Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndomana kuna tajiri yangu mmoja mzee,hataki kujiunganisha na mambo sim banking Internet banking, mara app ya benki anasemage kupigwa ni dk 0 [emoji1]
Yeye ni mguu kwa mguu benki
Ova
Ila kweli aise ..watu wanapga madili ya trilioni 100 mafukara wanashangaa eti milioni 100Nyie kenge mnashangaa Mwalimu kutapeliwa ilhali nchi yenu inatapeliwa na Waarabu na Wachina na bado hamjishangai! Taifa la vilaza.
Wastaafu waelimishwe, kabla ya kustaafu. Waweke pesa zao katika mifuko ya uwekezaji hasa UTT. Na wasikubali kukimbizana na mafuso, try za mayai, matunda nkJeshi la polisi mkoani Kagera limewakamata watu wawili kwa tuhuma za kumtapeli mwalimu mstaafu zaidi ya Shilingi milioni 100 kupitia simu yake ya mkononi ambayo imeunganishwa na akaunti yake ya benki.
Matapeli hao wanadaiwa kumhadaa mwalimu huyo kwa kumwambia wanamtengenezea simu kisha kumuibia pesa zake.
Soma Pia: Kisutu: Matapeli 12 wanaotuma Meseji za kitapeli kwenye simu, Wapandishwa Kizimbani
#AzamTVUpdates
Imebidi niulize eti rafiki. 😂😂
Walimu hawajitambui, ni mapundaKuna mwamba asiipate hii maana huwa anawaponda sana walimu. Pole sana kwa ticha kwa masaibu yaliyomkuta.
Co kweli, sema Mwalimu kazidiwa Elimu.Aisee Elimu kwa sasa aifuti tena ujinga,Mwalimu anatapeliwa vipi kizembe hivyo.
Wanatoa kidogo kidogo...pesa wameihamisha kutoka ktk akaunti ya mama kwenda kwenye akaunti zao binafsibank gan mtu anaweza droo mill 100 kwenye simu me najua mwisho mill 4 kutoa kwa simu