Kagame: Wanaoiba Madini ya Congo ni Afrika Kusini na Wazungu wa Ulaya, sio Rwanda

Kagame: Wanaoiba Madini ya Congo ni Afrika Kusini na Wazungu wa Ulaya, sio Rwanda

Askari unaenda kupigania madini ya Congo ambayo hata huyapati na unafia huko. Askari wengi wanakufa bure tu kwa kutumiwa na watu wenye tamaa zao.

Hapa duniani ukishakuwa na madini au mafuta kamwe hautakuwa na amani. Sio wazungu sio jirani zako kila mmoja anakodolea macho hayo madini
Nchi za Emirates zina mafuta.

Hazina amani?
 
Hio kauli yake anaposema hafahamu kama RDF wapo Congo imetia shaka juu ya yote anayozungumza.
Kama anasema hajui kama kama askari wake wapo DRC ama la, je tuamini anachosema kwamba yeye si mwizi wa mali asili za DRC?
Pia hajuwi kama yeye ni mwizi wa madini ya Congo au la.
 
Back
Top Bottom