Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Lugha huwa ni moja tu Kiswahili! huo muda wa kujua lugha ya wahaya unaupata wapi? Wenyewe wameshindwa kukua kiuchumi sembuse wewe kujua lugha
Mbona wazungu wanaupata muda wa kujifunza , miezi 6 tu inatosha kujua lugha yoyote ile duniani.Kwanini iwe kiswahili tu? Toa sababu kama 5, tena hata sign board za barabarani ilitakiwa ziwe za lugha yao iwapo wanaona wanazielewa zaidi. Kwani kuna ubaya gani nikajua lugha zote kadri nitakavyojaliwa, toa sababu za maana weka chuki pembeni.Nikiwa mjini hasa Dar nikakuta jamaa wanabonga Kinyakyusa chao au kichaga au kipogoro nk bila kuona aibu kama wewe natamani sana nami kujua. Lakini hapo ulipo hauna hata wazo la kuwachukia wahindi, ukienda dukani kwao kununua kitu kabla haujajibiwa bei lazima abonge kihindi na mwenzake au lazima apige simu kwa kihindi ndipo atakwambia bei, je unaonaje hapo? Sasa wewe uliambiwa bei ya mahindi kwa kihaya unakuja kuandika gazeti, je ungeenda kwenye mkutano mwanzo mwisho ni lugha yao tu.
 
Kitu umefanikiwa katika huu uzi ni kuonesha kuwafahamu vema watanzania ambao ndio walengwa wako. Kwamba ukipangilia maneno yako vizuri wanakubaliana na wewe hata pasipo ushahidi wa kutosha wa kutetea hoja zako.

Sasa ndugu nikuulize, huko Bukoba hakuna jema?

Ni mkoa gani hakuna ubaya?

Yaani mkoa upi una wema tu na hauna ubaya wowote, bali ubaya ulijikusanya ukashamiri mkoa wa Kagera tu!!?

Suala la kujengeka mji wa Bukoba, uliambiwa ni wahaya tu ndio maafisa katika ofisi zote za manispaa ya Bukoba?! Kwamba maamuzi ya kiutendaji ambayo yanapaswa kuubadili mji ni ya wahaya tu? Hakuna makabila mengine kwenye ofisi hizo za manispaa au mkoani?

Je ni mji gani haswaa umejengeka katika nchi hii? Kwa akili yako Dar imejengeka? Yaani akija mgeni kutoka nje kisha akarudi kwao ataseme Dar ni jiji la kisasa? Huoni kwamba ndiyo sasa miundo mbinu yake haswa barabara ndio zinaboreshwa? Kama Dar mji wenye hadhi ya kitaifa uko hivyo sembuse Bukoba!?

Hujui kuwa mji mpya ni rahisi kujengeka kirahisi na kwa mpangilio mzuri kuliko miji mikongwe?! Kulinganisha Bukoba na miji inayochipukia ni kutokuelewa mambo.

Hivi ni kwa nini watu wanawapinga wahaya kuzungumza kihaya, si ni lugha yao!! Na kwa nini wewe huzingumzi lugha yako!? Unaionea aibu kisha unawaponda wanaojivunia lugha yao ya asili? Kweli!?

Kwa nini wageni wakija Tanzania wanakuta tunajivunia kiswahili? Je mzungu au mchina akikuta tunazungumza kiswahili mahali fulani huwa tunaendelea kutumia lugha yetu hii au inatubidi kubadili na kuzungumza kiingereza ili tuendane nao hata kama tunayoyazungumza hayawahusu...!! Why kihaya tu ndio kinawakera!?

Maswali ni mengi kuliko majibu! Why always wahaya...?

Mlaturugao norunwanwa...!
Jamaa jinga sana yule ndio maana nimemwambia hata sign board za barabara zinatakiwa ziwe kwa lugha ya kihaya iwapo wataona linawafaa zaidi, mbona china, korea, japan wako hivyo.
 
Hao wahaya unaowasema vibaya, wanapatana vzr na wachaga!akili kubwa, wengi went, mnaoshindwa kuishi na wahaya, ni inferiority complex inawasumbua,mnaenda kagera mkiwa na pre conceived ideas and prejudice zenu!
Muhaya analinga, awe muuza mahindi ya kuchoma, bodaboda, au tajiri,ndio asili Yao, ulitaka wawe mazwazwa ksma watu wa kusini!?
Kuhusu majungu, ni hulka ya kibinadsmu,
Muhaya, Mnyarwanda, mgsnda, mrundi, wana share vitu kibao, Koo, majina,na histolia za kibabe za kutaka kuitwala east Afrika, wa Masai wapo bongo na Kenya, lakini wa bongo wala haiwapi shida kuwa na waziri mkuu mmasai, hivyo hivyo kwa waluo,
Lakini ngoja, itokee kuna mwanafunzi chuo kikuu,ana jina kama la Rwanda, na muonekano(watu wa ngara, karagwe ni kama wanyankore wa Uganda, au Watusi), yatazuka maneno, aah hswa ni maspy wa Kagame! Upuuzi furani tu wa kijinga,
Katika mikoa 26 ya TZ mtu katika mikoa miwili tu kaishi miezi! Anakuambia wenyeji wa mkoa ule washenzi Sana!
Tembea, Namanga mpaka mtambaswala Lindi, nanyumbu, fika tunduru, liwale,kalumwa kahama, mrongo border kagera! Chandama, mrijo juu Kondoa Dom! Ndio ulete msneno
MLeta mada kaongelea mkoa wa kagera, hajaongelea hiyo mikoa mingine. Ungetulia ukasoma ukaelewa, kisha ukachangia.

