magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Wewe ni Mpwayungu Village?Ukubali kuibiwa simu ya laki tatu au unende jela maisha?
Mwalimu: laki tatu ni mahahara wangu wote, ntaenda jela.
Sasa kakosa simu, na maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni Mpwayungu Village?Ukubali kuibiwa simu ya laki tatu au unende jela maisha?
Mwalimu: laki tatu ni mahahara wangu wote, ntaenda jela.
Sasa kakosa simu, na maisha
Usije ukajiroga kumpiga mwizi peke yako ukamuua. Uwezekano wa kwenda jela ni asilimia 90.Sure kwanza huyo dogo kwanini avunje kufuri.
Hapo mwalimu hana kesi.
Mzee mimi naua kikubwa mahakani nitashitakiwa na jamuhuri kwenye utetezi wangu nitasema nilikuwa najihami maana alikuwa na silahaUsije ukajiroga kumpiga mwizi peke yako ukamuua. Uwezekano wa kwenda jela ni asilimia 90.
Kuna Wananchi wenye hasira kali, hakuna Mwananchi mwenye hasira kali.
Huna akili, pole sana.Ukubali kuibiwa simu ya laki tatu au unende jela maisha?
Mwalimu: laki tatu ni mahahara wangu wote, ntaenda jela.
Sasa kakosa simu, na maisha
Dah, sawa. Hongereni nyie wenye vipato vikubwa. Aisee, maisha ya uchambuzi ya Tanzania ni marahisi sana. Ni mwendo wa kujibonyezea keyboards tu basi....simple!!Mstari wa mwisho ndio chanzo cha hasira ya huyo Mwalimu kujichukulia sheria mkononi,
Stress za maisha.