Kagera: Mchepuko aua Mchepuko kwa wivu wa mapenzi

Alafu usikute wote wamepiga kavu aisee dunia hii kakitu kenyewe hata sura hakana
 
Reactions: BRB
Pombe ikizidi haifai kwa stara ya mwanamke
 
Ila hata kama marehemu hua hasemwi lakin Hilda kazid bana. Yaan siku hiyo hiyo unapigwa saundi na kumegwa siku hiyo hiyo
Hilda ametisha
..lakini huenda alikua ana shida ya akili au stress....yaan kugingwa ndani ya nyumba ya mcheps Tena ni mgen humjui vzr?lol...dada zake tutalijadili hili tuone amekwama wapi🤸💃
 
Helda toto la kihaya R.I.P
Siamini, yaani kweli unamuombea RIP? Mbona tunadanganyana katika hili? Kuna rafiki yangu ambaye katika hali kama hii huwa anawasikitikia sana wahusika kama hawa na kuwatakia RIH aka Roast in Hell!
 
Usikute Alex aliyemsindikiza nyumban naye alikula mzigo, jamaa akaona isiwe tabu demu si kalewa ngoja nipige fasta fasta sema jamaa ndo akawahi jumba bovu likamwangukia yy, hatari

Ni kweli mkuu. Alex alijiria vitu akasepa
 
Ni uzembe wa kiwango cha Phd kijana wa miaka 26 kufungwa maisha shauri ya papuchii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…