Mimi nimekaa Bukoba, nimefanya kazi Bukoba, nakubaliana na mleta mada kwa 500% ya aliyoyasema.

Ungeichukua kama ni changamoto, ili kurekebisha mabaya yawe mazuri au kupunguza ubaya kwa kiasi fulani.

Kila la kheri.
 
MLeta mada kaongelea mkoa wa kagera, hajaongelea hiyo mikoa mingine. Ungetulia ukasoma ukaelewa, kisha ukachangia.

Mimi nimekaa Bukoba, nimefanya kazi Bukoba, nakubaliana na mleta mada kwa 500% ya aliyoyasema.

Ungeichukua kama ni changamoto, ili kurekebisha mabaya yawe mazuri au kupunguza ubaya kwa kiasi fulani.

Kila la kheri.
Ninachokiona wenye kwao hawataki kujifunza, kwao ni sawa tu yanayoendelea pale.... Muda utafika wataelewa ila itakua too late.
 
Ninachokiona wenye kwao hawataki kujifunza, kwao ni sawa tu yanayoendelea pale.... Muda utafika wataelewa ila itakua too late.
Hapo ndo shida inapaonzia . Haiwezekani comments 1000 zinakusema vibaya afu MTU bado umeshupaza shingo. Ndo maana tukasema ubishi huu ndiyo umepelekea wawe na stand ya vumbi Hadi leo
 
Sehemu yoyote ambayo ukabila umetamalaki, kuwa na naendeleo ni nadra sana. Miji inajengwa na wageni/investors ambao huleta mitaji yao sehemu husika.
Hawa ndugu zetu damu yao ya ukabila ipo level ya juu sana. Kwa hali ilivyo
Huo mkoa una safari ndefu sana kimaendeleo.
Kuna ndugu yangu alipata ajira serikalini bukoba. Ilibidi aombe uhamisho.
 
Sehemu yoyote ambayo ukabila umetamalaki, kuwa na naendeleo ni nadra sana
Hii ni shida moja lakini shida kubwa zaidi ni hiyo denial state waliyonayo hao wahusika wa huko (wahaya kindakindaki) kuanza kujiunda makundi kupinga hizo facts wanazopewa na wadau hapa.
 
Nlikuwa Nina miaka tisa nilipopelekwa Bukoba kutoka Dodoma, baada ya kufika nikapelekwa shule ya msingi Moja hivi, guys living in Bukoba ilipelekea nikawa traumatized. Watoto shule walikuwa wananisema kwamba Mimi najidai Kwa sababu najifanya najua kiswahili. Every kid at school alinichukia bila sababu. Kwenye Ile shule Mimi ndo nilikuwa nimetokea mikoa mingine wengine walikuwa wazawa wa pale. I was bullied, na hata nyumbani watoto walinimanipulate. Waliniambia ninaringa. Kuishi kule kulinirudisha nyuma kiakili.

Hadi Leo najaribu kuirudisha confidence yangu iliyopotea but kule Bukoba ni Kwa kishetani naweza kusema. Hata watu wa kule hawana akili kwanza.

Nina ndugu kule they sound stupid, ni ngumu kufanya nao kitu kikaenda vizuri.

Sitokaa niende Kwa namna yeyote Ile. Kule ni Kwa mashetani. Ni mashetani ndo yanaishi Bukoba. Wanajionaga wenyewe ndiyo watu alafu wengine siyo watu. Wako depressed and wako toxic. Si watu wa kukaa nao karibu kabisa.

Kamji kao kale hakaendelei , mipango miji wamelala Kwa kweli. Mji unarudi nyuma badala ya kusogea mbele. Wanaishi in 1980's. Wakati mikoa mingine ipo 2025. Hawanukii watu wa kule , wananukia nyanyachungu tu. They are the weirdest people I have ever seen. Hawana Nuru. Magufuli aliutelekeza ule mji.
samehe baba,Naona una machungu mengi samehe tumejifinza asee
 
ukifika kule wenyewe wanachapa kihaya tu hawajali kama wewe ni mgeni wao yamkini utajisikia vibaya.Wahaya shemeji zangu ila kwajinsi mlivyo na mambo ya hovyo nimechukia wahaya wote hadi dada yenu,sitokubali wanangu warithi ukabila,tabia za hovyo..n.k😂

Watu gani nyie kuvunja undugu kwenu ni jambo la kawaida tu.🙌
Kwa east Afrika, Wa bongo wanawaogopa wa Kenya, Kwa Afrika, Wa Kenya wanawaogopa wanaigeria! If you want to kill a dog, give it a bad name!
Kama kichwa panzi, ukioa muhaya, atakuendesha mpaka ufe!
Wahaya wanawezana na wachaga, na wazungu! (Anglo Saxon) akili kubwa! Muhaya LA Saba! Ana akili Ina chaji kuliko msukuma mwenye PHD!
 
