GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna 'mambo' yanakera na hayavumiliki.Popoma Punguza povu kwanza, unatweta kama unakimbia operesheni kimbunga, mkiendelea kusumbua tutaitisha operesheni Kimbunga version 2 tuwarudishe tena kwenu. Hebu kunywa maji kidogo utulize munkari maana naona una hasira kali kama kikosi cha mauaji cha Kagame.
We chawa wa maguNchi yetu ilifikwa na msiba wa kufiwa na rais, baada ya kufiwa immediately tulipokea salamu za rambirambi kutoka kwa maraisi wa jumuia ya Afrika mashariki akiwemo mzee Museveni, Rais Kenyata, Rais Ndaishimiye, Lakini Kagame ilimchukua siku nyingi sana takriban miezi miwili kabla ya kuwapa pole Watanzania
Rais Kenyata alikuja nchini kuhani Msiba, Mzee Museveni alihani msiba huko kwao na tuliona picha zake, Lakini Kagame alikuwa Mkavu bila hata kuonyesha feelings zozote hata za kuzugia kipindi hicho.
Sasa swali ninalopenda kumuuliza Samia, Unakwenda Rwanda kipindi hiki kufanya nini?
Huyu Kagame ambaye hakututakia hata salamu ya rambirambi kwa wakati ndiye Kagame yuleyule aliyemtishia maisha rais wetu mwingine aliyetutangulia. Sasa unakwenda huko kufanya nini kwa sasa?.
Ninafahamu tuna ishu za kibiashara na hiyo nchi naam hayo ni mambo ya msingi, na yako palepale, lakini Je kwa nini sisi tusionyeshe kukasirishwa na kutoheshimiwa kidiplomasia na Kagame baada ya kufiwa na rais wetu?
This is exactly the continuation of 'Foolishness' from few of you who are also known as 'Swahili Intellectuals' on different Social Platforms and in our Society as well.Inasemekana kagame alimwingiza chaka mwenda zake kwenye tanzanite alizokwapua kwa Yule mchimbaji mkubwa ndo maana urafiki uliisha ghafla.
Mind your own business.This is exactly the continuation of 'Foolishness' from few of you who are also known as 'Swahili Intellectuals' on different Social Platforms and in our Society as well.
Another Fool. Hivi ni nani alikuambia kuwa Rais Paul Kagame nae haijui 'System' ya Tanzania tena ndani nje kwani Yeye pamoja na aliyekuwa Raia wa Congo DR ( Hayati Laurent Desire Kabila ) Tanzania akijulikana kama Baba Simwale walishawahi kuwa sehemu yake Awamu za Mwalimu Nyerere na Mzee Mwinyi?1:Huyo Mama aka Eagle1 anamchora tu Pk,
2:Ana details zote za Huyo jamaa,Mpaka anaenda Rwanda,na Pk anajua hilo.
3:Kuna kitu alikiongea kwenye kusaini sijui mkongo Alafu mko mbele kitu gani,Pk mwenyewe anaelewa kilichomaanishwa,
4:Tz ni taifa kubwa sana EA,na Watawala wote wanalijua hilo,wanachostaajabishwa ni namna intelligence zetu zinavyofanya kazi.
Absolute Nonsense...!!!Mind your own business.
Bro'' sometimes use the logical side of your brain.Absolute Nonsense...!!!
You're an authentic 'Nut' on the Forum.Bro'' sometimes use the logical side of your brain.
I ignore you.You're an authentic 'Nut' on the Forum.
ndo nn umeandika unaficha nn hata kufata huku banaKagame is so much cunning and wicked in his own ways. He has a very strange annoying character. Pure mercilessly capitalist. He is a self centered brutal autocratic dictator.
Mkuu, CCM haina viongozi,bali uchafu mtupu,na wala TISS haina nguvu Kama enzi za Nyerere na Mkapa, ndo maana huyo mama anakwenda Rwanda Kama juha bila hata tafakuriNchi yetu ilifikwa na msiba wa kufiwa na rais, baada ya kufiwa immediately tulipokea salamu za rambirambi kutoka kwa maraisi wa jumuia ya Afrika mashariki akiwemo mzee Museveni, Rais Kenyata, Rais Ndaishimiye, Lakini Kagame ilimchukua siku nyingi sana takriban miezi miwili kabla ya kuwapa pole Watanzania
Rais Kenyata alikuja nchini kuhani Msiba, Mzee Museveni alihani msiba huko kwao na tuliona picha zake, Lakini Kagame alikuwa Mkavu bila hata kuonyesha feelings zozote hata za kuzugia kipindi hicho.
