Kagame ndio rais mbabe Afrika?

Kagame ndio rais mbabe Afrika?

Tema mate chini hawa hawa rwanda wanaoitamani Tanzania na wanaingia kimya kimya wapo mitaani tele wanaishi kwa amani na kufurahia zaidi kuliko huko walipokuwa.
Hao itakua waburundi ndio wananjaa
 
Acha uongo wewe

Wananchi wa Rwanda kibao wanazamia Tanzania kutafuta maisha ila huwezi kuta M Tanzania anaenda zamia Rwanda kutafuta maisha
Itakua umewaona wahutu kutoka Burundi ndio wananjaa
 
Hakuna anayemuogopa PAKA ni vile wanakaonea huruma, kwanza nchi yake ndogo na haina rasimali zozote zaidi ya kumiliki katerelo 😹
Uongo anaogopeka maana anawwakoromea wote wanamhanya upande wa nchi tafuta jina la Israeli kwenye upande wa jeshi ndio utajua
 
Leo nataka tujadili maana naona nchi za Africa zinamuogopa huyu jamaa au ndio mbabe wao maana nasikia jamaa nchi yake ni kama Israel ni ndogo ila haigusiki kijeshi mnaojua huyu jamaa anajiamini nini maana nchi yake ni ndogo au ndio anataka kuwa Benjamin Netanyahu
True
 
Asijidanganye na weapons anazo pewa na ufaransa hata Israeli ilikuwa ikipewa misaada hivyo hivyo mwisho wa siku ikakubali yaishe mbele ya HAMAS
 
Back
Top Bottom