Mansakankani mussa
Senior Member
- Feb 13, 2021
- 156
- 196
Ulitaka uyaskie na huko pwani? Hiyo siyo taarabu jomba!Hiyo ya majini hayahusiani na hayo mnayoyafanya huko watu wa bara
Unauaje mzazi wako kisa mali?
Hayo huwezi kusikia pwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka uyaskie na huko pwani? Hiyo siyo taarabu jomba!Hiyo ya majini hayahusiani na hayo mnayoyafanya huko watu wa bara
Unauaje mzazi wako kisa mali?
Hayo huwezi kusikia pwani
Hayapo hayo mambo ndio maana husikii mzeeUlitaka uyaskie na huko pwani? Hiyo siyo taarabu jomba!
Siri ndiyo ngazi ya mafanikio ya mtu yeyote, taifa lolote, ufalme wowote, imara hapa duniani.Kwa hiyo ulikuwa unataka atunze siri
Kwako ni sahihi jamaa kumuuwa mama yakeSiri ndiyo ngazi ya mafanikio ya mtu yeyote, taifa lolote, ufalme wowote, imara hapa duniani.
Ya sirini yabaki nafsini. Maana hakuna jambo sahihi ama kosa, fikra ndizo uamua hivyo.Kwako ni sahihi jamaa kumuuwa mama yake
Kama asingemshirikisha angejulikana alichokifanya kirahisi rahisi, hivyo?Hivyo angefanya bila kumshirikisha?
Kwahiyo angefanya hayo kimya kimya ingekuwa saw! Yaani umeamua kwa dhati ku deflect blame kwa mwanamke. Muwapumzishe wanawake siku mara zote wanahusika kwenye ujinga wenu.Mwanamke unamshirikisha siri, asiitangaze? Hapo ndipo shida zinapo anzia.
Mwanaume bila mwanamke utajiri wa nini? Kwa hiyo unataka kusema mwanaume alijishawishi mwenyewe kutafuta utajiri kwa njia hizo bila kushawishiwa na mkewe? Kikulacho kinguoni mwako.Kwahiyo angefanya hayo kimya kimya ingekuwa saw! Yaani umeamua kwa dhati ku deflect blame kwa mwanamke. Muwapumzishe wanawake siku mara zote wanahusika kwenye ujinga wenu.
Hana sifa ya kua tajiri,ameshindwa kutunza siri..Kwako ni sahihi jamaa kumuuwa mama yake
Mhhh haya!Mwanaume bila mwanamke utajiri wa nini? Kwa hiyo unataka kusema mwanaume alijishawishi mwenyewe kutafta utajiri kwa njia hizo bila kushawishiwa na mkewe? Kikulacho kinguoni mwako.
Maisha yanatupelekesha sio pOa
Hujamwelewa jamaa., yeye hajasema ni sawa kuua mama yake. Ila katoa angalizo kiujumla katika yote mwanamke si msiri hata siku moja.Kwako ni sahihi jamaa kumuuwa mama yake
Ni kweli,Mijitu ya bara hiyo!!
Hayo mambo huwezi kuyasikia kwa sisi watu wa pwani
Shame on you