Kagera: Mchepuko aua Mchepuko kwa wivu wa mapenzi

Dah hii ni kali kuliko....Hilda anaroho nzuri sana,ameondoka kama alivyokuwa wanaishi huzuni.
 
Hizi pombe ukichanganya na Tabia zako mbaya mbaya unapotea kabisa.

Imagine , umepelekwa ugenini na mchepuko, na hujui lolote kuhusu hiyo nyumba ya huyo mchepuko alaf unapata ujasiri wa kuleta mchepuko wako mwingine.

Hata Alex nadhan alipita sema yeye alifanya haraka haraka.

Bidada alitaka kuwakojolesha wanaume watatu usiku mmoja.
Mzoeefu kweli kweli.

Gwijiiiiii


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chaaa! Shikamoo Beer
 
''Tunapoelekea mola ndo anajua''
haya mabo yanayotokea jamani iwe funzo kwetu
 
Sasa Derick anaenda kuwa mke wa mtu jela haya maisha haya
 
Acha akapapaswe na mnyampala huko lupango, wanawake wengine hakuwaona?, na mtoto alimkosea nini?.
 
Kajere akala kimasikhara hahahahahah!! Derick amekua mjinga sanaaaaaa.litakua linajuta Sana sahivi huko..Kuna binqdamu kweli hawana hisia za huruma nimeamini. Wanaitwaje vile...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…