Kagame: Nipo tayari kuendelea kuongoza Rwanda kwa miaka 20 zaidi

Kagame: Nipo tayari kuendelea kuongoza Rwanda kwa miaka 20 zaidi

Swali zuri.

Hao uliowataja wa Afrika uko sahihi kuwa sio wazalendo. Ni watu ambao wamekosa maono zaidi ya kula bata. akina Nguema wapumbavu sana. Mtoto wa Nguema anapost Instgram kila siku maisha ya anasa anayoishi kwa mauzo ya mafuta ya nchi yake, mpaka wazungu wakakamata baadhi ya mali zake ili utajiri huo urudishwe nchini mwake.

Mifano mizuri ya waliokaa sana lakini walikuwa wazalendo ni Ghaddafi, Kagame na Nyerere. Naamini kwenye sekta ya maendeleo hakuna wa kumpinga kati ya hawa.

Mifano mingine mizuri ni kwenye nchi za Uarabuni zenye wafalme, maamiri na masultani. Kuna muendelezo mkubwa wa maono na mipango ya maendeleo japokuwa wafalme hao wanakula bata lakini kuna kushiba na khivyo kufanya maendeleo kama una uzalendo.

Kuhusu wazungu na wajapani kipindi wanatajirika walitajirika kwa ujambazi wa kutumia silaha. Wazungu walitoka Ulaya na kwenda kuiba ardhi na mali na watu duniani kote kwa mtutu wa bunduki.

Wajapani walifanya vivyo hivyo ukanda wa Asia Mashariki (China, Cambodia, n.k.)

Kipindi wanafanya hayo hawakuwa na demokrasia. Walikuwa na tawala za kidikteta wanazoita "Ufalme"

Marekani ni wazungu wa Ulaya Magharibi. Ni tawi lao na ndo dola kuu iliyoundwa na wazungu wa Ulaya Magharibi so far.

Kwa hiyo Marekani ni muendeleo wa kilichokuwa kinaendelea Ulaya. Suala la "Uhuru wa Marekani kutoka Uingereza" halina maana sana. Waliopata uhuru ni wazungu walewale wa Ulaya Magharibi wakiwa na utajiri ule ule wa Ulaya.

Na wao pia baada ya Uhuru walieendesha nchi kwa miaka mingi kama oligarchy. Yaani siasa ilikuwa mikononi mwa wachache ambao ni wanaume wazungu wanaomiliki ardhi.

Ni mfumo waliorithi kutoka Ulaya kwenye Unyarubanja wa Ulaya (mambo ya Landed Gentry ambao ndo walikuwa wabunge wa House of Lords yaani washirika wa Mfalme katika kuendesha nchi.) Ufalme wa Uingereza ulianzishwa kwa William The Conqueror kupita eneo hadi eneo akifanya mapatano na wamiliki wa ardhi wamuunge mkono kwa kuweka ardhi zao chini ya utawala wa mfalme mmoja. Waliokubali kwa hiyari ikawa poa, walioleta ubishi ikawa vita.

Mbinu ile ile aliyotumia Karl Peters katika kutengeneza himaya ya Deustche Ost Afrika (Tanganyika + Ruanda-Urundi).

Back to Marekani...

Kwa hiyo kwa kuwapa haki ya kupiga kura na kugombea wazungu wenye ardhi ni chini ya 30% tu ya Wamarekani ndo walikuwa wanaendesha nchi.

50% (wanawake wa kizungu tu) waliruhusiwa kupiga kura na kugombea mwaka 1920 wakati nchi ishaendelea tayari.

Weusi hawakuwa na haki za maana mpaka mwaka 1965 wakati nchi ishapiga hatua kubwa zaidi. Kwenye historia wanasema weusi walikuwa na haki toka 1870 lakini sote tunajua nini kilichokuwa kinaendelea. Ni wanaume wachache sana weuzi na kwenye majimbo machache ambao walikuwa wanamiliki ardhi ndo waliweza kufaidi haki hiyo.

Weusi wengi waliendelea kuteseka chini ya sheria za weusi (Black Codes) ambazo ziliwekwa baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ya kukomesha utumwa wa weusi ili kuendelea kuwakandamiza kwa mujibu wa sheria.

Kwa hiyo utagundua kuwa Marekani demokrasia wanayoisifia sana sasa hivi wameianza juzi juzi tu baada ya kuwa wameshajenga nchi.

Kabla ya hapo walikuwa na qualified democracy. Yaani meritocracy kama wanayotumia China sasa hivi na ambayo inawasaidia sana kupiga hatua kubwa za kiuchumi.

Hata Singapore mapinduzi aliyofanya Lee Kuan Yew aliyafanya akiwa katika utawala wa kidikteta kama wa Nyerere. Hakutaka vyama vingi wakati huo alipokuwa anachukua maamuzi magumu ya kuiweka Singapore katika mstari.

Mfano Singapore haina ardhi. Ukubwa wa Singapore ni nusu ya ukubwa wa mkoa wa Dar es Salaam. Kwa hiyo mipango miji lilikuwa jambo la muhimu sana kulisimamia. Lee Kuan Yew alichoma moto makazi ya watu ambao hawakutaka kuhama kwa hiyari kwenye vijumba vyao ili kuachia maeneo serikali ijenge vizuri na kwa mpangilio.

Demokrasia ya Magharibi ni silaha ya wazungu

Wazungu wanaelewa madhara ya demokrasia kwa nchi ambayo bado haijasimama vizuri kiuchumi. Ndo maana wanailazimisha sana itumike kwenye makoloni yao yote ya zamani.

