Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Mikia imetangulia zenji kumpokea looser mwenzie kmkm
 
Kama tingatinga likiwa layer ya mizizi kazi kidogo mambo ya layer yachini linakandamiza 3 au 2
 
poleni sana simba wazee wa mchangani haya washangilieni al khartoum kama kawaida yenu
 
Wakati naleta mada hapa jamvini zilikuwa dk 450 sasa zimebaki dakika 360.
 
hamna kitu hapa! kuifunga kmkm sawa na kuifunga Changanyikeni Rangers FC.
 
Habari wana sports wa jf,Kama nilivyoeleza katika kichwa cha habari hapo juu.
Leo tunaanza safari ya kuchukua ubingwa wa kombe la kagame,Na SAFARI HII ITATUCHIKUA TAKRIBANI DAKIKA 450.Tunamfunga kmkm leo then anakuja huyo khartoom al watani jpili naye anachapwa.TUNAKWENDA ROBO FINAL YEYOTE ATAKAYEJIPENDEKEZA TUNAPIGA ATAKAYEKUJA NUSU FINAL NAYE HIVYO HIVYO NA KWA KUWA TUNAHITAJI HUU UBINGWA BASI HATA FINAL TUTASHINDA TU MAANA HAMNA NAMNA NI LAZIMA WAFUNGWE TU.
Go go go go go go YOUNG AFRICAN SC.

Mfalme njozi, pole!
 
Yanga imara daima mbele,na kweli tumeona safari ya ubingwa imeanza leo
 
Daima Mbele nyuma mwiko,ukiwa yanga na arsenal ni raha sana,nashusha ka ndovu bariidi kujipongeza.
 
Back
Top Bottom