Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
-
- #21
Hao itakua waburundi ndio wananjaaTema mate chini hawa hawa rwanda wanaoitamani Tanzania na wanaingia kimya kimya wapo mitaani tele wanaishi kwa amani na kufurahia zaidi kuliko huko walipokuwa.
Jamaa mbabe sana aiseeMjazeni ujinga hivyo, kikimkumba atakuwa yeye na familia yake.
View attachment 3219030
Mabeberu sio watu wazuri, wakiona hawana maslahi na wewe wanakutosa huku wakikuangalia usoni.
Na ishi Dar es salam, wewe unaishi wapi?We unaishi tanzania Gani yenye maisha rahisi
Itakua kipofu wewe kama dar es salaam wananchi Wanamaisha mazuriNa ishi Dar es salam, wewe unaishi wapi?
Na wewe unaamini?...............Tanzania pia inamuogopa haitaki kumsikia inasemekana jamaa yupo kama netanyahu yaani nchi ndogo ila jeshi lake hatari Sasa hivi
Wakwenu huko na wengi tu tumeshawala maan wanashobo na watz sana sana.Hao itakua waburundi ndio wananjaa
Haogopeki ni basi tu watu hawataki vita na machafuko yasiyokuwa na msingiMbona naogopwa sana africa
Sio kweli Tanzania wananchi Wanamaisha magumu kuliko Rwanda
Ndio anaogopeka hivyo maana anatamba tuHaogopeki ni basi tu watu hawataki vita na machafuko yasiyokuwa na msingi
NdioN
Na wewe unaamini?...............
Itakua umewaona wahutu kutoka Burundi ndio wananjaaAcha uongo wewe
Wananchi wa Rwanda kibao wanazamia Tanzania kutafuta maisha ila huwezi kuta M Tanzania anaenda zamia Rwanda kutafuta maisha
Uongo anaogopeka maana anawwakoromea wote wanamhanya upande wa nchi tafuta jina la Israeli kwenye upande wa jeshi ndio utajuaHakuna anayemuogopa PAKA ni vile wanakaonea huruma, kwanza nchi yake ndogo na haina rasimali zozote zaidi ya kumiliki katerelo 😹
Wallahi angeikanyagakanyaga Afrika apendavyo!Jamaa mkorofi sana
Hata watutsi wamejaa kuhama na ngara wanazamia kila sikuItakua umewaona wahutu kutoka Burundi ndio wananjaa
TrueLeo nataka tujadili maana naona nchi za Africa zinamuogopa huyu jamaa au ndio mbabe wao maana nasikia jamaa nchi yake ni kama Israel ni ndogo ila haigusiki kijeshi mnaojua huyu jamaa anajiamini nini maana nchi yake ni ndogo au ndio anataka kuwa Benjamin Netanyahu
We itakua macho Yako hayaoni hamna mrwanda mwenye njaa hao no warundiHata watutsi wamejaa kuhama na ngara wanazamia kila siku
Mbona naogopwa sana africa
Hakuna marefu yasiyo na ncha, walikuwepo kina gadaffi, iddi amin , mobutu lakini Leo hawapoNdio anaogopeka hivyo maana anatamba tu