Hii ni shida moja lakini shida kubwa zaidi ni hiyo denial state waliyonayo hao wahusika wa huko (wahaya kindakindaki) kuanza kujiunda makundi kupinga hizo facts wanazopewa na wadau hapa.
Kenya kuna ukabila, na inaongoza kwa uchumi m kubwa EA, bajeti ya Kenya, inalisha TZ, UG, Rwanda, Burundi, Congo, na South Sudan!
Unataka kusema Dar, imeendelea kwa vile wenyeji sio wakabila!?
Kuna watu waanssema ohh kagera stend mbovu, usomi mwingi wanashindwa kujenga stend! Nikuulize stend ya msamvu Moro, imejengwa na wenyeji Moro!? Au mipango ya tamisemi kitaifa?! Ulitaka ijemgwe Kigoma, Rukwa?
Maldini mengi yanatoka Kanda ya ziwa, umewahi kufika kakola, ulipo mgodi m kubwa Wa dhahabu!? Bulyankuru, uone kaya za karibu zilivyotopea kwenye ufukara? Unsfikri fedha ya madini inabaki kahama! Inakuja Dar kujenga flyovers! Maendeleo ya kila mkoa, yanapangwa na, serrikali kuu, ndio yenye mapato!TRA ikikusanya kila mkoa, yanapelekwa hazina!
Umewahi, kufika ugweno, upaleni kwa Cleopa msuya? Unafikri zile rami kule milimami zilijengwa na wanachi kwa kulima? Wanasiasa wao walipokuwa madarakani walishinikiza pesa zijenge huko, wakati sio kipaumbele,
Rejea,Baada ya Mpango kuwa makamu, kijiji chake ikapelekwa tingatinga lichonge barabara! Why kwa vile kuna m kubwa anatoka kule,
Sawa, hatuna stend nzuri, Ila tunaongoza kwa wasomi wengi waliotapakaa kila Kona duniani, Nenda Kairuki hospital pale, uone vitu,kemebos shule,
Usisahau Kardinal Wa kwanza Afrika, alikuwa Muhaya, nyie mnaowasema wahaya mna nini! Ancestors wenu wameacha regacy IPI.
Umaskini na Hari ya maisha ilivyo kagera, IPO mikoa mingi tu, Kuanzia songwe,Shinyanga, Tabora, kule isakamaliwa, isagenhe, imalaseko, Nanyumbu, masuguru, Tunduru mpaka liwale, tupo sawa tu
 
Hlf jamaa wanajifanya ma-much know hao. kuna mmoja alikuwa ticha wetu sasa bana daah robo tatu ya muda wa kufundisha yey anautumia kujisifu kwanza yeye mwenyewe na familia yake🤣jamaa kubaff sana hawa
 
Kuna mmoja kaoa sister wangu...kuna kipindi alipitia magumu, sister katuambia tukamwambia tutapigana arudi mstarini...bin vuu mdogo wangu kampa connection ya kampuni ya ngozi nyeupe na hati ya kusafiria nilimhangaikia mimi ndani ya wiki tu maana nina marafiki pale. Sisi tukawaeleza mambo safi kwa shem sasa, jamaa ana kiburi ila tulihangaika sababu dada yetu, imepita miezi kimyaaa tunakuja sikia anawaambia ndugu zake kajipambania mwenywe kila tu mpaka alipo sasa 😂😂😂. Sister nae aliambiwa na wifi yake same thing mpaka akatuambia wadogo zangu huyo ndivyo alivyo so nashukuru mmenipigania
Sister alikuja dar ndo yeye anapiga simu eti "hamjaaambo hukoo" na zile sauti zao kama wana nyanya chungu mdomoni 😂😂😂😂
 
Hapo ndo shida inapaonzia . Haiwezekani comments 1000 zinakusema vibaya afu MTU bado umeshupaza shingo. Ndo maana tukasema ubishi huu ndiyo umepelekea wawe na stand ya vumbi Hadi leo
Kabisaa.....
Hii ni shida moja lakini shida kubwa zaidi ni hiyo denial state waliyonayo hao wahusika wa huko (wahaya kindakindaki) kuanza kujiunda makundi kupinga hizo facts wanazopewa na wadau hapa.
Ukichunguza vizuri Baadhi ya tabia zao wamezidisplay hapahapa
 
Back
Top Bottom