Kagame ndio rais mbabe Afrika?

Kagame ndio rais mbabe Afrika?

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
Leo nataka tujadili maana naona nchi za Africa zinamuogopa huyu jamaa au ndio mbabe wao maana nasikia jamaa akikoroma kidogo tu nchi nyingine zinatetemeka halafu nchi yake ni kama Israel ni ndogo ila haigusiki kijeshi mnaojua huyu jamaa anajiamini nini maana nchi yake ni ndogo au ndio anataka kuwa Benjamin Netanyahu
 
Leo nataka tujadili maana naona nchi za Africa zinamuogopa huyu jamaa au ndio mbabe wao maana nasikia jamaa nchi yake ni kama Israel mnaojua huyu jamaa anajiamini nini maana nchi yake ni ndogo au ndio anataka kuwa Benjamin netanyahu
Anatumikishwa na mabeperi hana lolote huyu, anamtafuta SA kwa masirahi ya Israel ili aingii vitani.
 
Ukorofi gani zaidi ya kua sycophant leader wa wa zungu, hali ya raia wa kawaida Rwanda ni mbaya sana aridhi ni shida chakula shida kama ni mbabe ajimegee Tanzania hata 100km tu au Congo ndotujue ni mbabe kuongea tu sio ubabe.
Sio kweli Tanzania wananchi Wanamaisha magumu kuliko Rwanda
 
Mwehu tu huyu............akitaka kurusha teke lake la mwisho mwambie avamie tanzania............maana mimi nina hamu na yule mwanae angel kagame ...........nataka kukifyatua kile kizazi walahi
 
Leo nataka tujadili maana naona nchi za Africa zinamuogopa huyu jamaa au ndio mbabe wao maana nasikia jamaa nchi yake ni kama Israel mnaojua huyu jamaa anajiamini nini maana nchi yake ni ndogo au ndio anataka kuwa Benjamin Netanyahu
 
Mjazeni ujinga hivyo, kikimkumba atakuwa yeye na familia yake.

1738260584145.jpeg


Mabeberu sio watu wazuri, wakiona hawana maslahi na wewe tena wanakutosa huku wakikuangalia usoni.

Mobutu aliishi kama mtu pale wazungu walipomuhitaji, walipomchoka waliruhusu adhalilike vibaya mpaka kukutwa na mauti kinyonge.
 
Mwehu tu huyu............akitaka kurusha teke lake la mwisho mwambie avamie tanzania............maana mimi nina hamu na yule mwanae angel kagame ...........nataka kukifyatua kile kizazi walahi
Tanzania pia inamuogopa haitaki kumsikia inasemekana jamaa yupo kama netanyahu yaani nchi ndogo ila jeshi lake hatari Sasa hivi
 
Back
Top Bottom