Demokrasia inatengeneza mwanya kwa mzungu (ambaye ukoloni haujatoka kwenye damu yake) kuwavuruga watu ili achukue rasilimali zao.

Libya alifanya hivyo. aliwarubuni wapinzani kuharibu nchi yao wenyewe.

Hata hapa Tanzania kama Mmarekani akipata ni anamuita Mbowe tu anamvimbisha kichwa na kumuomba alete vijana Marekani au nchi jirani kibaraka wa Marekani wanapigwa brashi ya kijeshi na wanapewa silaha na sapoti ya jeshi la Marekani kupindua serikali.

Unadhani Mbowe atakataa mpango kama huo?

Hiyo ndo faida ya demokrasia kwa mzungu.

Kwetu haina faida. Changamoto ni tupate kiongozi mwenye akili nzuri, mwenye ujasiri wa kusimamia maslahi ya Tanzania na maslahi ya Afrika.

Na muhimu zaidi awe ni kiongozi asiyenunulika au kutishika. Mtu yeyote mwenye mali au akaunti nje ya nchi hafai kuwa Rais au mteule wa Rais au kuwa katika serikali ya Tanzania. Ukishakuwa na mali kwenye nchi za Mzungu huna ujanja. Ni amekushika pumbu, ukimdindia anakamata mali zako.

India inasifiwa kuwa ni Biggest Democracy in the world kutokana na kufuata demokrasia ya Magharibi huku ikiwa na wananchi bilioni 1.3.

Lakini uchumi wa China ni mara 7 ya uchumi wa India. India na China wana population inayokaribiana, ila China ina ardhi kidogo inayofaa kwa kuishi (sehemu kubwa ni jangwa), lakini China imeipikua India kiuchumi.

China ni meritocracy. Wana qualified democrasy ndo maana wameweza kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi kuliko India.

India vyama na kiongozi mkuu anabadilika na kuja ya yake kila baada ya muda fulani. China wana party supremacy na kura za wananchi wote zinapigwa kuchagua viongozi wa ngazi za chini kabisa. Kutoka hapo unapanda vyeo kwa utendaji wako na sio kwa popularity contest ya uchaguzi mkuu.

Tatizo kubwa la demokrasia ya magharibi ambayo sisi hata Tanzania tunaifuata ni kwamba:

1. Kigezo cha kuchagua kiongozi wa nchi ni uwe na miaka 18. Huu ni upuuzi mkubwa. Kuwa na miaka 18 sio kigezo cha kwamba unaelewa issues na unaweza ukafanya maamuzi ya kuchagua viongozi wakuu wa nchi, maamuzi ambayo yanaathiri hatma ya nchi.

2. Kigezo cha kuchaguliwa pia ni umri fulani na uwezo wa kusoma na kuandika tu. Huo nao ni upuuzi mkubwa.
Xi Jinping kabla ya kuwa Rais 2013 amehudumu katika ngazi mbalimbali za chini za chama na serikali kwa muda wa zaidi ya miaka 40
 
Swali zuri.

Hao uliowataja wa Afrika uko sahihi kuwa sio wazalendo. Ni watu ambao wamekosa maono zaidi ya kula bata. akina Nguema wapumbavu sana. Mtoto wa Nguema anapost Instgram kila siku maisha ya anasa anayoishi kwa mauzo ya mafuta ya nchi yake, mpaka wazungu wakakamata baadhi ya mali zake ili utajiri huo urudishwe nchini mwake.

Mifano mizuri ya waliokaa sana lakini walikuwa wazalendo ni Ghaddafi, Kagame na Nyerere. Naamini kwenye sekta ya maendeleo hakuna wa kumpinga kati ya hawa.

Mifano mingine mizuri ni kwenye nchi za Uarabuni zenye wafalme, maamiri na masultani. Kuna muendelezo mkubwa wa maono na mipango ya maendeleo japokuwa wafalme hao wanakula bata lakini kuna kushiba na khivyo kufanya maendeleo kama una uzalendo.

Kuhusu wazungu na wajapani kipindi wanatajirika walitajirika kwa ujambazi wa kutumia silaha. Wazungu walitoka Ulaya na kwenda kuiba ardhi na mali na watu duniani kote kwa mtutu wa bunduki.

Wajapani walifanya vivyo hivyo ukanda wa Asia Mashariki (China, Cambodia, n.k.)

Kipindi wanafanya hayo hawakuwa na demokrasia. Walikuwa na tawala za kidikteta wanazoita "Ufalme"

Marekani ni wazungu wa Ulaya Magharibi. Ni tawi lao na ndo dola kuu iliyoundwa na wazungu wa Ulaya Magharibi so far.

Kwa hiyo Marekani ni muendeleo wa kilichokuwa kinaendelea Ulaya. Suala la "Uhuru wa Marekani kutoka Uingereza" halina maana sana. Waliopata uhuru ni wazungu walewale wa Ulaya Magharibi wakiwa na utajiri ule ule wa Ulaya.

Na wao pia baada ya Uhuru walieendesha nchi kwa miaka mingi kama oligarchy. Yaani siasa ilikuwa mikononi mwa wachache ambao ni wanaume wazungu wanaomiliki ardhi.

Ni mfumo waliorithi kutoka Ulaya kwenye Unyarubanja wa Ulaya (mambo ya Landed Gentry ambao ndo walikuwa wabunge wa House of Lords yaani washirika wa Mfalme katika kuendesha nchi.) Ufalme wa Uingereza ulianzishwa kwa William The Conqueror kupita eneo hadi eneo akifanya mapatano na wamiliki wa ardhi wamuunge mkono kwa kuweka ardhi zao chini ya utawala wa mfalme mmoja. Waliokubali kwa hiyari ikawa poa, walioleta ubishi ikawa vita.

