Ndio.!Mkuu Kwahiyo mtuhumiwa alipaswa kumuua mama yake kimya kimya bila kumwambia mke?
Hata mi nimeshangaa sanaZamani nilidhani wahaya na wachaga hawatumii ndumba kusaka utajiri!
It's real pain[emoji26][emoji26][emoji22][emoji22][emoji24][emoji24]Huyo mkewe nae ana kesi ya kujibu,baada ya kutaka kushirikishwa katika hayo mauaji alitakiwa kutoa ripoti Polisi ili kunusuru hayo mauaji kabla hayajatokea,
Unamuua Mama yako kisa utajiri? Na huo utajiri angeupata angeutumia na nani wakati tunatambua kua Nani kama Mama,
Mama kakibeba kiumbe miezi 9 tumboni,kisha kikazaliwa,akakilea kwa mateso mpaka kikakua,masikini kumbe hakua anajua analea kiumbe kitakachokuja kuyaondoa maisha yake hapa Duniani!
Tuwe tunawaelimisha watoto wetu toka wakiwa wadogo ili waachane na hizi imani za kipumbavu.
Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Fredius Philibart Kibengo mkazi wa Omurushaka wilayani Karagwe kwa tuhuma za kumuua mama yeke mzazi kwa kumkata shingoni kwa kutumia kitu chenye ncha kali baada ya mganga wa kienyeji kumtaka kupeleka damu ya mama yake au ndugu yake wa karibu ili kutengenezewa dawa za kuongeza utajiri kwenye biashara.
Katika uchunguzi uliofanywa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera umebaini kuwa katika kipindi cha siku chache kabla ya tukio hilo kutokea mtuhumiwa alisafiri kuelekea nchini Burundi kutafuta dawa za kuongeza utajiri na aliporejea nyumbani kwake alimshirikisha mkewe kuhusu mashariti aliyopewa na waganga wa kienyeji lakini mke wake hakukubaliana na masharti hayo.
Hata hivyo Februari 17 mwaka huu mtuhumiwa alionekana maeneo ya nyumbani kwa mama yake mzazi na ilipofika usiku wa kuamkia Februari 18 alimvamia mama yake na kumkata na kitu chenye ncha kali kisha kupoteza maisha.
Hata hivyo kamanda Malimi amewataka wakazi wa mkoa wa Kagera kujiepusha na imani za kishirikina ambazo zimekuwa zikichangia mauaji ya wananchi wasio na hatia.
ITV
Tulishauri itengenezwe database kwaajili ya kupima akili za watanzania wote (kuanzia viongozi mpaka raia wa mwisho) ili iwe rahisi kuepusha matukio ya namna hii lakini wazo halikutiliwa maananimtuhumiwa alisafiri kuelekea nchini Burundi kutafuta dawa za kuongeza utajiri na aliporejea nyumbani kwake alimshirikisha mkewe kuhusu mashariti aliyopewa na waganga wa kienyeji lakini mke wake hakukubaliana na masharti hayo.
Hata hivyo Februari 17 mwaka huu mtuhumiwa alionekana maeneo ya nyumbani kwa mama yake mzazi na ilipofika usiku wa kuamkia Februari 18 alimvamia mama yake na kumkata na kitu chenye ncha kali kisha kupoteza maisha.
Kama asingemshirikisha angejulikana alichokifanya kirahisi rahisi, hivyo?
huki hawaui sheikh.... utakuta tu mtu anaishi na jini lake ndani ila huwez kusikia kamuua ndugu/mama kisa utajiri hayo mambo mnayo nyie huko nyikaniPwani hadi Zanzibar huko si ndo mto katoka falme za kiarabu kuja kununua jini na kitita cha sh milioni 150? Unadhani huyo jini anakunywa mbege?
Hii ni Siri au ushenzi mtupuMwanamke unamshirikisha siri, asiitangaze? Hapo ndipo shida zinapo anzia.
Kwani we hutumiZamani nilidhani wahaya na wachaga hawatumii ndumba kusaka utajiri!
Mnyalu na ndumba wapi na wapi bwashee?!Kwani we hutumi
Ova