Ndo tuliko kuwa tunaelekea kama taifa. Asante Mungu wetu kwa 17/3/2021Aliwahi kuwa swahiba Mkubwa Sana wa JPM.
"Show me your friends, I tell you your habits"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo tuliko kuwa tunaelekea kama taifa. Asante Mungu wetu kwa 17/3/2021Aliwahi kuwa swahiba Mkubwa Sana wa JPM.
"Show me your friends, I tell you your habits"
Sasa huku Afrika mpaka tunaweka maraisi wehu wataleta maendeleo gani?Ghadafi hakuponzwa na hilo. Bali ni maono yake kuwa tofauti na maslahi ya Magharibi.
Ila ukiwa na kiongozi mmoja mzalendo na mwenye maono sahihi na utekelezaji mzuri nchi inapiga hatua kubwa sana kuliko kubadilibadili maraisi kila baada ya miaka kumi maana kila Rais anaingia na mtazamo wake mpya.
Kunakuwa hakuna muendelezo.
Ncho zote zilizofanikiwa kufanya mapinduzi ya viwanda na kupiga hatua za maendeleo zimefanya hayo nje ya demokrasia.
Demokrasia hii ya Magharibi na mapinduzi ya kiuchumi ni mafuta na maji. Demokrasia ya kiMagharibi ni anasa ya waliokwishatajirika.
Hamna chochote anahofia aki retire anayekuja huenda akamuwajibisha yeye na biashara zak
Hayo ni moja kati ya maalfu ya maoni/mtazamo/fikra na chambuzi kuhusu uongozi wa Paul kagame, Kagame Mtu wa maandishi sana-anajua anacho kifanya huyu mtu(Kama wao wanakunywa coca na sisi tunywe coca,SIsi ni akinanani hata tushindwe kunywa coca..??)Hamna chochote anahofia aki retire anayekuja huenda akamuwajibisha yeye na biashara zake.