Kagame: Nipo tayari kuendelea kuongoza Rwanda kwa miaka 20 zaidi

Kagame: Nipo tayari kuendelea kuongoza Rwanda kwa miaka 20 zaidi

Nangja tamko la Uingereza na USA wapenda democracy maarufu akisema rasmi atataka gombea tena Urais.
Rais wa Rwanda Paul Kagame, amesema haoni shida yoyote akiendelea kuongoza Rwanda kwa miaka 20 ijayo licha ya kuwa huko nyuma aliwahi kunukuliwa akisema hana mpango wa kugombea katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.

Kagame, 64, ambaye anajiandaa kutete nafasi yake ya Urais, amekuwa Rais kwa miaka 22 amesema hana shida na hilo kwa kuw auchaguzi upo kwa ajili ya watu kuchagua wanayemtaka

Baada ya kushinda kwa 99% katika uchaguzi wa 2017 ambapo alibadili katika kwa kuondoa kipengele cha ukomo wa kugombea Urais

Kauli za kusema kuwa hatagombea tena alizitoa 2017 aliponukuliwa na vyombo vya habari vya Rwanda, Mwaka 2012 alipozungumza na Jarida la World Policy na pia Desemba 2019 alipokuwa katika Kongamano Doha, Qatar


Source: BBC




Paul Kagame to seek fourth term as president of Rwanda

Rwanda's leader, who has been in power for two decades, has said he would consider remaining in office for another 20 years.

Paul Kagame told a French TV channel he would stand for president again at the next election in 2024.

In 2015 he changed the constitution, allowing him to stay until 2034.

In the last presidential election five years ago, official figures showed he won 99% of the vote, which many outside the country dismissed as a sham.

Asked if he would seek re-election, Mr Kagame, who is 64, said: "I would consider running for another 20 years. I have no problem with that. Elections are about people choosing."

Human Rights Watch's Central Africa Director Lewis Mudge told the BBC "what comes as a surprise is that some people are indeed surprised."

"Rwanda is a country where it's very, very dangerous to oppose the government, let alone to be a political opponent... and this authoritarian system is going to be the system for the foreseeable future," he said.

One prominent Rwandan critic has even stronger words.

"If he continues for another 20 years Rwanda will be real hell," Charles Kambanda, a lawyer and university lecturer now based in the US, tells the BBC.

Mr Kambanda says Rwandans already live in a climate of fear, and alleges that more than one minister has told him that they remain in government because they fear being assassinated if they leave.

President Kagame however has fiercely defended Rwanda's record on human rights, most recently at a Commonwealth summit in the capital Kigali in June.

Months earlier, in April, the UK announced controversial plans to send some asylum seekers who reach its shores to Rwanda for processing and potential asylum there instead.

That was condemned by the UN who likened it to "trading commodities", but the British prime minister's office has vowed to press ahead with the policy despite Boris Johnson's departure.

Mr Kagame himself came to power in 1994 after his rebel forces helped end the genocide.

Since then he has positioned himself as a champion of development, but his critics say he maintains a tight grip over what is an authoritarian regime.
 
[emoji1][emoji1] mbele ya US hakuna nchi iliyoko huru,tumeona Hilo kwny hii Vita ya ukraine.Nchi zote za NATO+EU+Nyinginezo Kama Japan zimeburuzwa na US na wamefuata kile US wanachotaka.

Tofauti ya wenzetu na sisi Ni Kwamba wao wanaburuzwa hivyo hivyo na maendeleo wanayaona Ila Africa tunaburuzwa na maendeleo hakuna.
NCHI ZILIZO HURU DUNIANI NI TATU TU NI MAREKANI, URUSI NA CHINA BASI.
 
Warwanda mafala sana aseee hivi hawaoni srilanka huko ..
Afu ndio kila cku humu wanajiita wana akili za kiisrael hahahahh au na Israel wanaongozwa na mtu mmoja????
Hatutofautiani nao sana.

Wao wanataliwa na mtu yuleyule kwa miaka zaidi ya 20 sasa, sisi ni chama kilekile kwa miaka zaidi ya 30.
 
Duh!..mmeshampiga kipapai nini ?
😄😄 moja Kati ya Wataalam wakubwa kabisa wa kipapai Africa nzima Ni wacongo lkn wameshindwa kumloga.Mbele ya risasi na mizinga kipapai hua kinakula Kona.

Kule Ukraine walialika waganga wa kienyeji kumloga Putin lkn mwamba hata mafua tu haumwi.
 
Rais wa Rwanda Paul Kagame, amesema haoni shida yoyote akiendelea kuongoza Rwanda kwa miaka 20 ijayo licha ya kuwa huko nyuma aliwahi kunukuliwa akisema hana mpango wa kugombea katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.

