Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute hata Shemeji Alex nae alikula mzigo.MAREHEMU ALIKUWA MTAMU SANA LAKINI ALIKUWA MZINZI BALAAA
Derick mzigo hajala halafu anaenda kushushiwa Mvua ya miaka jela, ambapo ni either Nyeto au Akapate basha uko uzembe mkubwa
Hilda ametishaIla hata kama marehemu hua hasemwi lakin Hilda kazid bana. Yaan siku hiyo hiyo unapigwa saundi na kumegwa siku hiyo hiyo
Ila kusema kweli nyege nomaHilda ametisha
..lakini huenda alikua ana shida ya akili au stress....yaan kugingwa ndani ya nyumba ya mcheps Tena ni mgen humjui vzr?lol...dada zake tutalijadili hili tuone amekwama wapi[emoji1732][emoji126]
Kutana na Helda mwanamke wa kwanza kuwa na michepuko miwili ndani ya muda mfupi katika karne ya uchumi wa kati mwaka 1820
Hilda hakuwa na genye(maybe) ..ni "critocurrency thingy" ...ukiwa unanyonyesha hamu za kubutuliwa hazipogi...sijui lakini!
Siamini, yaani kweli unamuombea RIP? Mbona tunadanganyana katika hili? Kuna rafiki yangu ambaye katika hali kama hii huwa anawasikitikia sana wahusika kama hawa na kuwatakia RIH aka Roast in Hell!Helda toto la kihaya R.I.P
Usikute Alex aliyemsindikiza nyumban naye alikula mzigo, jamaa akaona isiwe tabu demu si kalewa ngoja nipige fasta fasta sema jamaa ndo akawahi jumba bovu likamwangukia yy, hatari
[emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ni kweli mkuu. Alex alijiria vitu akasepa
DuhhhUsikute Alex aliyemsindikiza nyumban naye alikula mzigo, jamaa akaona isiwe tabu demu si kalewa ngoja nipige fasta fasta sema jamaa ndo akawahi jumba bovu likamwangukia yy, hatari
Inawezekana alikua na matatizo ya akili au ni pombe.Marehemu alikuwa na pepo la ngono aisee.
Atakuwa ana huzuni wa mtoto tuMwenye mke na mtoto anasemaje? [emoji16] ila helda katisha sana. Huyu derick nae si angewatimua tu.
Inaonekana huyu Helda muuzaji mzuri tu