Kagera: Mwalimu atapeliwa zaidi ya milioni 100 kupitia simu yake ya mkononi

Kagera: Mwalimu atapeliwa zaidi ya milioni 100 kupitia simu yake ya mkononi

Ndomana kuna tajiri yangu mmoja mzee,hataki kujiunganisha na mambo sim banking Internet banking, mara app ya benki anasemage kupigwa ni dk 0 😄
Yeye ni mguu kwa mguu benki

Ova
 
Pesa mingi hiyo ilikua lazima wadakwe tu, na wangesakwa mno.

Wasingeendekeza tamaa, wangechukua hata 10M tu.
 
Siku Bank zikiwajali wateja wake basi hela zitakuwa salama sana
Nchi zingine Bank ndio wanasimamisha miamala hata kama ni wewe unaetoa hizo hela mpaka wapate idhini yako kwa kukuuliza maswali
Hii inasaidia sana kwa wanaojali hela zenu
Ulaya wako mbele ya wakati kwa kweli
Unatuma hela zinazuiwa halafu unatumiwa msg kama ni wewe
Kuna siku wali block kabisa account yangu watu wa fraud wakidhani naibiwa
Wakanitumia msg niwapigie
Walipojirudhisha kuwa ni mimi kwa maswali ndio wakaidhinisha
Kwanini mtu mpaka anaibiwa 100m Bank wametulia tu
Ina maana wanafanya nao utapeli?
Mbona system inaweza ku track hela zinazotoka kwa fujo mapema tu?
Maswali ni mengi ila Bank kuu ichunguze haya mambo la sivyo kila leo hela zilizopo Bank kunakosemekana ni salama basi sio salama kabisa



Hii -ni kweli inasaidia Sana
 
Pesa mingi hiyo ilikua lazima wadakwe tu, na wangesakwa mno.

Wasingeendekeza tamaa, wangechukua hata 10M tu.

Bila tamaa hutoboi, hiyo ni ajari kazini!
Ilibidi watokomee hata Kenya kwa muda!
 
Bila tamaa hutoboi, hiyo ni ajari kazini!
Ilibidi watokomee hata Kenya kwa muda!
Kama kuna mgao wangesakwa hata kutishia kuua ndg zao, unawajua policcm au unawasikia likija suala la maokoto
 
Taarifa zetu zote saivi ziko Hewani huko.. zinaelea. Just don't entertain any Ass whole asking for your privacy.. phone no..acc..
Whatever.

Acheni ujinga. Na hao wezi wako ktk hizo companies..
Kweli kabisa nimekuwa nikijiuliza kwanini Kila nikilipwa kazi zangu kutumia mitandao ie Simu ndio siku hiyo hapo matapeli watanipigia Simu au kuniandikia sms keep na namna taarifa za wateja zina leak au Kuna watumishi wasio waaminifu wa hizi kampuni za Simu wanatoa taarifa Kwa matapeli
 
Nyie kenge mnashangaa Mwalimu kutapeliwa ilhali nchi yenu inatapeliwa na Waarabu na Wachina na bado hamjishangai! Taifa la vilaza.
 
Wahuni wanajipigia sana mikwanja Kwa walimu so sad🥺
 
Back
Top Bottom