Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Sina cha kupinga Ila Nina cha kurekebisha
Wahaya wamejenga mikoa Mingine , na si kwamba akina tibaijuka wakiisha basi wasomi ndo wameisha,

Kwa Tathmin ya haraka Kagera Ina zaidi ya wahaya wanaofanya kazi kimataifa wa umri wa 25-40 zaidi ya 100

Ina wanaosoma nje kwa elimu ya Juu zaidi ya wahaya 1500!

Zipo takwimu na makundi Yao


Britanicca
 
Lakini Hadi mheshimiwa chalamila akiwa RC kule aliwahi wachana hii tabia yao ya kupigana spana Hadi kidelay miradi ya maendeleo
 
UKABILA, MAJUNGU, FITNA, UBINAFSI NA CHUKI. Kukuta ofisini watu wanaongea kihaya tu ni kawaida sana.
 
Lakini Hadi mheshimiwa chalamila akiwa RC kule aliwahi wachana hii tabia yao ya kupigana spana Hadi kidelay miradi ya maendeleo
Siyo chalamila tu . Hadi uncle magu alikuwa hawapendi sana hawa jamaa maana walimbagua enzi hizo
 
Yaani hadi takwimu za maendeleo za kitaifa zinauweka mkoa wa Kagera kuwa wa mwisho mwisho, lakini bado wahaya wanabisha mbaya!
Sijui walitaka nani mwingine awaambie?
Mi sio muhaya, takwimu ya mwaka gani? 2018 walikuwa ndani ya top 15.
 
Tatizo kwetu Watz tunapenda sana kukremisha bila kuchambua, mfano : mhaya ni mjuaji na mkabila, mchaga ni mwizi; we are so much addictif to « hear say » than facts! Shame on us!
Wapi hakuna tabia hizo? Mi sio mhaya.

Point yangu ni kuwa zaidi ya asilimia 80 ya watanzania ni watu wa hovyo sana, 15 ni waungwana kwa maana ya tabia tu ila ni wapumbavu. 5% ndio watu smart.

Kwa maana nyingine ukiwa sehemu wameitwa watu mbalimbali ila mchujo, wakiwa 100, jua kuna watu wa hovyo 80. Sema tu ukimya wao na hawako violence inaezakukufanya ujione kama uko na watu wazuri. Na katika hao asilimia 80 ya watu wa hovyo wanaume ni asilimia 70.

Kwa maana nyingine kama mwanaume unataka ku survive sehemu random jenga mahusiano ya kuaminika (sio kimapenzi) na wanawake, hao wanakuwa kama wapelelezi wako.
 
Tatizo ni hapo kwenye kutumia fursa.

Uncle wangu alifanikiwa kupata eneo mjini na kufungua Lodge, akaanza kutafuta Wadada wa Kihaya ili kumsaidia kwenye kutoa huduma kwa Wateja....Wale mabinti wakawa wanakatazwa na Wazazi wao kufanya kazi pale kwa sababu ni Lodge ya Mtu wa kuja so walikuwa wanafanya kazi wiki kadhaa wanaondoka...mpaka Mjomba baadae alishindwa kuendesha lodge lakini hatimaye akaagiza mabinti kutoka Dsm, Singida n.k
Iwe?
 
Ahaah
Kitu umefanikiwa katika huu uzi ni kuonesha kuwafahamu vema watanzania ambao ndio walengwa wako. Kwamba ukipangilia maneno yako vizuri wanakubaliana na wewe hata pasipo ushahidi wa kutosha wa kutetea hoja zako.

Sasa ndugu nikuulize, huko Bukoba hakuna jema?

Ni mkoa gani hakuna ubaya?

Yaani mkoa upi una wema tu na hauna ubaya wowote, bali ubaya ulijikusanya ukashamiri mkoa wa Kagera tu!!?

Suala la kujengeka mji wa Bukoba, uliambiwa ni wahaya tu ndio maafisa katika ofisi zote za manispaa ya Bukoba?! Kwamba maamuzi ya kiutendaji ambayo yanapaswa kuubadili mji ni ya wahaya tu? Hakuna makabila mengine kwenye ofisi hizo za manispaa au mkoani?

Je ni mji gani haswaa umejengeka katika nchi hii? Kwa akili yako Dar imejengeka? Yaani akija mgeni kutoka nje kisha akarudi kwao ataseme Dar ni jiji la kisasa? Huoni kwamba ndiyo sasa miundo mbinu yake haswa barabara ndio zinaboreshwa? Kama Dar mji wenye hadhi ya kitaifa uko hivyo sembuse Bukoba!?

Hujui kuwa mji mpya ni rahisi kujengeka kirahisi na kwa mpangilio mzuri kuliko miji mikongwe?! Kulinganisha Bukoba na miji inayochipukia ni kutokuelewa mambo.

Hivi ni kwa nini watu wanawapinga wahaya kuzungumza kihaya, si ni lugha yao!! Na kwa nini wewe huzingumzi lugha yako!? Unaionea aibu kisha unawaponda wanaojivunia lugha yao ya asili? Kweli!?

Kwa nini wageni wakija Tanzania wanakuta tunajivunia kiswahili? Je mzungu au mchina akikuta tunazungumza kiswahili mahali fulani huwa tunaendelea kutumia lugha yetu hii au inatubidi kubadili na kuzungumza kiingereza ili tuendane nao hata kama tunayoyazungumza hayawahusu...!! Why kihaya tu ndio kinawakera!?

Maswali ni mengi kuliko majibu! Why always wahaya...?

Mlaturugao norunwanwa...!
Nmecheka kama mazurii
Hiyo statemebt ya misho....
 
Back
Top Bottom