Unaona unavyodhihirisha kwamba hao wahaya siyo level zenu na ndiyo sababu umesema washindani wao ni wachaga. Sasa wewe maamuma usiyefahamika kwenu ni wapi unaanza kujilinganisha nao. Utakuwa mshindani na kujilinganisha na mtu asiye mbele wala nyuma? Mmekosa hoja mnabaki kueneza chuki za ukabila kama ilivyo kwenuWashindani wakuu wa maendeleo ya Wahaya na mkoa wa Kagera ni wachaga na mkoa wa Kilimanjaro, sasa kwa namna wachaga wameendelea kuwa mbele mnoo kimaendeleo. Kuanzia Elimu bora, Kipato, Maisha bora na huduma bora za kijamii wachaga na mkoa wao wa Kilimanjaro vimekuwa mfano wa kuigwa halafu wahaya na Kagera yao wamedumaa unabaki kujiuliza shida iko wapi?
Kutaja kwako wahaya na wachaga tayari umedhihirisha kwamba hao watu si wa level zenu. Kabila lako lina nini cha kujifunza zaidi ya kufunga misuli na kuanika pum.....bu nje