jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 9,604
- 8,812
Tukisema ndumba na ramli potofu zitumike kuj3nga madaraja, barabara, kuleta mvua, computer, chakula n.k. hamtaki!
Wasukuma twaua wazee wenye macho mekundu, albino, sijuwi wahaya mama zao wanywe damu, nani sijuwi anabaka watoto miaka 2 na mitatu, huyu sijuwi anavaa hirizi, yule sijuwi kavunja nazi na kuuwa paka, basi ni ujinga, upumbafu na ukatili kisa utajiri???!!!!
Tunasikitisha kwa kweli...
Wasukuma twaua wazee wenye macho mekundu, albino, sijuwi wahaya mama zao wanywe damu, nani sijuwi anabaka watoto miaka 2 na mitatu, huyu sijuwi anavaa hirizi, yule sijuwi kavunja nazi na kuuwa paka, basi ni ujinga, upumbafu na ukatili kisa utajiri???!!!!
Tunasikitisha kwa kweli...