Kagame kumpigia Marco Rubio kuhusu mgogoro ni udhaifu

Kagame kumpigia Marco Rubio kuhusu mgogoro ni udhaifu

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Kagame anajua kuna beef la South Africa na USA kwasababu ya BRICS. Sasa kajioendekeza kwa Marco Rubio ambaye ni kama waziri wa mambo ya nje wa USA. Yaani migogoro yetu wanajenshi wetu wanakufa mpaka leo tunasubiria wazungu wazuie sisi kuuwana. Kijinga zaidi silaha tuna nunua kwao.! Lakini kagame huyohuyo ndiye wa kwanza kusema hatuwahitaji west!!! yaani ni unafiki wa aina gani


View: https://youtu.be/lr3kCRpg1v8?si=JHAHo_5B1lK_Us7t
 
Mgogoro wa Congo ni mzito mno.

Mkataba wa LEMELA unaimaliza congo.
Raslimali zao zinawamaliza wacongo.
Rwanda na uganda vinaimalizavCongo.

EUROPE INAIUA CONGO.
 
May I have your attention, please?
May I have your attention, please?
Will the real Slim Shady please stand up?
We're gonna have a problem here
 
Back
Top Bottom