Mkuu hiyo ni hatari lakini sidhani kama jeshi hawajui kuwa sourveneir yao ipo hapo.Niko Missenyi/Mutukula. Nimekuta moja ya vifaru vilivyotumika kumkimbiza Idi Amini Dada kikiwa kwenye eneo la Shule ya Msingi Mutukula.
Sasa kimebaki kuwa chombo cha wanafunzi kucheza michezo kadhaa.
Je, kwanini JWTZ wasikiweke kifaru kicho kwenye makumbusho?
View attachment 2723106
Hii ni An armoured personnel carrier (APC)
🤣🤣 Shughuli za kinaner siyo?Watu wanabeba Twiga anapelekwa kwenye mbuga za Dubai huko unazungumzia chuma chakavu na ndege kubwa la kupakia mizigo linashuka KIA hapo wasemaji wanakuja na tamko lilishusha Watalii yaani wageni waje na ndege ya kupakia mizigo?.
🤣🤣Mtu mwenyewe hata kuongea vizuri hawezi,sijui wanawapaje hivyo vyeo👌jamaa ni domo zegeWaziri wa ulinzi katokea mkoa wa Kagera ila hajui wala haelewi hichi ni nini.
Alipita mitaani akitetee lile lidude la Mkataba wa samia .
Asipokuja kuomba msamaha kura ataambulia nne tu
Kumbukumbu nzuriNiko Missenyi/Mutukula. Nimekuta moja ya vifaru vilivyotumika kumkimbiza Idi Amini Dada kikiwa kwenye eneo la Shule ya Msingi Mutukula.
Sasa kimebaki kuwa chombo cha wanafunzi kucheza michezo kadhaa.
Je, kwanini JWTZ wasikiweke kifaru kicho kwenye makumbusho?
View attachment 2723106
Hii ni An armoured personnel carrier (APC)
Armored Personnel Carrier.APC ndiyo nini mkuu.
Mh hapana nkonjwa sijazimiss akupe nsenene [emoji3][emoji3]Au anipe nkonjwa nikuletee? [emoji1787][emoji1787]
Armored Personnel Carrier, au gari la Deraya kwa kiswahili.APC ndiyo nini mkuu.
Sio shule ya tumaini Bukoba mjini?...siku hiz imeamishwa na kujengwa upyaMiaka ya nyuma ya 90's maeneo Kamachumu, Kagera kwenye shule ya msingi watoto walikuwa wanafukuwa wakakuta chuma wakaanza kurushiana.
Kuja kutahamaki kiliripuka na kujeruhi watoto vibaya sana. Kumbe hicho chuma kilikuwa ni masalia ya mabomu kipindi cha vita ya Kagera.