Mbinu ile ile aliyotumia Karl Peters katika kutengeneza himaya ya Deustche Ost Afrika (Tanganyika + Ruanda-Urundi).

Back to Marekani...

Kwa hiyo kwa kuwapa haki ya kupiga kura na kugombea wazungu wenye ardhi ni chini ya 30% tu ya Wamarekani ndo walikuwa wanaendesha nchi.

50% (wanawake wa kizungu tu) waliruhusiwa kupiga kura na kugombea mwaka 1920 wakati nchi ishaendelea tayari.

Weusi hawakuwa na haki za maana mpaka mwaka 1965 wakati nchi ishapiga hatua kubwa zaidi. Kwenye historia wanasema weusi walikuwa na haki toka 1870 lakini sote tunajua nini kilichokuwa kinaendelea. Ni wanaume wachache sana weuzi na kwenye majimbo machache ambao walikuwa wanamiliki ardhi ndo waliweza kufaidi haki hiyo.

Weusi wengi waliendelea kuteseka chini ya sheria za weusi (Black Codes) ambazo ziliwekwa baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ya kukomesha utumwa wa weusi ili kuendelea kuwakandamiza kwa mujibu wa sheria.

Kwa hiyo utagundua kuwa Marekani demokrasia wanayoisifia sana sasa hivi wameianza juzi juzi tu baada ya kuwa wameshajenga nchi.

Kabla ya hapo walikuwa na qualified democracy. Yaani meritocracy kama wanayotumia China sasa hivi na ambayo inawasaidia sana kupiga hatua kubwa za kiuchumi.

Hata Singapore mapinduzi aliyofanya Lee Kuan Yew aliyafanya akiwa katika utawala wa kidikteta kama wa Nyerere. Hakutaka vyama vingi wakati huo alipokuwa anachukua maamuzi magumu ya kuiweka Singapore katika mstari.

Mfano Singapore haina ardhi. Ukubwa wa Singapore ni nusu ya ukubwa wa mkoa wa Dar es Salaam. Kwa hiyo mipango miji lilikuwa jambo la muhimu sana kulisimamia. Lee Kuan Yew alichoma moto makazi ya watu ambao hawakutaka kuhama kwa hiyari kwenye vijumba vyao ili kuachia maeneo serikali ijenge vizuri na kwa mpangilio.

Demokrasia ya Magharibi ni silaha ya wazungu

Wazungu wanaelewa madhara ya demokrasia kwa nchi ambayo bado haijasimama vizuri kiuchumi. Ndo maana wanailazimisha sana itumike kwenye makoloni yao yote ya zamani.

Demokrasia inatengeneza mwanya kwa mzungu (ambaye ukoloni haujatoka kwenye damu yake) kuwavuruga watu ili achukue rasilimali zao.

Libya alifanya hivyo. aliwarubuni wapinzani kuharibu nchi yao wenyewe.

Hata hapa Tanzania kama Mmarekani akipata ni anamuita Mbowe tu anamvimbisha kichwa na kumuomba alete vijana Marekani au nchi jirani kibaraka wa Marekani wanapigwa brashi ya kijeshi na wanapewa silaha na sapoti ya jeshi la Marekani kupindua serikali.

Unadhani Mbowe atakataa mpango kama huo?

Hiyo ndo faida ya demokrasia kwa mzungu.

Kwetu haina faida. Changamoto ni tupate kiongozi mwenye akili nzuri, mwenye ujasiri wa kusimamia maslahi ya Tanzania na maslahi ya Afrika.

Na muhimu zaidi awe ni kiongozi asiyenunulika au kutishika. Mtu yeyote mwenye mali au akaunti nje ya nchi hafai kuwa Rais au mteule wa Rais au kuwa katika serikali ya Tanzania. Ukishakuwa na mali kwenye nchi za Mzungu huna ujanja. Ni amekushika pumbu, ukimdindia anakamata mali zako.

India inasifiwa kuwa ni Biggest Democracy in the world kutokana na kufuata demokrasia ya Magharibi huku ikiwa na wananchi bilioni 1.3.

Lakini uchumi wa China ni mara 7 ya uchumi wa India. India na China wana population inayokaribiana, ila China ina ardhi kidogo inayofaa kwa kuishi (sehemu kubwa ni jangwa), lakini China imeipikua India kiuchumi.

China ni meritocracy. Wana qualified democrasy ndo maana wameweza kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi kuliko India.

India vyama na kiongozi mkuu anabadilika na kuja ya yake kila baada ya muda fulani. China wana party supremacy na kura za wananchi wote zinapigwa kuchagua viongozi wa ngazi za chini kabisa. Kutoka hapo unapanda vyeo kwa utendaji wako na sio kwa popularity contest ya uchaguzi mkuu.

Tatizo kubwa la demokrasia ya magharibi ambayo sisi hata Tanzania tunaifuata ni kwamba:

1. Kigezo cha kuchagua kiongozi wa nchi ni uwe na miaka 18. Huu ni upuuzi mkubwa. Kuwa na miaka 18 sio kigezo cha kwamba unaelewa issues na unaweza ukafanya maamuzi ya kuchagua viongozi wakuu wa nchi, maamuzi ambayo yanaathiri hatma ya nchi.

