Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Yanga mkiacha kununua marefa kwenye ligi ndio mtafanikiwa kushinda kwenye mashindano makubwa
 
pole sana . shushia na ice cream
Ice_Cream_dessert_02.jpg
Wow! Thank you. ... at least nimepata afueni.
Ila utanifanya nitoke nje nikaitafute sasa!
[emoji17] [emoji17] [emoji17]
 
Acha tujipange Ngao ya Hisani. Ila Donald Ngoma aache kucheza kibishoo. Leo hapa uwanjani tunatoka kwa aibu sana. Mikia ilikuwa inasubiri tufungwe waanze. Fulana nyekundu zimejaa. Baadhi ya mashabiki wa Yanga wamevaa za azam na Nyekundu ili kuficha aibu. Njano zilizojaa uwanjani zimepungua kwa kasi sana.

Kuteleza sio kuanguka Yanga Chama langu hata ikifungwa magoli mia. Nawa advice viongozi, benchi la ufundi na Mashabiki wenzangu wote tuchukulie kufungwa kwa leo as a challenge ili iwe chachu ya kufanya vizuri huko mbeleni.

Wasalaam.
 
PENALTY SIYO BAHATI NI UJUZI . TEAM ZENYE MAKOCHA WAZURI HUWA WANAFUNDISHA UPIGAJI NA UDAKAJI WA PENALTY. wenzenu wanapata nyie mnasema bahati? kapige umefumba macho sasa. YANGA inacheza sana KWENYE MAGAZETI.
 
Yanga 4-5 Simba.
Simba won on penalty shoot outs

Hongereni Simba
 
safi sana AZAM Fc kwa kutoa hao yebo yebo yenye usajili wa 500M
 
PENALTY SIYO BAHATI NI UJUZI . TEAM ZENYE MAKOCHA WAZURI HUWA WANAFUNDISHA UPIGAJI NA UDAKAJI WA PENALTY. wenzenu wanapata nyie mnasema bahati? kapige umefumba macho sasa. YANGA inacheza sana KWENYE MAGAZETI.

Weeeeee acha hizo bana, uliwaangalia Argentina wakipiga penati??
 
PENALTY SIYO BAHATI NI UJUZI . TEAM ZENYE MAKOCHA WAZURI HUWA WANAFUNDISHA UPIGAJI NA UDAKAJI WA PENALTY. wenzenu wanapata nyie mnasema bahati? kapige umefumba macho sasa. YANGA inacheza sana KWENYE MAGAZETI.

Upo sawa
 
Acha tujipange Ngao ya Hisani. Ila Donald Ngoma aache kucheza kibishoo. Leo hapa uwanjani tunatoka kwa aibu sana. Mikia ilikuwa inasubiri tufungwe waanze. Fulana nyekundu zimejaa. Baadhi ya mashabiki wa Yanga wamevaa za azam na Nyekundu ili kuficha aibu. Njano zilizojaa uwanjani zimepungua kwa kasi sana.

Kuteleza sio kuanguka Yanga Chama langu hata ikifungwa magoli mia. Nawa advice viongozi, benchi la ufundi na Mashabiki wenzangu wote tuchukulie kufungwa kwa leo as a challenge ili iwe chachu ya kufanya vizuri huko mbeleni.

Wasalaam.

Mmezoeleka
 
Back
Top Bottom