Kagame, 64, ambaye anajiandaa kutete nafasi yake ya Urais, amekuwa Rais kwa miaka 22 amesema hana shida na hilo kwa kuw auchaguzi upo kwa ajili ya watu kuchagua wanayemtaka

Baada ya kushinda kwa 99% katika uchaguzi wa 2017 ambapo alibadili katika kwa kuondoa kipengele cha ukomo wa kugombea Urais

Kauli za kusema kuwa hatagombea tena alizitoa 2017 aliponukuliwa na vyombo vya habari vya Rwanda, Mwaka 2012 alipozungumza na Jarida la World Policy na pia Desemba 2019 alipokuwa katika Kongamano Doha, Qatar


Source: BBC




Paul Kagame to seek fourth term as president of Rwanda

Rwanda's leader, who has been in power for two decades, has said he would consider remaining in office for another 20 years.

Paul Kagame told a French TV channel he would stand for president again at the next election in 2024.

In 2015 he changed the constitution, allowing him to stay until 2034.

In the last presidential election five years ago, official figures showed he won 99% of the vote, which many outside the country dismissed as a sham.

Asked if he would seek re-election, Mr Kagame, who is 64, said: "I would consider running for another 20 years. I have no problem with that. Elections are about people choosing."

Human Rights Watch's Central Africa Director Lewis Mudge told the BBC "what comes as a surprise is that some people are indeed surprised."

"Rwanda is a country where it's very, very dangerous to oppose the government, let alone to be a political opponent... and this authoritarian system is going to be the system for the foreseeable future," he said.

One prominent Rwandan critic has even stronger words.

"If he continues for another 20 years Rwanda will be real hell," Charles Kambanda, a lawyer and university lecturer now based in the US, tells the BBC.

Mr Kambanda says Rwandans already live in a climate of fear, and alleges that more than one minister has told him that they remain in government because they fear being assassinated if they leave.

President Kagame however has fiercely defended Rwanda's record on human rights, most recently at a Commonwealth summit in the capital Kigali in June.

Months earlier, in April, the UK announced controversial plans to send some asylum seekers who reach its shores to Rwanda for processing and potential asylum there instead.

That was condemned by the UN who likened it to "trading commodities", but the British prime minister's office has vowed to press ahead with the policy despite Boris Johnson's departure.

Mr Kagame himself came to power in 1994 after his rebel forces helped end the genocide.

Since then he has positioned himself as a champion of development, but his critics say he maintains a tight grip over what is an authoritarian regime.
Siku akitoka,Madarakani watusi wote lazima wachinjwe
 
Ghadafi hakuponzwa na hilo. Bali ni maono yake kuwa tofauti na maslahi ya Magharibi.

Ila ukiwa na kiongozi mmoja mzalendo na mwenye maono sahihi na utekelezaji mzuri nchi inapiga hatua kubwa sana kuliko kubadilibadili maraisi kila baada ya miaka kumi maana kila Rais anaingia na mtazamo wake mpya.

Kunakuwa hakuna muendelezo.

Ncho zote zilizofanikiwa kufanya mapinduzi ya viwanda na kupiga hatua za maendeleo zimefanya hayo nje ya demokrasia.

Demokrasia hii ya Magharibi na mapinduzi ya kiuchumi ni mafuta na maji. Demokrasia ya kiMagharibi ni anasa ya waliokwishatajirika.

Mwanafalsafa, unasamaje kuhusu hawa viongozi.... Angalia miaka ya utawala kwenye mabano

1. Teodora Nguema- Equatorial Guinea (41)
2.Paul Biya- Cameroon (38)
3.Dennis Sassou- Congo Brazaville (36)
4.Yoweri Museveni - Uganda (34)
5. Idriss Deby - Chad (30)
6. Isais Afwerk - Eritrea (27)

Hawa ni baadhi ya viongozi waliokaa muda mrefu madarakani Afrika, Je ni ukosefu wa Uzalendo, na maono sahihi au kuna mengi zaidi ambayo naona hoja yako haikuzingatia. Labda utafafanulie pia kuhusu mapinduzi ya Viwanda, naamini unafahamu mapinduzi ya viwanda yaliyoubadili ulimwengu kati ya 1760 hadi 1840 yalizaliwa katika mifumo gani ya utawala na Demokrasia huko Ulaya na Marekani, nchi ambazo bado zinaongoza kwa karibu kwa kila kitu, na kama ndio zimeweka standard ambazo wengi tunazitumia kupima maendeleo ya binadamu.
Na bado sijakuelewa kabisa unaposema "Demokrasia ya magharibi ni anasa kwa waliotajirika" Hebu tufafanulie kidogo mwanafalsafa.....
 
Haya ndiyo mambo yaliyomponza Gadhafi kujiona ana akili sana Libya. Kuongoza nchi kuliko wengine.
Ishu ya gadaffi Ni tofauti hapo, gadafi alio goza kwa mafanikio ya juu kila kitu nilikuwa free bse alizuia unyonywaji, Libya ilikuwa Kama pepo, kwanini usitolee mfano Mugabe ,tumia akili
 
Back
Top Bottom