2. Kigezo cha kuchaguliwa pia ni umri fulani na uwezo wa kusoma na kuandika tu. Huo nao ni upuuzi mkubwa.
China Rais pamoja na politburo [ consists Seven members] yote ile haitokei hovyo hovyo wale watu wanapikwa ndio maana wote ukichunguza miaka yao ni kuanzia miaka 50 kuendelea kwa sababu mpaka ufike pale juu lazima utendaji wako uwe bora na lazima ufaulu mitihani ambayo huwa wanatoa China watu wa hovyo hovyo hawakabidhiwi uongozi wa nchi uongozi sio zawadi Bali ni utendaji wako wa kazi ndio humfanya mtu kupata uongozi na kupanda nafasi.
 
Singapore
Sio kweli.

Lee Kuan Yew alikuwa ni dikteta aliyepiga marufuku vyama vingi.

Na alichoma moto nyumba za waliokuwa wanagoma kuhama ili kupisha mipangomiji yenye tija.


Singapore sio ya kuongelea sana. Ukubwa wake ni nusu ya mkoa wa Dar es Salaam huku ikiwa na bandari ambayo ilikuwa namba moja duniani mpaka mwaka 2014 ilipopukiwa na China. Kwa sasa ni bandari namba mbili kwa umuhimu duniani.

Sasa fikiria bandari ya Dar ingekuwa mapato yake yote yanatumika kuendesha "nchi" yenye ukubwa wa nusu ya Dar.
 
China Rais pamoja na politburo [ consists Seven members] yote ile haitokei hovyo hovyo wale watu wanapikwa ndio maana wote ukichunguza miaka yao ni kuanzia miaka 50 kuendelea kwa sababu mpaka ufike pale juu lazima utendaji wako uwe bora na lazima ufaulu mitihani ambayo huwa wanatoa China watu wa hovyo hovyo hawakabidhiwi uongozi wa nchi uongozi sio zawadi Bali ni utendaji wako wa kazi ndio humfanya mtu kupata uongozi na kupanda nafasi.
Wewe unajua.
 
Ghadafi hakuponzwa na hilo. Bali ni maono yake kuwa tofauti na maslahi ya Magharibi.

Ila ukiwa na kiongozi mmoja mzalendo na mwenye maono sahihi na utekelezaji mzuri nchi inapiga hatua kubwa sana kuliko kubadilibadili maraisi kila baada ya miaka kumi maana kila Rais anaingia na mtazamo wake mpya.

Kunakuwa hakuna muendelezo.

Ncho zote zilizofanikiwa kufanya mapinduzi ya viwanda na kupiga hatua za maendeleo zimefanya hayo nje ya demokrasia.

Demokrasia hii ya Magharibi na mapinduzi ya kiuchumi ni mafuta na maji. Demokrasia ya kiMagharibi ni anasa ya waliokwishatajirika.
Mfano wako ni irrelevant kwa nchi Kama US, UK
 
Kajifunze "power struggle" za kumrithi Joseph Stalin zilizotokea USSR alipofariki mwaka 1953, Wakomunisti hardliners walivyotaka kumpindua Gorbachev 1991.

Soma na Jifunze pia power struggle kubwa iliyozuka wakati wa kumrithi Mao Zedong China na jinsi Deng Xiaoping alivyosaidiwa na baadhi ya "wenye chama" cha CCP kuupata ukuu wa chama na nchi kisha akawapukutisha waliomsadia.

Udikteta na Ukomunisti mifumo ya hovy sana ambayo inaiweka nchi rehani kwa migogoro na machafuko wakati wowote.
Hawa viongozi wa namna hii wanachoshindwa ni kitu kimoja tu ni kuacha mfumo ambao hata yeye asipokuwepo duniani taifa litaendelea hapa ndipo China na Urusi wanashinda hata ikitokea leo Xi Jinping ama Putin wakafa kamwe China au Urusi hazitayumba kwa sababu zinaongozwa na watu wengi Sana nyuma yao ambao hawaonekani kwa kideo
 
Ziangalie hizi nchi na watawala wake waliodumu kwa zaidi ya miongo miwili halafu uniambie walifanya au wamefanya nini cha maana kwenye nchi zao.

LIBYA- Gaddafi- Miaka 42

Gabon- Omar Bongo- Miaka 42

EQUATORIAL GUINEA - Teodoro Obiang - 41

CAMEROON - Paul Biya - Miaka 38

Togo- Gnassingbe Eyadema- Miaka 38

CONGO REPUBLIC - Denis SNguesso - 36

ZIMBABWE- Robert Mugabe- Miaka 36

ANGOLA-Jose Dos Santos- Miaka 37

UGANDA - Yoweri Museveni -Miaka 34

eSWATINI - King Mswati III -Miaka 35

CHAD - Idriss Deby - Miaka 30

ERITREA - Isaias Afwerki - Miaka 28

BURKINAFASO- Blaise Compaore- Miaka 27

RWANDA - Paul Kagame - Miaka 21

DJIBOUTI - Ismail Omar Guelleh -Miaka 22

GAMBIA -Yahya Jammeh- Miaka 23

Hizi ni baadhi tu, ila zimebaki nyingine nyingi kwenye bara hili zenye viongozi waliokaa madarakani zaidi ya miongo miwili wakaondoka wakiziacha nchi maskini wa kutupwa.
Ghadafi hakuponzwa na hilo. Bali ni maono yake kuwa tofauti na maslahi ya Magharibi.

Ila ukiwa na kiongozi mmoja mzalendo na mwenye maono sahihi na utekelezaji mzuri nchi inapiga hatua kubwa sana kuliko kubadilibadili maraisi kila baada ya miaka kumi maana kila Rais anaingia na mtazamo wake mpya.

