya Magharibi, Nchi za East Africa zilikuwa kimya kama vile hazielewi kinachoendelea.

Sasa Mtu akijihami kivyake anaonekana mbaya. Muacheni ajihami hayuko tayari kuona Genocide nyingine.
 
Niaje waungwana,

Leo nimeamua nije na ukweli ambao baadhi ya ndugu zetu wayahudi wa bonyokwa, tangibovu, kiembe mbuzi na buza hawaujui. Hii ni kwa sababu wale wachache wenye kuujua huu ukweli hawataki kuusikia popote, u kuuzungumzia kwa mtu yoyote.

Kwanza naomba nianze na Rwanda ya leo inayoongozwa na jemedari Paul Kagame kutoka kabila la watutsi walio wengi serikalini, na wenye maamuzi ya mwisho ya nchi hiyo, japo nafahamu kuwa nchi hiyo ina makabila mengine kama vile wahutu na watwa.

Historia inasema, mnamo miaka ya 60 kuelekea 70, ulifanyika msako nchini Rwanda, kwa lengo la kuwaangamiza wanyarwanda wote wenye asili ya kitutsi. Hali hiyo ya msako ilipelekea maelfu ya watutsi kukimbilia sehem mbali mbali za dunia hii, lakini wengi wao walikimbilia katika nchi jirani za Tanzania, Burundi, Congo na Uganda. Watutsi walipokuwa huko kambini waliishi maisha ya shida na ya mateso makubwa sana (hapa watu waliowahi kuishi kambini watakuwa wamenielewa).

Baada ya mateso ya muda mrefu wakiwa nje ya nchi yao, ikabidi jumuia ya kimataifa ikaingilia kati ili kuangalia uwezekano wa watutsi hao warudi katika nchi yao wakaishi maisha yale yale ya kawaida wanayoishi wanyarwanda wenzao (wahutu na watwa). Mpaka hapo hakuna aliekuwa anajua kwamba kurudi kwao kungekuwa ni kwa usalama kweli au ni mtego wameweka au kuwekewa.

Mwaka 94 (miaka 30 tu iliyopita) makubaliano yakafanyika ili watutsi wale waliokuwa nje waanze kuingia nchini kwao kwa makubaliano maalum ya kulindwa na umoja wa mataifa ili wasidhuriwe kwanza. Na wakati huo kuna baadhi ambao sio politicians walikuwa wameshaanza kuingia. Wakati juhudi za kimataifa zikiendelea kufanyika huko Arusha kwa kuwaandalia hao watutsi mahali watapofikia wale watakaoletwa. Ghafla aliekuwa raisi wa nchi hiyo ambae ndo alikuwa anatoka kufanya mazungumzo ya kuwataharishia wageni wake makazi akatunguliwa akiwa angani.

Bwana wee, kilichofuatia kila mtu anakijua, mauaji ya kimbari yakaanzishwa dhidi ya watutsi. Ilianza chinja chinja, kwa aliehusika na asiehusika, aliekuwepo katika mission ya mauaji na asiekuwepo, wakubwa kwa wadogo, wanawake kwa wanaume, wazee kwa vijana. Yani watutsi walichinjwa kama mbuzi wa machinjioni huku dunia ikiangalia tu kinachoendelea. Lakini kama wazee wetu walivyosema kuwa "kila muosha na yeye ataoshwa". Ghafla hali ikabadilika, wachinjaji (wahutu) wakageuka kuwa wachinjwaji. Kimbembe hadi wakajikuta wako Congo wote, mji na nchi wamewaachia watutsi.

Watutsi walipoingia waliikuta nchi inanuka harufu za maiti zilizooza mitaani, umasikini wa kutupwa, miji michafu nk. Wanyarwanda wakaanza kuijenga nchi yao taratibu huku wakijifunza baadhi ya mambo kutoka kwa majirani zao ikiwemo Tanzania, Uganda, Kenya na hata nchi za magharibi.

Leo hii tunavyoongea ni miaka 30 tu toka waipindue serikali ya kihutu, lakini hatua ya maendeleo iliyochukuliwa ni kubwa mno ukilinganisha na nchi zingine ambazo hazikuwahi kukumbana na vita vya aina yoyote toka uhuru. Rwanda ya leo ina jeshi lake imara, ina silaha zake imara inanunua kutoka nje, ina uchumi mzuri kwa kiasi fulan. Japokuwa nchi hiyo haina rasilimali zozote za maana na pia imetoka vitani miaka 30 tu iliyopita, plus imezungukwa na maadui watupu ukiitoa tu Tanzania na kidogo Uganda, lakini kamwe, hautosikia kuwa Kagame anailinda nchi yake kupitia msaada wa kijeshi wa Marekani, Ufaransa au Russia. Kagame ana maadui wengi kuanzia wa nchi zilizomzunguka hadi kwa makundi fulan ya waasi, lakini kamwe hautomsikia analia lia eti mataifa makubwa yaje yamsaidie kupambana na maadui waliomzunguka.

