MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Labda tumsikilize ndugu Mpwayungu Village anaweza kuwa na maoni tofauti kwenye hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kabisa maana ni halali usiku kucha labda atumie dawaAtakufa kwa pressure aisee
hao wameogezea sifuri mbeleShe
Sheria ya limit ya kutoa ikoje Hadi million zote mia zikatoka kwa mfumo wa simu?kunakitu hakiko sawa
Ni 10 milioni.Bank nyingi mwisho kutoa kwa simu ni 5M.... Hiyo bank inayoruhusu hadi 100M nataka niijue
Bank nyingi mwisho kutoa kwa simu ni 5M.... Hiyo bank inayoruhusu hadi 100M nataka niijue
Bank nyingi mwisho kutoa kwa simu ni 5M.... Hiyo bank inayoruhusu hadi 100M nataka niijue
Mobile banking/internet banking/online banking unaweza kufanya transactions unazotaka kwa kutumia simu yako.bank gan mtu anaweza droo mill 100 kwenye simu me najua mwisho mill 4 kutoa kwa simu
Mpwayungu VillageKuna mwamba asiipate hii maana huwa anawaponda sana walimu. Pole sana kwa ticha kwa masaibu yaliyomkuta.
Hayo ni mafao baada ya kustaafu miaka zaidi ya 30Kwa upande mwingine. mliokuwa mnasema watumishi wa umma hususani walimu kwamba wana maisha magumu, nadhani kuna kitu mmejifunza
Hawa vijana wa kusajili line hawa ma freelancer wamegeukia utapeli.Jeshi la polisi mkoani Kagera limewakamata watu wawili kwa tuhuma za kumtapeli mwalimu mstaafu zaidi ya Shilingi milioni 100 kupitia simu yake ya mkononi ambayo imeunganishwa na akaunti yake ya benki.
Matapeli hao wanadaiwa kumhadaa mwalimu huyo kwa kumwambia wanamtengenezea simu kisha kumuibia pesa zake.
Soma Pia: Kisutu: Matapeli 12 wanaotuma Meseji za kitapeli kwenye simu, Wapandishwa Kizimbani
#AzamTVUpdates
Zimehamishwa kutoka kwenye akaunti ya simbanking mwenye simu kwenda akaunti ya fundi kisha zikatolewa chap.bank gan mtu anaweza droo mill 100 kwenye simu me najua mwisho mill 4 kutoa kwa simu
Kuna watu humu wanawaponda lakini naamini katika kujiajiri kwao hawajawahi kushika walau sh. 30M kwa wakati mmojaHayo ni mafao baada ya kustaafu miaka zaidi ya 30
Hakika wauawe tuUko sahihi kabisa maana ni halali usiku kucha labda atumie dawa
Na hapo ni kupiga simu Kila saa kujua kinaendelea Nini
Matapeli wengine nao wataingilia hapo kuzipunguza
Hao wezi wapigwe moto kabisa