Kunakuwa hakuna muendelezo.

Ncho zote zilizofanikiwa kufanya mapinduzi ya viwanda na kupiga hatua za maendeleo zimefanya hayo nje ya demokrasia.

Demokrasia hii ya Magharibi na mapinduzi ya kiuchumi ni mafuta na maji. Demokrasia ya kiMagharibi ni anasa ya waliokwishatajirika.
 
Swali zuri.

Hao uliowataja wa Afrika uko sahihi kuwa sio wazalendo. Ni watu ambao wamekosa maono zaidi ya kula bata. akina Nguema wapumbavu sana. Mtoto wa Nguema anapost Instgram kila siku maisha ya anasa anayoishi kwa mauzo ya mafuta ya nchi yake, mpaka wazungu wakakamata baadhi ya mali zake ili utajiri huo urudishwe nchini mwake.

Mifano mizuri ya waliokaa sana lakini walikuwa wazalendo ni Ghaddafi, Kagame na Nyerere. Naamini kwenye sekta ya maendeleo hakuna wa kumpinga kati ya hawa.

Mifano mingine mizuri ni kwenye nchi za Uarabuni zenye wafalme, maamiri na masultani. Kuna muendelezo mkubwa wa maono na mipango ya maendeleo japokuwa wafalme hao wanakula bata lakini kuna kushiba na khivyo kufanya maendeleo kama una uzalendo.

Kuhusu wazungu na wajapani kipindi wanatajirika walitajirika kwa ujambazi wa kutumia silaha. Wazungu walitoka Ulaya na kwenda kuiba ardhi na mali na watu duniani kote kwa mtutu wa bunduki.

Wajapani walifanya vivyo hivyo ukanda wa Asia Mashariki (China, Cambodia, n.k.)

Kipindi wanafanya hayo hawakuwa na demokrasia. Walikuwa na tawala za kidikteta wanazoita "Ufalme"

Marekani ni wazungu wa Ulaya Magharibi. Ni tawi lao na ndo dola kuu iliyoundwa na wazungu wa Ulaya Magharibi so far.

Kwa hiyo Marekani ni muendeleo wa kilichokuwa kinaendelea Ulaya. Suala la "Uhuru wa Marekani kutoka Uingereza" halina maana sana. Waliopata uhuru ni wazungu walewale wa Ulaya Magharibi wakiwa na utajiri ule ule wa Ulaya.

Na wao pia baada ya Uhuru walieendesha nchi kwa miaka mingi kama oligarchy. Yaani siasa ilikuwa mikononi mwa wachache ambao ni wanaume wazungu wanaomiliki ardhi.

Ni mfumo waliorithi kutoka Ulaya kwenye Unyarubanja wa Ulaya (mambo ya Landed Gentry ambao ndo walikuwa wabunge wa House of Lords yaani washirika wa Mfalme katika kuendesha nchi.) Ufalme wa Uingereza ulianzishwa kwa William The Conqueror kupita eneo hadi eneo akifanya mapatano na wamiliki wa ardhi wamuunge mkono kwa kuweka ardhi zao chini ya utawala wa mfalme mmoja. Waliokubali kwa hiyari ikawa poa, walioleta ubishi ikawa vita.

Mbinu ile ile aliyotumia Karl Peters katika kutengeneza himaya ya Deustche Ost Afrika (Tanganyika + Ruanda-Urundi).

Back to Marekani...

Kwa hiyo kwa kuwapa haki ya kupiga kura na kugombea wazungu wenye ardhi ni chini ya 30% tu ya Wamarekani ndo walikuwa wanaendesha nchi.

50% (wanawake wa kizungu tu) waliruhusiwa kupiga kura na kugombea mwaka 1920 wakati nchi ishaendelea tayari.

Weusi hawakuwa na haki za maana mpaka mwaka 1965 wakati nchi ishapiga hatua kubwa zaidi. Kwenye historia wanasema weusi walikuwa na haki toka 1870 lakini sote tunajua nini kilichokuwa kinaendelea. Ni wanaume wachache sana weuzi na kwenye majimbo machache ambao walikuwa wanamiliki ardhi ndo waliweza kufaidi haki hiyo.

Weusi wengi waliendelea kuteseka chini ya sheria za weusi (Black Codes) ambazo ziliwekwa baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ya kukomesha utumwa wa weusi ili kuendelea kuwakandamiza kwa mujibu wa sheria.

Kwa hiyo utagundua kuwa Marekani demokrasia wanayoisifia sana sasa hivi wameianza juzi juzi tu baada ya kuwa wameshajenga nchi.

Kabla ya hapo walikuwa na qualified democracy. Yaani meritocracy kama wanayotumia China sasa hivi na ambayo inawasaidia sana kupiga hatua kubwa za kiuchumi.

Hata Singapore mapinduzi aliyofanya Lee Kuan Yew aliyafanya akiwa katika utawala wa kidikteta kama wa Nyerere. Hakutaka vyama vingi wakati huo alipokuwa anachukua maamuzi magumu ya kuiweka Singapore katika mstari.

Mfano Singapore haina ardhi. Ukubwa wa Singapore ni nusu ya ukubwa wa mkoa wa Dar es Salaam. Kwa hiyo mipango miji lilikuwa jambo la muhimu sana kulisimamia. Lee Kuan Yew alichoma moto makazi ya watu ambao hawakutaka kuhama kwa hiyari kwenye vijumba vyao ili kuachia maeneo serikali ijenge vizuri na kwa mpangilio.

