Kagera Mtukula: Wanafunzi wanatumia kifaru cha jeshi kwenye michezo Shuleni

Kagera Mtukula: Wanafunzi wanatumia kifaru cha jeshi kwenye michezo Shuleni

Niko Missenyi/Mutukula. Nimekuta moja ya vifaru vilivyotumika kumkimbiza Idi Amini Dada kikiwa kwenye eneo la Shule ya Msingi Mutukula.

Sasa kimebaki kuwa chombo cha wanafunzi kucheza michezo kadhaa.

Je, kwanini JWTZ wasikiweke kifaru kicho kwenye makumbusho?
View attachment 2723106
Hii ni An armoured personnel carrier (APC)
Mkuu hiyo ni hatari lakini sidhani kama jeshi hawajui kuwa sourveneir yao ipo hapo.

Wanasubiri maagizo kutoka juu
 
Waziri wa ulinzi katokea mkoa wa Kagera ila hajui wala haelewi hichi ni nini.
Alipita mitaani akitetee lile lidude la Mkataba wa samia .
Asipokuja kuomba msamaha kura ataambulia nne tu
 
Waziri wa ulinzi katokea mkoa wa Kagera ila hajui wala haelewi hichi ni nini.
Alipita mitaani akitetee lile lidude la Mkataba wa samia .
Asipokuja kuomba msamaha kura ataambulia nne tu
🤣🤣Mtu mwenyewe hata kuongea vizuri hawezi,sijui wanawapaje hivyo vyeo👌jamaa ni domo zege
 
Niko Missenyi/Mutukula. Nimekuta moja ya vifaru vilivyotumika kumkimbiza Idi Amini Dada kikiwa kwenye eneo la Shule ya Msingi Mutukula.

Sasa kimebaki kuwa chombo cha wanafunzi kucheza michezo kadhaa.

Je, kwanini JWTZ wasikiweke kifaru kicho kwenye makumbusho?
View attachment 2723106
Hii ni An armoured personnel carrier (APC)
Kumbukumbu nzuri
 
Miaka ya nyuma ya 90's maeneo Kamachumu, Kagera kwenye shule ya msingi watoto walikuwa wanafukuwa wakakuta chuma wakaanza kurushiana.
Kuja kutahamaki kiliripuka na kujeruhi watoto vibaya sana. Kumbe hicho chuma kilikuwa ni masalia ya mabomu kipindi cha vita ya Kagera.
Sio shule ya tumaini Bukoba mjini?...siku hiz imeamishwa na kujengwa upya
 
Back
Top Bottom