Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole yake sana, mbuzi wa msikini hazai...
Kasharudi kua hohoehae tena...
Umesema ukweli kabisa!She
Sheria ya limit ya kutoa ikoje Hadi million zote mia zikatoka kwa mfumo wa simu?kunakitu hakiko sawa
Waliompa Mama hizo Pesa ndio wahusika wakuu wa Wizi huo.She
Sheria ya limit ya kutoa ikoje Hadi million zote mia zikatoka kwa mfumo wa simu?kunakitu hakiko sawa
😭Atakufa kwa pressure aisee
Siku Bank zikiwajali wateja wake basi hela zitakuwa salama sana
Nchi zingine Bank ndio wanasimamisha miamala hata kama ni wewe unaetoa hizo hela mpaka wapate idhini yako kwa kukuuliza maswali
Hii inasaidia sana kwa wanaojali hela zenu
Ulaya wako mbele ya wakati kwa kweli
Unatuma hela zinazuiwa halafu unatumiwa msg kama ni wewe
Kuna siku wali block kabisa account yangu watu wa fraud wakidhani naibiwa
Wakanitumia msg niwapigie
Walipojirudhisha kuwa ni mimi kwa maswali ndio wakaidhinisha
Kwanini mtu mpaka anaibiwa 100m Bank wametulia tu
Ina maana wanafanya nao utapeli?
Mbona system inaweza ku track hela zinazotoka kwa fujo mapema tu?
Maswali ni mengi ila Bank kuu ichunguze haya mambo la sivyo kila leo hela zilizopo Bank kunakosemekana ni salama basi sio salama kabisa
Pesa mingi hiyo ilikua lazima wadakwe tu, na wangesakwa mno.
Wasingeendekeza tamaa, wangechukua hata 10M tu.
Tatizo wafanyakazi wa Bank wengi majiziHii -ni kweli inasaidia Sana
Kama kuna mgao wangesakwa hata kutishia kuua ndg zao, unawajua policcm au unawasikia likija suala la maokotoBila tamaa hutoboi, hiyo ni ajari kazini!
Ilibidi watokomee hata Kenya kwa muda!
Kumbuka huyu ni mzee, hawezani na kasi ya teknolojia tuliyonayo sasa. Hata sisi tukifika uzeeni tuntakuwa 'washamba' kuliko kizazi kijachoAisee Elimu kwa sasa aifuti tena ujinga,Mwalimu anatapeliwa vipi kizembe hivyo.
Huyu ni mzee tukumbuke, old skuli. Atajibeba aende mwenyewe kwenda benkiNa hapo ni kupiga simu Kila saa kujua kinaendelea Nini
Kweli kabisa nimekuwa nikijiuliza kwanini Kila nikilipwa kazi zangu kutumia mitandao ie Simu ndio siku hiyo hapo matapeli watanipigia Simu au kuniandikia sms keep na namna taarifa za wateja zina leak au Kuna watumishi wasio waaminifu wa hizi kampuni za Simu wanatoa taarifa Kwa matapeliTaarifa zetu zote saivi ziko Hewani huko.. zinaelea. Just don't entertain any Ass whole asking for your privacy.. phone no..acc..
Whatever.
Acheni ujinga. Na hao wezi wako ktk hizo companies..