Kagera: Amuua Mama yake mzazi baada ya Mganga kumwambia apeleke damu ili kuongeza utajiri

Tukisema ndumba na ramli potofu zitumike kuj3nga madaraja, barabara, kuleta mvua, computer, chakula n.k. hamtaki!
Wasukuma twaua wazee wenye macho mekundu, albino, sijuwi wahaya mama zao wanywe damu, nani sijuwi anabaka watoto miaka 2 na mitatu, huyu sijuwi anavaa hirizi, yule sijuwi kavunja nazi na kuuwa paka, basi ni ujinga, upumbafu na ukatili kisa utajiri???!!!!
Tunasikitisha kwa kweli...
 
It's real pain[emoji26][emoji26][emoji22][emoji22][emoji24][emoji24]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Huo utajiri inaonrkana ulikuwa unahitajika haraka sana ndio maana jamaa limeshindwa hata kufuata ushauri wa mke wake
 

1 Timotheo 6:10 BHN​

"Kwa maana kupenda sana fedha ni chanzo cha uovu wote. Watu wengine wametamani sana kupata fedha hata wakatangatanga mbali na imani, na wameivunja mioyo yao kwa huzuni nyingi"
 
...
Tulishauri itengenezwe database kwaajili ya kupima akili za watanzania wote (kuanzia viongozi mpaka raia wa mwisho) ili iwe rahisi kuepusha matukio ya namna hii lakini wazo halikutiliwa maanani
 
Pwani hadi Zanzibar huko si ndo mto katoka falme za kiarabu kuja kununua jini na kitita cha sh milioni 150? Unadhani huyo jini anakunywa mbege?
huki hawaui sheikh.... utakuta tu mtu anaishi na jini lake ndani ila huwez kusikia kamuua ndugu/mama kisa utajiri hayo mambo mnayo nyie huko nyikani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…