Demokrasia ya Magharibi ni silaha ya wazungu

Wazungu wanaelewa madhara ya demokrasia kwa nchi ambayo bado haijasimama vizuri kiuchumi. Ndo maana wanailazimisha sana itumike kwenye makoloni yao yote ya zamani.

Demokrasia inatengeneza mwanya kwa mzungu (ambaye ukoloni haujatoka kwenye damu yake) kuwavuruga watu ili achukue rasilimali zao.

Libya alifanya hivyo. aliwarubuni wapinzani kuharibu nchi yao wenyewe.

Hata hapa Tanzania kama Mmarekani akipata ni anamuita Mbowe tu anamvimbisha kichwa na kumuomba alete vijana Marekani au nchi jirani kibaraka wa Marekani wanapigwa brashi ya kijeshi na wanapewa silaha na sapoti ya jeshi la Marekani kupindua serikali.

Unadhani Mbowe atakataa mpango kama huo?

Hiyo ndo faida ya demokrasia kwa mzungu.

Kwetu haina faida. Changamoto ni tupate kiongozi mwenye akili nzuri, mwenye ujasiri wa kusimamia maslahi ya Tanzania na maslahi ya Afrika.

Na muhimu zaidi awe ni kiongozi asiyenunulika au kutishika. Mtu yeyote mwenye mali au akaunti nje ya nchi hafai kuwa Rais au mteule wa Rais au kuwa katika serikali ya Tanzania. Ukishakuwa na mali kwenye nchi za Mzungu huna ujanja. Ni amekushika pumbu, ukimdindia anakamata mali zako.

India inasifiwa kuwa ni Biggest Democracy in the world kutokana na kufuata demokrasia ya Magharibi huku ikiwa na wananchi bilioni 1.3.

Lakini uchumi wa China ni mara 7 ya uchumi wa India. India na China wana population inayokaribiana, ila China ina ardhi kidogo inayofaa kwa kuishi (sehemu kubwa ni jangwa), lakini China imeipikua India kiuchumi.

China ni meritocracy. Wana qualified democrasy ndo maana wameweza kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi kuliko India.

India vyama na kiongozi mkuu anabadilika na kuja ya yake kila baada ya muda fulani. China wana party supremacy na kura za wananchi wote zinapigwa kuchagua viongozi wa ngazi za chini kabisa. Kutoka hapo unapanda vyeo kwa utendaji wako na sio kwa popularity contest ya uchaguzi mkuu.

Tatizo kubwa la demokrasia ya magharibi ambayo sisi hata Tanzania tunaifuata ni kwamba:

1. Kigezo cha kuchagua kiongozi wa nchi ni uwe na miaka 18. Huu ni upuuzi mkubwa. Kuwa na miaka 18 sio kigezo cha kwamba unaelewa issues na unaweza ukafanya maamuzi ya kuchagua viongozi wakuu wa nchi, maamuzi ambayo yanaathiri hatma ya nchi.

2. Kigezo cha kuchaguliwa pia ni umri fulani na uwezo wa kusoma na kuandika tu. Huo nao ni upuuzi mkubwa.
Nimekuekewa mwanafalsa, naona una propagate kutawaliwa na mtu ambaye ni dikiteta, au ningesema " dikteta mwema" mwenye maono, kama Mwenyekiti Mao, lakini unajua gharama ambacho wananchi wengi walilipa? Uko tayari kwa hilo? Hebu tupe njia rahisi ya kumpata dikteta wa aina hiyo.....Kwa kura, demokrasia ambayo wewe huitaki,hivyo inabakia ni kutumia nguvu, njia ambayo wewe huitaki.Mawazo au mtazamo wako wa kumpata kiongozo wa ki imla mwenye maono ni vigumu mno katika ulimwengu wa leo ambao binadamu wamefunguka macho, na hawako gizani na tayari wamaisha onja dhana ya uhuru, Huwezi kurudisha gurudumu la kuwatawala watu kimabavu leo, na kusema una maono yako binasfi,huko nyuma iliwezekana. Tusaidie mwanafalsafa jinsi ya kumpata dictator mwenye maono hasa katika nchi za Kiafrika, Nigeria jeshi limejaribu sana kupindua Serikali, na majenerali kuongoza ili wa fix mambo, lakini wakajiona wanazunguka mduara tu! Nchi za kiafrika kwa mtazamo wangu kuanzia miaka ya 60 zilikua na mahali pengi oa kujifunza jinsi ya kuendesha nchi zao, lakini zilishindwa kwa sababu mbalimbali, Nyerere alijaribu akiwa ni benevolent dikteta mwenye maono, lakini hata bila pressure toka nje, modal yake ya kujenga nchi ilishindwa kabisa, aliweza tu kutuunganisha Watanzania, Hivyo modal yako ya kiongozi wa Ki imla naona ni Pata potea, iliwezekana huko nyuma kama nilivyosema, ulimwengu wa leo ni ngumu sana.
 
[emoji1][emoji1] motivational speakers bana.

"To be an enemy of America can be dangerous, but to be a friend is fatal.” — Henry Kissinger
Still simplistic grasp. Kissinger was merely stating a hard fact that’s true of all smart nations. The national interests adage. Nothing motivational about that.

Watch your EAC and it’s intrigues for a lesson.
 
Still simplistic grasp. Kissinger was merely stating a hard fact that’s true of all smart nations. The national interests adage. Nothing motivational about that.

Watch your EAC and it’s intrigues for a lesson.
😄😄 haya tuma salamu kwa watu watatu tafadhali.
 
