raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Tokea mtt wa malkia amekuja hapo anatoa kauli za kishujaa tu atakuwa amepewa go ahead na wakubwa waliopo nyuma yake...
Just thinking 🤔🤔🤔
Just thinking 🤔🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1] mtu aliyetawala tangu 1994(unofficial) huko aje amuige mtu aliyeanza kutawala 2015 [emoji1][emoji1]. Itakua miujiza.Je nikiondoka leo wengine wataweza?
Kagame anapenda kuigaiga kweli toka kwa kauli za Mtukufu wetu wa 5
Wenye maono tu ndo tunakuelewa hapaUkiona hivyo ujue anakaribia kufa.. Hizo huwa ni dalili za kifo... Akiishi sana ni miaka miwili toka sasa..!
[emoji1][emoji1] Labda mmeanza kumfuatilia Majuzi juzi, hizo ndio hua kauli zake.Tokea mtt wa malkia amekuja hapo anatoa kauli za kishujaa tu atakuwa amepewa go ahead na wakubwa waliopo nyuma yake...
Just thinking [emoji848][emoji848][emoji848]
Lee Kuan Yew Ni mfano mzuri wa usemacho.Ghadafi hakuponzwa na hilo. Bali ni maono yake kuwa tofauti na maslahi ya Magharibi.
Ila ukiwa na kiongozi mmoja mzalendo na mwenye maono sahihi na utekelezaji mzuri nchi inapiga hatua kubwa sana kuliko kubadilibadili maraisi kila baada ya miaka kumi maana kila Rais anaingia na mtazamo wake mpya.
Kunakuwa hakuna muendelezo.
Ncho zote zilizofanikiwa kufanya mapinduzi ya viwanda na kupiga hatua za maendeleo zimefanya hayo nje ya demokrasia.
Demokrasia hii ya Magharibi na mapinduzi ya kiuchumi ni mafuta na maji. Demokrasia ya kiMagharibi ni anasa ya waliokwishatajirika.
Hiyo trip kwend usa ilikuwa kuomba muongozo sio 😀😀😀[emoji1][emoji1] Labda mmeanza kumfuatilia Majuzi juzi, hizo ndio hua kauli zake.
Niliona video yake ya mwaka 1996 akiwa bado kachalii sana akisema Jana Zaire(ikiwa chini ya Mobutu) wameshinda wanarusha makombora Yao ndani ya Rwanda,Hilo Ni kosa kubwa wamefanya na lazima walipie(hapo alikua Ni Waziri wa ulinzi na makamu wa rais).Baada ya hapo akapanda ndege akaenda USA,alivyorudi kilichofuata hapo Ni 1st Congo war(iliyokuja kumuondoa Mobutu).
😄😄 Naona wakubwa walitoa go-ahead aende akachape kazi.Hiyo trip kwend usa ilikuwa kuomba muongozo sio 😀😀😀
Na wanajisifu nchi ziko huru 😀😀😀😀😄😄 Naona wakubwa walitoa go-ahead aende akachape kazi.
Madikteta wote wana hulka zinazofanana[emoji1][emoji1] mtu aliyetawala tangu 1994(unofficial) huko aje amuige mtu aliyeanza kutawala 2015 [emoji1][emoji1]. Itakua miujiza.
2024 HAFIKI.Anguko lake lipo karibu.
Zama mpya zinakaribia Rwanda.
👍👍👍Cheki Hilo Ni gazeti la Washington Post la mwaka 1994 likiripoti.Humo ndani kajamaa kanasema yaani kuivuruga Congo ni kitu kirahisi tu wkt kenyewe ndio kalikua kametoka vitani,uchumi mbovu na Congo yenyewe Ni kubwa Mara 90 ya nchi take na ilikua chini ya mbabe Mobutu.So point yangu ilikua kauli za hivi jamaa anazitoaga miaka yote tu.View attachment 2286272View attachment 2286273View attachment 2286274View attachment 2286275View attachment 2286277
[emoji1][emoji1] mbele ya US hakuna nchi iliyoko huru,tumeona Hilo kwny hii Vita ya ukraine.Nchi zote za NATO+EU+Nyinginezo Kama Japan zimeburuzwa na US na wamefuata kile US wanachotaka.Na wanajisifu nchi ziko huru [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Maendeleo nchi za afrika tusahau
Sisi wanatuonea kwakuwa hatuna uwezo wa kuwafanya chochote[emoji1][emoji1] mbele ya US hakuna nchi iliyoko huru,tumeona Hilo kwny hii Vita ya ukraine.Nchi zote za NATO+EU+Nyinginezo Kama Japan zimeburuzwa na US na wamefuata kile US wanachotaka.
Tofauti ya wenzetu na sisi Ni Kwamba wao wanaburuzwa hivyo hivyo na maendeleo wanayaona Ila Africa tunaburuzwa na maendeleo hakuna.
Nakubali mkuu.Sisi wanatuonea kwakuwa hatuna uwezo wa kuwafanya chochote
KabisaTofauti ya Kagame na ccm Rwanda wanabakisha sura ileile na ccm round hii wamebadilisha jinsia ila hakuna utofauti wa maana wote wameng'ang'ania madarakani
Huko mbali, mwaka huu hatoboi na uhakika2024 HAFIKI.
SUN 10 JULY.