Ngurunziza aliwahi kumjambisha Kagame kwa kumtumia vikundi vya waasi vikafanye maangamizi katika ardhi ya Rwanda, wale waasi walichokutana nacho huko Rwanda, kimewafanya wengine waliokuwa wanataka na wao waingie ku take advantage wachenji mipango yao. Leo hakuna tena muasi anaetaka kuthubutu kwenda kuvamia ardhi ya Rwanda. Wengi wanaishia kupiga zogo, na mikwara ya hapa na pale huko katika misitu ya Congo, Burundi nk. Hakuna mwenye hamu hata ya kusogelea mpaka, achilia mbali kuvamia nchi. Tshesekedi ashawahi kuchimba mkwara kwa kutumia videge vyake visivyokuwa na rubani, Rwanda yenyewe bila kuhitaji msaada wa Marekani wala Ufaransa, alivishusha videge vile alaf akawapa askari wa Congo wampelekee bosi wao wakamuoneshe kuwa silaha alizokuwa nazo si lolo si chochote, Tshesekedi alivyoona vile akafyata, hadi leo hajarudi kupeleka ndege wala mwanajeshi hata mmoja mpakani. Rwanda chini ya raisi Kagame ina viongozi wasomi ambao hawapendi kuona nchi yao inashindwa kujiendesha yenyewe, wamepambana wenyewe bila msaada wa nchi yoyote kutatua changamoto zao kubwa na ndogo.

Tukija kwa Israel, nayo ni kama Rwanda. Walikimbizwa katika nchi yao na kwenda kuishi Uhamishoni. Nao pia waka face mauaji ya kimbari kama wanyarwanda huko Ujerumani. Japo haijulikani kama walikufa wayahudi wote, na kina Netanyahu (wazungu) wakavishwa uyahudi wa mchongo kwa masilahi ya wazungu wenzao pale Mashariki ya kati. Kina Netanyahu wakaletwa na kupachikwa pale wakiambiwa eti ndio kwao. Anyway hilo sio tatizo.

Tatizo ni kwamba inakuaje nchi ambayo imeanzishwa miaka zaidi ya 75 iliyopita mpaka leo inashindwa kujiendesha yenyewe. Yani pamoja na kutumia media kuipamba sijui Mosad sijui upuuzi gani, lakini bado tunauona ukweli kuwa nchi hii inapata misaada ya kijeshi, silaha na hata bajeti ya nchi kutoka nje. Mbona wanashindwa hata na wanyarwanda ambao wameamu kuishi kwa kujitegemea.

Kama maadui hatari hata Rwanda anao na ana deal nao mwenyewe, so inakuaje Israel nayo ishindwe ku deal nao yenyewe? Yani hata Hamas kikundi cha vijana wasiokuwa na uwezo wa kutengeneza hata gwanda za jeshi ni wa kuwaombea msaada wa kijeshi kutoka Marekani, Uingereza na Ujerumani ili upambane nao kweli?

Yani vijana wasiokuwa hata na kifaru ni wa kuwaendea kwenye vita na midege ya kivita, mivifaru na manuari za kivita kweli?

Ama kweli tumshukuru mtu alieleta utandawazi na simu za internet. Maana zimetusaidia kujua mengi tuliokuwa hatuyajui. Tulikuwa tunadanganywa mengi kuhusu taifa hilo kiasi ya kwamba tulifikiri labda nchi hii imefunikwa na mbingu ya chuma ambacho hakiwezi kuruhusu chochote kibaya kuingia ndani. Lakini kumbe ni taifa la hovyo la wanaoishi kwa kulia lia na kutegemea msaada wa nchi zingine. Tena hili la kulia lia na kutegemea msaada wa nchi zingine linaonekana ndio utamaduni na asili yao, maana hata yule raisi wa Ukraine ambae ana asili ya kiyahudi na yeye kila siku analia lia ili asaidiwe kupewa silaha na fedha 😂😂😂.

Kwangu mimi Kagame na serikali yake ni watu makini na wenye akili mara mia moja zaidi ya Netanyahu na genge lake la mashoga huko Israel.

Hata hili shambulizi la Iran, waisrael washukuru Mungu nchi takriban 7 zilifanya juhudi usiku na mchana kuzuia mashambulizi yale. Laiti kama wangeachwa kama Rwanda wajitetee wenyewe, leo hii Netanyahu na wahuni wenzake wangekuwa wamefukiwa vifusini.
Umeanza vizuri sana ukamalizia vibaya mno!!

Jamii ya waebrania ni ya watu weusi waliowengi sana sio weupe!!

Ndio maana yesu alienda kujificha misri ya kale iliyokua inakaliwa na weusi Ili afanane nao wasije mkamata wakamuua kama amri ya herode!!

Hai unaowaona waisrael sio waisrael Bali damu ya waturuki,wajerumani,wazungu n.k

Wewe hapo ulipo na utanzania wako weusi wako ni rahisi kufananishwa na muisrael kuliko hasta hai unaowataja waisrael!!!

INGEKUA RAHISI SANA YESU KUJIFICHA TANZANIA HERODE ASIMUONE KULIKO KUJIFICHA ISRAEL KWA HAO WEUPE!!!

Hilo sio Taifa la israel bali Taifa la mchongo Kwa ajili ya kudhiti nchi zenye utajiri was mafuta !!!
 
Back
Top Bottom