Ziangalie hizi nchi na watawala wake waliodumu kwa zaidi ya miongo miwili halafu uniambie walifanya au wamefanya nini cha maana kwenye nchi zao.

LIBYA- Gaddafi- Miaka 42

Gabon- Omar Bongo- Miaka 42

EQUATORIAL GUINEA - Teodoro Obiang - 41

CAMEROON - Paul Biya - Miaka 38

Togo- Gnassingbe Eyadema- Miaka 38

CONGO REPUBLIC - Denis SNguesso - 36

ZIMBABWE- Robert Mugabe- Miaka 36

ANGOLA-Jose Dos Santos- Miaka 37

UGANDA - Yoweri Museveni -Miaka 34

eSWATINI - King Mswati III -Miaka 35

CHAD - Idriss Deby - Miaka 30

ERITREA - Isaias Afwerki - Miaka 28

BURKINAFASO- Blaise Compaore- Miaka 27

RWANDA - Paul Kagame - Miaka 21

DJIBOUTI - Ismail Omar Guelleh -Miaka 22

GAMBIA -Yahya Jammeh- Miaka 23

Hizi ni baadhi tu, ila zimebaki nyingine nyingi kwenye bara hili zenye viongozi waliokaa madarakani zaidi ya miongo miwili wakaondoka wakiziacha nchi maskini wa kutupwa.
Naona hujasoma andiko langu lote. Tulia ulisome tena maana nimewaongelea viongozi kadhaa. Ishu sio kukaa madarakani. Ishu ni akili, utendaji, maono na uzalendo.
 
Nimekuekewa mwanafalsa, naona una propagate kutawaliwa na mtu ambaye ni dikiteta, au ningesema " dikteta mwema" mwenye maono, kama Mwenyekiti Mao, lakini unajua gharama ambacho wananchi wengi walilipa? Uko tayari kwa hilo? Hebu tupe njia rahisi ya kumpata dikteta wa aina hiyo.....Kwa kura, demokrasia ambayo wewe huitaki,hivyo inabakia ni kutumia nguvu, njia ambayo wewe huitaki.Mawazo au mtazamo wako wa kumpata kiongozo wa ki imla mwenye maono ni vigumu mno katika ulimwengu wa leo ambao binadamu wamefunguka macho, na hawako gizani na tayari wamaisha onja dhana ya uhuru, Huwezi kurudisha gurudumu la kuwatawala watu kimabavu leo, na kusema una maono yako binasfi,huko nyuma iliwezekana. Tusaidie mwanafalsafa jinsi ya kumpata dictator mwenye maono hasa katika nchi za Kiafrika, Nigeria jeshi limejaribu sana kupindua Serikali, na majenerali kuongoza ili wa fix mambo, lakini wakajiona wanazunguka mduara tu! Nchi za kiafrika kwa mtazamo wangu kuanzia miaka ya 60 zilikua na mahali pengi oa kujifunza jinsi ya kuendesha nchi zao, lakini zilishindwa kwa sababu mbalimbali, Nyerere alijaribu akiwa ni benevolent dikteta mwenye maono, lakini hata bila pressure toka nje, modal yake ya kujenga nchi ilishindwa kabisa, aliweza tu kutuunganisha Watanzania, Hivyo modal yako ya kiongozi wa Ki imla naona ni Pata potea, iliwezekana huko nyuma kama nilivyosema, ulimwengu wa leo ni ngumu sana.
Kanuni ya kumpata hata nikiitoa haitaweza kutumika.

Kwa hiyo ni suala la kusubiri bahati tu siku akipatikana mtu wa aina hiyo afanye mapinduzi.

Dhana za uhuru na demokrasia sio shida. Hakuna anayetaka uhuru usio na mipaka. Na wabishi wabishi wachache huwa hawakosekani, lakini matunda ya uongozi huwa yanatosha kuwanyamazisha.

Mfano Magufuli wapo waliomlalamikia lakini mwisho wa siku matunda ya uongozi wake kwa maslahi mapana ya nchi (badala ya maslahi binafsi ya watu) waliyaona na wakayakubali.

Majenerali sio kwamba ndo wanajua kuongoza. Wengi ni tamaa tu ya kula nchi sio wazalendo.

Mzalendo anakuwa kama Nyerere, yaani kwanza kabisa asiwe na tamaa ya kujitajirisha yeye au kabila lake.

Usiniulize kuhusu kanuni, hili ni suala la kubahatika zaidi kumpata mtu sahihi atakayeweka nchi vizuri. Maana hakuna formula ya kuwa Mkuu wa nchi. Wengi hupiga hesabu za kuupata ukuu wa nchi na huukosa.
 
Kajifunze "power struggle" za kumrithi Joseph Stalin zilizotokea USSR alipofariki mwaka 1953, Wakomunisti hardliners walivyotaka kumpindua Gorbachev 1991.

Soma na Jifunze pia power struggle kubwa iliyozuka wakati wa kumrithi Mao Zedong China na jinsi Deng Xiaoping alivyosaidiwa na baadhi ya "wenye chama" cha CCP kuupata ukuu wa chama na nchi kisha akawapukutisha waliomsadia.