Sasa swali ninalopenda kumuuliza Samia, Unakwenda Rwanda kipindi hiki kufanya nini?
Huyu Kagame ambaye hakututakia hata salamu ya rambirambi kwa wakati ndiye Kagame yuleyule aliyemtishia maisha rais wetu mwingine aliyetutangulia. Sasa unakwenda huko kufanya nini kwa sasa?.
Ninafahamu tuna ishu za kibiashara na hiyo nchi naam hayo ni mambo ya msingi, na yako palepale, lakini Je kwa nini sisi tusionyeshe kukasirishwa na kutoheshimiwa kidiplomasia na Kagame baada ya kufiwa na rais wetu?
Shukrani gani?Tuliuziwa mbuzi kwenye gunia kivipi?watanzania hamna shukrani kwa mungu
Huyu ni mbovu kuliko marais woteInanibidi niyaseme haya kwenye mada hii kuhusu mleta mada:
Umekuwa mzalendo kuliko nilivyowahi kukusoma hapa JF. Kuna kitu gani kimebadilika?
Nauliza hivi kwa moyo safi kabisa bila ya hiana yoyote moyoni mwangu; kwani maslahi ya Tanzania mbele ya jambo jingine lolote ndiyo lengo la waTanzania (wote?)
Naunga mkono hoja yako.
"Maza Mizinguo" ana kazi kubwa sana ya kunyoosha "learning curve" yake kuhusu haya mambo. Inaonekana hata huko ndani ya Ikulu yake, kama ushahidi unavyoonyesha waziwazi, kuna upungufu mkubwa sana wa utambuzi wa mambo yanayohusu maslahi ya nchi hii.
Hii inadhihirisha kwamba taifa letu kwa sasa hivi tupo uchi wa mnyama.
Mmmh kulikuwa na kizuizi gani?Mkuu, wajitahidi sana kuwasilisha mawazo ila hii imekaa kushoto zaidi.
Kwa mfano we hapo jiulize kwanini PK hakuja , yaani ulitegemea PK aruke angani wakati ule?
Halafu wafahamu pale Kigali ni refuge point?
Kuna mambo mengi sana yapo nyuma ya pazia hii mada itakuwa yazunguka tu bila kwenda CenterPoint.
Yaani pale penye kiini pale.
Nadhani utanielewa nimetumia codes.
Kuna jamaa alikuwa anamshambulia kama wewe sijui kapotelea wapi ( jokes usije kimbia jukwaa)!Kagame is so much cunning and wicked in his own ways. He has a very strange annoying character. Pure mercilessly capitalist. He is a self centered brutal autocratic dictator.
Twende taratibu kwanza...Nchi yetu ilifikwa na msiba wa kufiwa na rais, baada ya kufiwa immediately tulipokea salamu za rambirambi kutoka kwa maraisi wa jumuia ya Afrika mashariki akiwemo mzee Museveni, Rais Kenyata, Rais Ndaishimiye, Lakini Kagame ilimchukua siku nyingi sana takriban miezi miwili kabla ya kuwapa pole Watanzania
Rais Kenyata alikuja nchini kuhani Msiba, Mzee Museveni alihani msiba huko kwao na tuliona picha zake, Lakini Kagame alikuwa Mkavu bila hata kuonyesha feelings zozote hata za kuzugia kipindi hicho.
Sasa swali ninalopenda kumuuliza Samia, Unakwenda Rwanda kipindi hiki kufanya nini?
Huyu Kagame ambaye hakututakia hata salamu ya rambirambi kwa wakati ndiye Kagame yuleyule aliyemtishia maisha rais wetu mwingine aliyetutangulia. Sasa unakwenda huko kufanya nini kwa sasa?.
Ninafahamu tuna ishu za kibiashara na hiyo nchi naam hayo ni mambo ya msingi, na yako palepale, lakini Je kwa nini sisi tusionyeshe kukasirishwa na kutoheshimiwa kidiplomasia na Kagame baada ya kufiwa na rais wetu?