Dak. 77: KCCA 0-1 Azam, Amme Ally.
Mikia na ma-yebotebo wataanza urafiki Wa mashaka ili kuikamia Azam. Bakhresa kaaga kwao,hapo mmenoa.
Simba SC tuna undugu wa kihistoria na Azam.
Full Time: KCCA 0-1 Azam.
Azam wamefuzu fainali, sasa kucheza na Gor Mahia.
Afadhali!!
Itabidi wana Msimbazi tuishabikie Azam ili Gor isiikute record yetu.
Afadhali!!
Itabidi wana Msimbazi tuishabikie Azam ili Gor isiikute record yetu.
Game ya pili(fainali) saa ngapi