Udikteta na Ukomunisti mifumo ya hovy sana ambayo inaiweka nchi rehani kwa migogoro na machafuko wakati wowote.
Hayo yote uliyosema nimekwisha jifunza na kusoma, mahali popote penye mkusanyiko wa watu tofauti lazima ziwepo na mawazo tofauti pia lakini haimaanishi CPC Hakuna migogoro la hasha migogoro ipo kwenye chama chochote kile dunia ndio maana hata hapa Tanzania migogoro ipo kwenye vyama karibia vyote migogoro ipo iyo upelekea kuzaa makundi ndani ya chama lakini kinachotazamwa ni msimamo wa chama kwa ujumla ni upi CUF migogoro ilikuwepo na kupelekea kuzaa makundi mawili Kati ya lipumba na maalim seif, chadema migogoro ilikuwepo ya kimaslahi na kiuongozi mfano mwaka 2015 wakati chadema wanataka kuweka mgombea wa urais kulikuwepo na mgogoro Kati ya slaa na lowasa mbowe na wenzake wanataka kumuweka lowasa mwishoni kitu hiki kilizaa mgogoro chadema uliopelekea Dr . Slaa kuondoka ndani ya chama lakini Mwisho wa siku chadema wakampitisha lowasa hivyo hivyo CCM kulikuwa na mgogoro na makundi Kati ya timu membe na timu lowasa Mwisho wa siku CCM wakampitisha Magufuli . Alafu CPC kabla ya Mao Zedong ajafariki alimuandaa kwanza Deng Xiaoping aje kuwa mrithi wa uenyekiti wa chama na kuwa Rais wa China lakini wakati wa utekelezaji wa sera ya Cultural revolution Deng Xiaoping na Xi Zhongxun[ baba yake na Xi Jinping , Zhao Ziyang na wengineo ] hili lilikuwa ni kundi la Rightist ndani ya chama Cha CPC lilipinga sera hizo za Mao lakini lilikuwa halina budi kuzitekeleza sera .huku Leftist wakiwa wakina Mao Zedong , Zhuo Enlai , Hua Guofeng, Gang of four na wazee wa chama hawa waliunga mkono sera ya cultural revolution ya Mao kwa hiyo Mao baada ya kuona Deng Xiaoping na kundi lake kupinga sera zake mbalimbali ambazo baadae hazikuzaa matunda tokea kwenye sera yake ya awali ya great leap forward 1950s Deng Xiaoping alipinga pia na hii sera ya miaka ya 1960s ya cultural revolution Mao alimuondoa Deng Xiaoping ndani ya chama na akapelekwa jeshini huku baba yake na Xi Jinping mzee Xi Zhongxun yeye alifungwa kifungo Cha nje kilichopelekea Xi Jinping kutengwa mbali kabisa na familia na wazazi wake na kupelekwa maporini vijijini huko kipindi hicho akiwa na umri mdogo tu lakini Wanachama mbalimbali walimuombea msamaha Deng Xiaoping pamoja na Xi Zhongxun wasamehewe na Mao na warudishwe ndani ya chama lakini Mao awali alikataa . Mao akawa amebadilisha mawazo yake na kumuandaa Zhuo enlai awe mrithi wake lakini bahati mbaya Zhuo enlai alifariki mapema kabla ya Mao. zhuo alifariki mwanzoni mwaka 1976 huku Mao yeye alifariki miezi ya mbeleni kwenye huo huo mwaka 1976 baada ya kufa Mao gurudumu la uongozi wa nchi akachuku Hua Guofeng kwa kipindi Cha mpito wa miaka miwili kitu kilichokuwa kibaya kwa Hua ilikuwa ana zihusudu sera za kiuchumi za Mao ambapo alihimiza utekelezwaji wa sera ya great leap forward kwa namna yake tofauti na Mao Zedong kitu ambacho Rightist hawakupenda kwa sababu sera ya great leap forward ilifeli na kuleta baa la njaa wakati wa utawala wa Mao Zedong . Wakati huo Deng Xiaoping yupo jeshini baada ya Mao kufariki Deng akaomba tena arudishwe chamani ndipo msukumo wa kundi la Deng Xiaoping au Rightists ndani ya chama ukapelekea Deng Xiaoping na wenzake wakina Xi Zhongxun kurudishwa ndani ya chama mwaka 1976 na mwaka 1978 ulipofanyika mkutano wa kumchagua mwenyekiti wa CPC na Rais wa China ndipo Deng Xiaoping alionesha nia ya kutaka kuwa rais wa china huku nyuma akipewa support ya jeshi na Rightist ndani ya chama huku Hua Guofeng akiwa na support ndogo ndani ya chama hasa hasa kundi la Leftist wakiwemo gang of four na wazee wa chama Mwisho Deng Xiaoping akashinda na akawa katibu wa CPC na Rais wa china. akaanza kuwapunguza taratibu leftists ndani ya chama bila kukosana nao Ila gang of four aliwafyeka wote kwa kuwa walifanya mauaji ya watu wengi katika utekelezwaji wa sera ya cultural revolution na akaahidi kufanya political reform ndani ya chama Cha CPC kwa kupunguza madaraka makubwa aliyonayo Mwenyekiti wa chama ndipo akawa anakiboresha chama upya wale waliokuwa mstari wa mbele kupinga sera za kiuchumi za Mao ambazo hazikuwa bora walipata wadhifa wa juu wa chama . Zhao Ziyang alikuwa makamu wa Deng Xiaoping huku Xi Zhongxun alipewa kitengo Cha katibu mwenezi wa chama na akapangiwa kwenda mkoa wa Guadong ilipo shenzhen kufanya economic reform na huyu mzee Xi Zhongxun baba yake na Xi Jinping ndipo akaja na wazo la uanzishwaji wa Special economic zones kwenye costal areas ilikukuza uchumi wa china uliodorora chini ya utawala wa Mao Zedong.
 
Back
Top Bottom